updates...
Asante Georgina kwakukubali... but kuna mambo nitaendelea kuwa makini hasa kuhusu tabia zako.... tulianza wote...lazima tumalize wote
============================================
Kwako...
I am 26 years.
Nimekutana na sista mmoja nae 26 years, nimempenda.Sasa habari ni kuwa amekuta picha za msichana wangu wa zamani kwa simu yangu. Tena nilimpiga tukiwa guest house.Nisiongope...
Sikumoja nimetoka nipo ka hoteli flani napata moja na mbili, siunajua tena kipind cha barid na tena nilikua nakunywa zanzi mweeeeeeee! Lazma upate mtoto wakusugua lasivyo bafu litakuhusu.
Katokea...
Ndugu zangu, napenda nitoe somo kwa ufupi, kuwa ipo hatari sana ya kuwa na mahusiano na zaidi ya mmoja. kwa mujibu wa maandiko 1WAKORINTO 6:15-16, "yeye alyeungwa na kahaba ni mwili mmoja nae"...
Natafuta mwanamke mwenye umri wa miaka 18 mpaka 30 na awe Msukuma mrefu wastani, mweupe wastani na asiwe mnene na awe amesoma japo mpaka form four au zaidi na awe mfanyakazi,mfanyabiashara au...
Aaaahhh jamani huyu mzazi mwenzangu kila ukiomba pesa yeye hana ila kila siku anakunywa sasa leo nimemuandikia message "baba swalehe vip tena leo huna pesa" amenuna wakati jina hilo na wimbo huo...
Utakuta watu wanapofunga ndoa, badala ya kupeleka BARAKA ya ndoa yao katika nyumba yao na kwenye kitanda chao, wao wanatafuta hoteli wanalipia tena kitendo hicho kimepewa jina zuuuri eti...
Za kampeni?
Diamond aliimba kuwa ujana ni maji ya moto.
Mimi ni mume na baba pia.Lakini naona niliyoyafanya ujanani yananiandama.Kipindi nikiwa chuo kikuu, nilikuwa na marafiki wangu wa kiume wa...
Bwana yesu asifiwe!
Jamani nimema wengi kanisani hamuendi, sasa inabdi tufundishane humuhumu tu.
Kiukweli wapo watu toka siku ya kwanza mpaka leo wana miaka10, mke wala mume hajawai kusikikia...
Happy new year to all.
natumai wote mko fresh na mmeanza mwaka vyema, tushaingia mwenzi mgumu wa January watu tumeenjoy sikukuu zote sasa vichwa vishaanza kuuma ada za shule na mambo mengine...
Mke na Mume asubuhi moja wamegombana ndani ya nyumba. Mwanaume anadai kwamba mkewe ndio mwenye kosa na anapaswa kumuomba msamaha. Mke hakuona ni issue kwake na hakuona haja ya kusema "samahani"...
Hebu tuitizame ndoa ya watumishi hawa ili tujifunze kitu.
NDOA YA YUSUFU NA MARIA
Nimetamani sana tujifuze jambo katika ndoa ya Yusufu na Maria. Nimechukua mfano huu kama ndoa/uhusiano wowote wa...
Tamthilia , movies na mziki wa kimagharibi zimekua zikichangia kwa kiasi kikubwa kuleta ujinga na kupunguza uwezo wa kufikiri kwa vijana walio wengi.
Uvaaji wa mavazi ya uchi hasa kwa...
mie nimeachana na mke wangu, lakini wakatu tuanakutana miaka 8 iliyopita nilikuwa na nyumba na shamba kubwa tu, baada ya mambo kutokwenda vizuri, tuliamua kuachana. huyu mama tulionana bomani...
Habari zenu wakuu,
Kwanza namshukuru Mungu kutujalia hali ya hewa ya mvua mvua ili kuondoa hili vumbi ardhini.
Back to my topic,
Ni kijana wa miaka 27 Ambae alitokea kupendana na mwanamke wa...
Unadhani ni kwanini alikuwa anapigwa kila siku na mume wake
Maana mume kila akifika nyumbani husema nifungulie mke wangu.
mke sifungui huna akili mjinga mwanume wewe kila siku unachelewa kurudi...
Na. M. M. Mwanakijiji
Toka mbali niliweza kuona Jiji la Chicago likianza kuibuka mbele ya uso wangu utadhani ule mji wa Kibiblia ulioshushwa toka mbinguni. Kwa mbali niliweza kuona Jengo...
Jamanii wazee wetu tupunguzie mahali vijana tunataka kuoa,sasa mzee unaponiambia mahali Milion 2.5 si sawa na kuniuzia mwanao huku atakula nini? Au ndio kunikomoa
Hivi nyie wanaumee zina watosha kweli?
Kila siku kazi yenu kutisha wanawakee maraa oohh ameji haribiaaa nilikua na mipangoo ya kumuoa, Kwani hizo ndoa tuna hitaji peke yetu nyie vipi? Hamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.