Mabinti mnaopenda kuchezewa na mahandsome boy inawahusu

23 ni graduate na anashughuli za kufanya!!!! Hiyo ni hali halisi au kufikirika mkuu?
 
Acha kuwapanikisha....kuolewa ni muda wowote.

Pale ambapo MTU amepata right man wake....
 
mkuu inaonekana unaumia ukiwaona mabint age hiyO??? ndoa si saw na kupata KIPAIMARA unapasw uwe umekomaa kiakili na umetuliza macho sio kupepesua kwa wanaume wenge wakat upO ndoani, nikuulize, je kwanini mnaulizaga wadada UNAKAZI? sas age hyo n eidha ndo fresh graduate wanaume w siku hz kuna anaeoa mke jobless????? acha kuwakatisha tamaa waache wajijenge akili ya kujitegemea na sio kutegemea,..
 
Back
Top Bottom