Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kila mmoja atumie njia anayoweza kuikomboa TANGANYIKA. Gwajima msikilize, namuunga mkono , ndiyo njia aliyochagua! Wewe na mimi Je?
15 Reactions
59 Replies
1K Views
What entails to be a socila contract in Tanzania ni ibara ya 8 (1)(a) ya katiba ya JMT. Hapa ndipo wanaanchi kwa kutumia kura zao huweka serikali madarakani kwa manufaa yao. Mtawala.anayedhania...
1 Reactions
3 Replies
116 Views
Inawezekana wengi wanaona kiza kinene mbele ila wengine tunaona dalili za mwanga mbeleni. Ningeshauri kwa sasa CHADEMA wafanye mambo makuu matatu. 1. Kutengeneza timu ndogo ya wanadiplomasia...
38 Reactions
35 Replies
824 Views
Kazi kubwa kama amiri Jeshi ni kulinda raia wa nchi yake Kama ameshindwa Hilo jukumu Hana sababu ya kuendelea kubaki kwenye hiyo nafasi Na wote watakaondelea kutii amri yake kinyume na katiba ya...
2 Reactions
21 Replies
249 Views
Inadaiwa umoja wa mataifa umeitaka mamlaka ya Tanzania imuachie Lissu mara moja kutokana na habari zinazosambazwa na BBC, DW Vyombo hivi vimekuwa viki ripoti habari zote ya kinacho endelea...
2 Reactions
2 Replies
234 Views
Katika kipindi hiki tumeshuhudia mijadala ya kisiasa ikizidi kuwa mikali na yenye hisia kali. Hali hii inatukumbusha umuhimu wa kurejea kwenye misingi imara ya taifa letu: amani, umoja na...
1 Reactions
2 Replies
78 Views
Ukizungumza na Watanganyika wengi, sasa hivi hata kungepigwa kura, Watanganyika wengi hawautaki Muungano. Watanganyika walio wengi wanasema kuwa usingekuwa Muungano, ndugu zao wengi kwa maelfu...
10 Reactions
26 Replies
449 Views
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, amewasili jijini Geneva, nchini Uswisi, kushiriki Mkutano wa Ngazi ya Juu katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ulioanza...
4 Reactions
10 Replies
178 Views
Operesheni maalum inayoendeshwa na UVCCM mkoa wa Kagera, iliyopewa jina la Vijana Daka Fursa na Samia [VIDAFUSA] imeanza kwa kishindo katika wilaya ya Kyerwa jana tarehe 20 Februari 2026 kwa...
3 Reactions
24 Replies
271 Views
  • Redirect
Idara ya Ujasusi ya Tanzania (TISS) iliyoko chini ya Samia imezidi kuaibika kimataifa na kujianika wazi kwa namna inavyoratibu na kuendesha matukio ya utekaji na mauaji ya Watanzania wanaoukosoa...
3 Reactions
Replies
Views
Mgogoro dhidi ya Fr Nkwera ulianza mara tu Pengo alipokuwa Askofu Mkuu (1992) 1.Matatizo yalianza baada ya Polycarp Pengo kutawazwa kuwa Askofu Mkuu wa Dar es Salaam. Alimuita “padre mtoro” na...
6 Reactions
53 Replies
1K Views
  • Redirect
GT Hakuna jambo linatia hasira kama Samia kukalia ikulu kwa sababu huo uwezo wa kuingoza nchi hana. Just imagine for more than 120 days kajificha haijulikani.anafanya kazi gani, anakaa wapi...
4 Reactions
Replies
Views
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 23, 2026 amekagua maendeleo ya Mradi wa Majisafi wa Sinya–Namanga unaotekelezwa eneo la Sinya, Longido mkoani Arusha. Mradi huo unaotarajiwa kuongeza...
1 Reactions
1 Replies
77 Views
Baada ya sekeseke la Oct29 kuunda wizara ya vijana kulionekana kama sehemu ya majibu na tiba ya kilichotokea na kilichosababisha vijana wakubali kutumika. Hata hivyo, vijana ni nani na wako...
6 Reactions
21 Replies
476 Views
Nimeona video kiongozi wa kikundi Cha uasi Cha kutetea raia akitoa tamko dhidi ya serikali haramu ya tanzania hususani kwawataja sana polisi aisee kumeanza kuchangamka ni moto hii ni screenshot...
25 Reactions
235 Replies
7K Views
https://www.youtube.com/live/OKUOZERlsJs?si=hSMyZIJG7kS6N1kT ------------ "Waziri wa Vijana anapewa fedha anakuja kutuambia sisi vijana kwamba fedha hizo zimepelekwa wizara za kisekta, sisi...
0 Reactions
10 Replies
224 Views
  • Redirect
Naona giza mbele! Unarudishaje roho za maiti over 10,000 ( inavokadiriwa). IMPOSSIBLE! WHAT NEXT? Shoot to kill was not a good option!
13 Reactions
Replies
Views
Waziri mkuu tengeneza mfumo unaofanyakazi wenyewe hukohuko makazini bila wewe kulazimika kuzunguuka n kutatua kero za wananchi kwenye ziara zao. Watanzania wooote wanazo kero zao lakini ama hawana...
1 Reactions
2 Replies
122 Views
Kupitia video inayosambaa Mtandaoni inamuonyesha kijana akielezea kwa hasira tukio la kutekwa kwa Humphrey Polepole usiku wa kuamkia Oktoba 6, 2025, akidai kutaka kujua hali ya Polepole kama yupo...
4 Reactions
9 Replies
649 Views
Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), imewataka Watanzania kuendelea kushikamana na misingi ya Taifa, hususan katika kipindi hiki ambacho nchi inatafakari matukio ya vurugu za Oktoba 29, 2025 kupitia...
1 Reactions
5 Replies
180 Views
Back
Top Bottom