Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

PhD ya Uchumi toka University of Gothenburg, Sweden, Mkatoliki mfia dini, Mwanataaluma toka UDSM na Waziri wa Elimu mwenye maono kwa taifa. Busara ya uongozi na mtulivu. Rombo mtuazime tufanye...
4 Reactions
38 Replies
325 Views
Ukiangalia kaka yake na dada yake walivyoactive mahakamani na namna wanavyopambana hapo kisutu ni dhahiri familia yao ina upendo sana. CCM wengi hata undugu wao huwa wa mashaka angalia Polepole...
7 Reactions
10 Replies
285 Views
Nauliza Mimi niamke kwangu,nioge maji ya moto au baridi nijiandae kwenda KUONGEA na Tume hii kuwambia, Mwanangu alikuwa amepewa pesa na nani ili akafe? Seriously 😳 serikali msipotengeneza maboya...
3 Reactions
2 Replies
117 Views
".....Aisee niseme ukweli wa moyo wangu, tangu jana ninafuraha isiyoelezeka aisee, Huyu msenge alijeruhi sana moyo wangu, kisha yeye na wasenge wake wakaendeleza vita usiku na mchana, Kimsingi...
14 Reactions
61 Replies
1K Views
Hii ni Kwa Tanzania TU,na nchi za hovyo kama hii. Tundu Lisu anajitetea vizuri sana Mahakamani,ana uwezo mkubwa sana wa kuonesha jinsi kesi yake kweli sio ya uhaini Bali ni kesi ya uongo na ni ya...
6 Reactions
11 Replies
189 Views
Anaitwa Dr Emmanuel John Nchimbi, Moja Kati Ya Masenior Comredi Ndani Ya Chama Cha Mapinduzi Ni Mtu Mahiri Katika Kile Anachokiamini Na Hafundishwi Punda Kumwita Farasi. Ni Mwanasiasa Mwenye...
2 Reactions
110 Replies
25K Views
Haya maneno alipoyatamka Humphrey Polepole baadhi ya watu walibeza wakadhania anawasingizia. Ukweli umeeanza kuthibitika na huko mbeleni yataibuka mengi. Watu watafanyiwa mambo maovu sana
3 Reactions
3 Replies
111 Views
Hakuna mtu wa CCM hajui ugomvi wa Nape na Nchimbi juu ya Jengo la UVCCM na mpaka leo Nchimbi pale anamiliki Floor, jana nilishangaa Msingwa kichwa maji anasema kuwa eti hakuwahi kusikia kuhusu...
1 Reactions
6 Replies
149 Views
Siwezi kuamini hata kidogo kuwa barua ya kujiuzulu inayodaiwa kuandikwa na Dr. Nchimbi ni kweli imeandikwa na Nchimbi mwenyewe. Kama kuna mwenye ushahidi kuwa ni kweli yeye ndie mwandishi wa barua...
2 Reactions
15 Replies
303 Views
1. Nchi zote Malawi na Zambia zilipata uhuru mwaka 1964 na zote hutumia pesa aina ya Kwacha. Marais wake wote, Dk. Kamuzu Banda (Malawi) na Dk. Kenneth Kaunda (Zambia) walizitumikia nchi zao...
21 Reactions
72 Replies
13K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa sasa wana CHADEMA wamepoteza kabisa Imani na Heche , Hakuna anayemuamini,Hakuna anayemuelewa wala kujua anachokifanya ndani ya chama chenye Maslahi kwa chama. Kila...
0 Reactions
44 Replies
824 Views
Wanabodi Tangu jana nilipoiona ile Taarifa kwa umma ya VP kujiuzulu, nilipata shock sikuiamini nikiamini ni fake news, mpaka leo nilipoiona Taarifa ya Ikulu, ndio nimeamini!. Nilipata shock...
4 Reactions
12 Replies
222 Views
Long and short terms trending Kiwanda cha kupika habari Ghala la kuzitawanya Kuna za jumla Kuna za rejareja Za kusadikika Za halisi Nani ni nani kwenye nini.. !? Jipu lililodhaniwa limevia...
13 Reactions
44 Replies
753 Views
Manara ashangaa katiba ya Watanzania kutaka kuandikwa na Kikundi cha chadema Akizungumza kwe ye kipindi cha wasafi One on One
2 Reactions
19 Replies
265 Views
Tuanzie kwenye kichwa cha habari hapo juu, ni MABADILIKO Gani alitaka kuyafanya mama na akuzuiliwa na Nchimbi? Kumteua mbowe kuwa waziri mkuu? Kumuuua Tundu Lissu? Kuamua yakuwa katiba mpya...
3 Reactions
10 Replies
297 Views
2022: Spika wa bunge Job Ndugai ajiuzulu, Samia aridhia. 2023: Katibu Mkuu CCM Daniel Chongolo ajiuzulu, Samia aridhia. 2024: Makamu Mkiti wa chama cha Mapinduzi Kinana ajiuzulu, Samia aridhia...
8 Reactions
25 Replies
562 Views
Yule bwana Faustine Mahali siyo mtu, amemtoa mtoto wake sadaka akiwa ana uhusiano na binti moja wa KIBENA ndg wa mke wake anaitwa KISAVYAKE. Mpaka leo hajalipa mishahara akiwa nje ya ofisi anakula...
1 Reactions
6 Replies
143 Views
Hayati Job Ndugai - Januari 6, 2022 alitangaza kujiuzulu nafasi yake ya Uspika wa Bunge, akisema uamuzi huo ameufanya kwa hiyari yake kabisha na kwa kuzingatia maslahi mapana ya nchi, serikali na...
1 Reactions
8 Replies
236 Views
Paul Christian Makonda ni mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi mkubwa nchini Tanzania, ambaye kwa sasa anahudumu kama Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na pia ni Mbunge wa Jimbo la...
4 Reactions
12 Replies
193 Views
  • Redirect
Nauliza:- Katika Mukhtadha tulofikia, hivi nani atakuwa na ujasiri wa kupokea Kijiti cha mh. Nchimbi bila kutazama mbele wala nyuma?
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom