What entails to be a socila contract in Tanzania ni ibara ya 8 (1)(a) ya katiba ya JMT.
Hapa ndipo wanaanchi kwa kutumia kura zao huweka serikali madarakani kwa manufaa yao.
Mtawala.anayedhania...
Inawezekana wengi wanaona kiza kinene mbele ila wengine tunaona dalili za mwanga mbeleni.
Ningeshauri kwa sasa CHADEMA wafanye mambo makuu matatu.
1. Kutengeneza timu ndogo ya wanadiplomasia...
Kazi kubwa kama amiri Jeshi ni kulinda raia wa nchi yake
Kama ameshindwa Hilo jukumu Hana sababu ya kuendelea kubaki kwenye hiyo nafasi
Na wote watakaondelea kutii amri yake kinyume na katiba ya...
Inadaiwa umoja wa mataifa umeitaka mamlaka ya Tanzania imuachie Lissu mara moja kutokana na habari zinazosambazwa na BBC, DW
Vyombo hivi vimekuwa viki ripoti habari zote ya kinacho endelea...
Katika kipindi hiki tumeshuhudia mijadala ya kisiasa ikizidi kuwa mikali na yenye hisia kali. Hali hii inatukumbusha umuhimu wa kurejea kwenye misingi imara ya taifa letu: amani, umoja na...
Ukizungumza na Watanganyika wengi, sasa hivi hata kungepigwa kura, Watanganyika wengi hawautaki Muungano. Watanganyika walio wengi wanasema kuwa usingekuwa Muungano, ndugu zao wengi kwa maelfu...
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, amewasili jijini Geneva, nchini Uswisi, kushiriki Mkutano wa Ngazi ya Juu katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ulioanza...
Operesheni maalum inayoendeshwa na UVCCM mkoa wa Kagera, iliyopewa jina la Vijana Daka Fursa na Samia [VIDAFUSA] imeanza kwa kishindo katika wilaya ya Kyerwa jana tarehe 20 Februari 2026 kwa...
Idara ya Ujasusi ya Tanzania (TISS) iliyoko chini ya Samia imezidi kuaibika kimataifa na kujianika wazi kwa namna inavyoratibu na kuendesha matukio ya utekaji na mauaji ya Watanzania wanaoukosoa...
Mgogoro dhidi ya Fr Nkwera ulianza mara tu Pengo alipokuwa Askofu Mkuu (1992)
1.Matatizo yalianza baada ya Polycarp Pengo kutawazwa kuwa Askofu Mkuu wa Dar es Salaam. Alimuita “padre mtoro” na...
GT
Hakuna jambo linatia hasira kama Samia kukalia ikulu kwa sababu huo uwezo wa kuingoza nchi hana.
Just imagine for more than 120 days kajificha haijulikani.anafanya kazi gani, anakaa wapi...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 23, 2026 amekagua maendeleo ya Mradi wa Majisafi wa Sinya–Namanga unaotekelezwa eneo la Sinya, Longido mkoani Arusha.
Mradi huo unaotarajiwa kuongeza...
Baada ya sekeseke la Oct29 kuunda wizara ya vijana kulionekana kama sehemu ya majibu na tiba ya kilichotokea na kilichosababisha vijana wakubali kutumika.
Hata hivyo, vijana ni nani na wako...
Nimeona video kiongozi wa kikundi Cha uasi Cha kutetea raia akitoa tamko dhidi ya serikali haramu ya tanzania hususani kwawataja sana polisi aisee kumeanza kuchangamka ni moto hii ni screenshot...
https://www.youtube.com/live/OKUOZERlsJs?si=hSMyZIJG7kS6N1kT
------------
"Waziri wa Vijana anapewa fedha anakuja kutuambia sisi vijana kwamba fedha hizo zimepelekwa wizara za kisekta, sisi...
Waziri mkuu tengeneza mfumo unaofanyakazi wenyewe hukohuko makazini bila wewe kulazimika kuzunguuka n kutatua kero za wananchi kwenye ziara zao. Watanzania wooote wanazo kero zao lakini ama hawana...
Kupitia video inayosambaa Mtandaoni inamuonyesha kijana akielezea kwa hasira tukio la kutekwa kwa Humphrey Polepole usiku wa kuamkia Oktoba 6, 2025, akidai kutaka kujua hali ya Polepole kama yupo...
Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), imewataka Watanzania kuendelea kushikamana na misingi ya Taifa, hususan katika kipindi hiki ambacho nchi inatafakari matukio ya vurugu za Oktoba 29, 2025 kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.