Kwa wanaume waliooa tu, mlifanyaje hadi mkaoa?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
6,002
19,468
Habari.

For married couples, mlifanyaje hadi mkaoa, zilikuja hisia za kuoa au mlishinikizwa na familia au umri au mlifuata tu utamaduni kua mwanaume lazima uoe kipindi flani katika maisha yako.

Nimeuliza hivyo maana kwa kweli sijawahi kupata hisia au mawazo ya kuoa, sijawahi hata kuwaza kitu kinaitwa kuoa, ndugu na jamaa unakuta wananishauri kwamba inabidi uoe uachana na wanawake wa mtaani.

Tatizo ni kwamba sijawahi kupata hayo mawazo ya kuoa wala shinikizo la ndugu na jamaa halijawahi kujishawishi.

Je nyie mlifanyaje hadi kuoa?.
 
Bwanaeee hiyo ni kama mimi,huwa najiuliza swali kama hilo,hakuna aliye perfect ila wenye nafuu wapo ila swali ndo unaanzaje????,waliooa hebu tiririkeni basi.
 
mi cjaoa ila kwa sasa nna hisia sana za kutaka kuoa,na si kama sina mpenzi la hasha!napenda sana kuoa ili niwe na familia yangu...so nikija kuoa nitasema kuwa nimeoa kwa sababu nilikuwa na hisia za kuoa na nlipenda sana kuoa,kwa sasa najipanga ila Mungu akinijaalia kufanikisha malengo yng nitaoa coz nna hamu ya kuoa kwa kweli.
 
Habari.

For married couples, mlifanyaje hadi mkaoa, zilikuja hisia za kuoa au mlishinikizwa na familia au umri au mlifuata tu utamaduni kua mwanaume lazima uoe kipindi flani katika maisha yako.

Nimeuliza hivyo maana kwa kweli sijawahi kupata hisia au mawazo ya kuoa, sijawahi hata kuwaza kitu kinaitwa kuoa, ndugu na jamaa unakuta wananishauri kwamba inabidi uoe uachana na wanawake wa mtaani.

Tatizo ni kwamba sijawahi kupata hayo mawazo ya kuoa wala shinikizo la ndugu na jamaa halijawahi kujishawishi.

Je nyie mlifanyaje hadi kuoa?.

Do you.

Follow your predilection and not the bandwagon of the 'me too' crowd.
 
Kuoa si kwa kushinikizwa wala hisia ila wakati majukumu yanapoongezeka na kufikia hatua ya kuhitaji msaidizi, mshauri na mtu wa kukuliwaza baada ya majukumu/ kazi nzito.

Pili ni kumpata mtu mwenye tabia ambazo kwazo zinaweza kukushawishi kumfanya kua mke.
 
Ilianza na upweke na utayari mkuu, kuna siku nilienda Mbalamwezi Beach kuna festival walitangaza Forodhani ya Zanzibar itahamia Dar, nimefika pale nikaagiza ninachotaka nikawa nimepumzika. Nikahisi kuna kitu nimepungukiwa coz hata demu sikuwa nae na sikuona sababu ya msingi ya kwanini nisioe, after a week nikaanza mchakato wa kutafuta muolewaji.
 
Mnajikuta tu mpo mbele ya pilato... baada ya miaka kadhaa mnaamka kutoka usingizini na kila mtu anachukua time zake...
 
Mimi sijui kwa nini nilioa Ila maisha ya ndoa nayafurahia sana!!!!!
 
We acha tu aisee!!? Hili suala linakuja tu automatic ni kama vile ulivyoacha kutembea bila shati mtaani kuna nani alikuambia si ulijikuta tu moyo unakusuta!!? Itafika time utajefeel tu kuoa utavuta wakwako usicomplicate.
 
Habari.

For married couples, mlifanyaje hadi mkaoa, zilikuja hisia za kuoa au mlishinikizwa na familia au umri au mlifuata tu utamaduni kua mwanaume lazima uoe kipindi flani katika maisha yako.

Nimeuliza hivyo maana kwa kweli sijawahi kupata hisia au mawazo ya kuoa, sijawahi hata kuwaza kitu kinaitwa kuoa, ndugu na jamaa unakuta wananishauri kwamba inabidi uoe uachana na wanawake wa mtaani.

Tatizo ni kwamba sijawahi kupata hayo mawazo ya kuoa wala shinikizo la ndugu na jamaa halijawahi kujishawishi.

Je nyie mlifanyaje hadi kuoa?.
Yaani hapo tayari mawazo ya kuoa ushapata mpaka kufikia kuandika huu uzi....!
 
Hata usioe km moyo wko hutaki.subir siku ham y kuoa ikija mwnye utaongoza km mbuz machinjion
 
Ukiogopa Zinaa kwa kuwa inamchukiza Mwenyezimungu utajua namna sahihi ya kupata wa kumtomba na kutimiza haja hiyo ni ndoa peke yake!
 
Ila tuwe wakweli wakuu, ukiondoa influence za familia na marafiki. Kisha ukiondoa ile dhana ya watanionaje na amri za kiimani. Watu wengi wasingeoa wengi mno. jaribu tu kuelewa hayo niliyoyataja halafu jiulize bila hayo ni wangapi wangeoa?
 
Back
Top Bottom