Wanabodi.
Kama kawaida yangu, kila nikipata muda, nashuka na zile makala zangu elimishi za KMT - "Kwa Maslahi ya Taifa". Mada ya leo ni swali la kitu kinachoitwa "the morality of telling the...
Hatimaye code zimeanza kufunguka, video hii ya miezi mitano iliyopita, akiwa Bungeni, Dkt. Godwin Mollel aliyasema haya kuhusu watu aliodai wanachokonoa Ikilu, kwamba yeyote anayefanya hivyo ni...
Kuna kitu kinachonifanya niitazame sana tarehe 4 September 2026 kwenye kujiuzulu kwa Dr Emmanuel Nchimbi.
Sidhani kama tarehe hiyo imechaguliwa kwa bahati mbaya. Nchimbi ameamua kuondoka rasmi...
Hekima kubwa itumike juu ya nani awe mbadala.
Ni kweli, saa nyingine ujasiri hutakikana katika siasa, ila si mara zote. Na gumu zaidi ni kugundua muda gani ni muwafaka.
Ah! Laiti ningekuwa na...
Tuliyemtarajia atamfunga paka kengele, kaamua kukaa pembeni
Huyu alifikiriwa ataleta Imani, tumaini na hali mpya ya kupoza joto linalo panda kati ya Shume na panya wa mwituni.
Sasa kaamua...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amebainisha kuwa chama chao kiliandika barua kwenda Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kulalamikia matumizi ya kisiasa yanayofanywa kupitia klabu...
Bibi Titi Mohamed na wenzake walihukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa makosa ya uhaini ya kutaka kuipindua serikali ya Nyerere mwaka 1970.
Kwa nini amekuwa anaenziwa kwa kupewa Barabara yenye...
Wanabodi,
Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo.
Hakuna jina la mtu yeyote limetajwa, naomba na wewe mchangiaji, usitaje jina la mtu yeyote!.
Pomoja na hii taarifa ya gazeti la The Citizen...
Wakati Tanzania ikishuhudia mabadiliko mapya katika uongozi baada ya Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, kutangaza kujiuzulu na kustaafu siasa pamoja na utumishi wa umma, kuna wimbo ambao...
Kati ya mzee JOSEPH BUTIKU na Dr. EMMANUEL NCHIMBI nani ana busara? (Hatima ya mkoa mkoa wa RUVUMA na viongozi wake
Kwa waliosahau, Dr. Nchimbi ndiye alikuwa mbunge wa Jimbo la Songea mjini...
Kuna very reliable trusted sources viungani ubalozi Sweden. Ni vijana wangu wana ni brief kila mara maswala sensitive ya taifa le kuwa Kitila Mkumbo akae standby.
Ikumbukwe Kitila ndo alikuwaga...
Mama leo amechukia na kuamua kufunguka kwa codes.
Kwa haraka haraka, inavyoonekana kuna mtu, huenda ni maarufu au mzoefu ambaye alimuamini kutokana na exposure aliyeipata kimataifa kiasi cha...
Ndugu zangu Watanzania,
Makamu wa Rais Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi,Anatarajiwa Kumuwakilisha Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia...
sijawahi kuona Waziri Mkuu Chawa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema kwa msisitizo kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan...
Ukiteuliwa ubunge, Uwaziri Mkuu utausikia kwenye bomba.
Ila ukigombea ubunge ukashinda, Uwaziri Mkuu unaweza ukafikiriwa na pengine ukapewa.
Msimbeze jamaa yetu kujivua U-RC kiaina.
Pameanza...
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema urafiki kati ya CCM na Prosperity Party, chama tawala cha Ethiopia, ni hatua muhimu katika kuboresha na...
Makamu wa Rais, Emmanuel Nchimbi, Juni 5, 2026, ameongoza maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma. Katika...
Muulizeni Nchimbi ni nani alihuduma kama waziri wa mambo ya ndani aliyetaka kuligawa eneo la polisi line hapo Namanga Morroco polisi ostabei lile eneo lote kwenda kwa bwana yule ambaye anatubagaza...
Guys
Huko ndani kuna moto unawaka hatari akina Rachel.dangwa wakisema mnaqaita wanaharakat.
Shutuma iliyotolewa na mbunge siyo ya kubezwa na ni hatari sana. sisi kama raia tunataka ufafanuzi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.