WAZIRI MKUU ASHIRIKI MAZISHI YA KARDINALI PENGO, DAR ES SALAAM
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Februari 28, 2026 ameshiriki mazishi ya Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es...
Wanabodi,
Hii ni safu yangu mpya inayoitwa PMNA, kirefu chake ni Pasco Mayalla News Analysis. Tamka (P.M.N.A)
Hapa nitakuwa nawawekea News Analysis ya habari kubwa yoyote yenye maslahi kwa...
Yawezekana mpango alifanya mazuri na akiwa na waziri mkuu wake Kassimu Majaliwa ndio maana Leo wakiwa mazishini walishangiliwa hivyo
Lakini kikubwa zaidi ni kukubali kwao kustaafu uko...
Katika Jamii ya Kidemokrasia, uwazi na uhuru wa Vyombo vya Habari ni nguzo muhimu za uwajibikaji. Hata hivyo, pale ambapo Tume ya Uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan akiwa Pamoja na Naibu Waziri wa Elimu Mheshimiwa Wanu Hafidhi...
Wakuu,
Mambo yanabadilika sana
Huyu hapa Profesa Lipumba akiwa anamsifia na kumwimbia Rais Samia kwenye ziara ambayo Samia aliyoifanya mwaka 2022 mkoani Tabora
" Mimi uwa spendi hata maugomvi ya vyama ndio maana wakati nikiwa katibu mkuu nilikuwa nawakemea Wana CCM walioongea mambo ya OVYO dhidi ya wapinzania maana naonaga ni UPUMBAVU TU"
Yule...
Leo kwenye mazishi ya Pengo, amesikika Dr Emanuel Nchimbi akisema vyama vyote vinania ya kulitumikia taifa tunatakiwa wote kuwa watumishi wa wananchi
Hi inaonesha nchimbi yeye yupo tayari kufanya...
Nduva aaga, amshukuru Rais Samia kwa ushirikiano na uungaji mkono wa mtangamano wa EAC
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Mhe. Veronica Nduva, ametoa shukrani za dhati kwa Rais wa...
Wakuu kumbe Hawa Wasenge Jamhuri ,Genge la Wambura, Muliro, MAFWELE ni wapuuzi sanaa.
Huyu Shahidi ambaye majuzi walitaka kumuongezea Ushahidi mpaka wamekata Rufaa , ni MAREHEMU.
Mke wake...
Kwanza TEC wanadai serikali yake ni dhalimu na imekuwa ikiteka na kuua watu.
Asingefaa kupewa nafasi ya kwenda kuaga mwili wa huyu kasisi aliyefariki
Alishatamka hadharani kuwa ana kinyongo na Tec
Wakati anaelezea kuhusu sakata la Meli iliyokamatwa huko El Salvador na Shehena ya Madawa ya Kulevya iliyokuwa inapeperusha bendera ya Tanzania .
Gerson Msigwa alieleza kwamba Zanzibar ni...
Ndugu zangu Watanzania,
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Au waweza Kumwita Mr Clean kama ambavyo wengi hupenda kumwita .
Au waweza...
Watanzania tunapaswa kuishi kwa misingi ya upendo, unyenyekevu, haki na uwajibikaji-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba.
📍Dodoma-Tanzania
🗓️18.01.2026
Mheshimiwa Dkt. Mwigulu ametoa kauli hiyo...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anatarajia kuingia Ndani ya Kigamboni Wiki Ijayo ya Tarehe 3...
KWA MUJIBU WA DINI ZOTE TULIZOLETEWA; HAKUNA DHAMBI WALA KARMA KUMTENDA UBAYA MTU ASIYEJAMII YAKO, NDUGU YAKO. WAAFRIKA TUACHE KUAMINI KWENYE UJINGA.
Anaandika, Robert Heriel
Yule Kuhani Katika...
Wakuu,
Hapa Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT anasimulia matukio mawili ambayo yalimtisha sana baada ya kutekwa mwishoni mwaka 2024 mara baada ya kumalizika kwa Uchaguzi wa...
Wakuu,
Hii ni leo wakati Padri Kitima anatambulisho uwepo wa vyama vya siasa mbalimbali kwenye msiba wa Kardinali Pengo
Hapo kuna sehemu kataja kuna vyama 17
Mara kwa mara nimekuwa nasikia baadhi ya miradi inayofanywa na serikali huko Dodoma, nabaki kujiuliza kwamba mbona yanaenda kinyume na malengo yaliyokusudiwa ya kujenga mji wa kiserikali?
Jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.