Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

WAZIRI MKUU ASHIRIKI MAZISHI YA KARDINALI PENGO, DAR ES SALAAM Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Februari 28, 2026 ameshiriki mazishi ya Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es...
0 Reactions
2 Replies
109 Views
Wanabodi, Hii ni safu yangu mpya inayoitwa PMNA, kirefu chake ni Pasco Mayalla News Analysis. Tamka (P.M.N.A) Hapa nitakuwa nawawekea News Analysis ya habari kubwa yoyote yenye maslahi kwa...
11 Reactions
42 Replies
786 Views
Yawezekana mpango alifanya mazuri na akiwa na waziri mkuu wake Kassimu Majaliwa ndio maana Leo wakiwa mazishini walishangiliwa hivyo Lakini kikubwa zaidi ni kukubali kwao kustaafu uko...
4 Reactions
16 Replies
244 Views
Katika Jamii ya Kidemokrasia, uwazi na uhuru wa Vyombo vya Habari ni nguzo muhimu za uwajibikaji. Hata hivyo, pale ambapo Tume ya Uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na...
4 Reactions
10 Replies
122 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan akiwa Pamoja na Naibu Waziri wa Elimu Mheshimiwa Wanu Hafidhi...
1 Reactions
6 Replies
246 Views
Yaani sadaka zote hizo na waumini mamilioni alafu wanaomba msaada kwa serikali ya CCM? Hii ni fedheha kubwa sana.
7 Reactions
36 Replies
685 Views
Wakuu, Mambo yanabadilika sana Huyu hapa Profesa Lipumba akiwa anamsifia na kumwimbia Rais Samia kwenye ziara ambayo Samia aliyoifanya mwaka 2022 mkoani Tabora
2 Reactions
4 Replies
151 Views
" Mimi uwa spendi hata maugomvi ya vyama ndio maana wakati nikiwa katibu mkuu nilikuwa nawakemea Wana CCM walioongea mambo ya OVYO dhidi ya wapinzania maana naonaga ni UPUMBAVU TU" Yule...
3 Reactions
3 Replies
186 Views
Leo kwenye mazishi ya Pengo, amesikika Dr Emanuel Nchimbi akisema vyama vyote vinania ya kulitumikia taifa tunatakiwa wote kuwa watumishi wa wananchi Hi inaonesha nchimbi yeye yupo tayari kufanya...
3 Reactions
9 Replies
252 Views
Nduva aaga, amshukuru Rais Samia kwa ushirikiano na uungaji mkono wa mtangamano wa EAC Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Mhe. Veronica Nduva, ametoa shukrani za dhati kwa Rais wa...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Wakuu kumbe Hawa Wasenge Jamhuri ,Genge la Wambura, Muliro, MAFWELE ni wapuuzi sanaa. Huyu Shahidi ambaye majuzi walitaka kumuongezea Ushahidi mpaka wamekata Rufaa , ni MAREHEMU. Mke wake...
11 Reactions
29 Replies
753 Views
Kwanza TEC wanadai serikali yake ni dhalimu na imekuwa ikiteka na kuua watu. Asingefaa kupewa nafasi ya kwenda kuaga mwili wa huyu kasisi aliyefariki Alishatamka hadharani kuwa ana kinyongo na Tec
6 Reactions
43 Replies
1K Views
Wakati anaelezea kuhusu sakata la Meli iliyokamatwa huko El Salvador na Shehena ya Madawa ya Kulevya iliyokuwa inapeperusha bendera ya Tanzania . Gerson Msigwa alieleza kwamba Zanzibar ni...
12 Reactions
14 Replies
383 Views
Ndugu zangu Watanzania, Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Au waweza Kumwita Mr Clean kama ambavyo wengi hupenda kumwita . Au waweza...
0 Reactions
25 Replies
637 Views
Watanzania tunapaswa kuishi kwa misingi ya upendo, unyenyekevu, haki na uwajibikaji-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba. 📍Dodoma-Tanzania 🗓️18.01.2026 Mheshimiwa Dkt. Mwigulu ametoa kauli hiyo...
1 Reactions
19 Replies
339 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anatarajia kuingia Ndani ya Kigamboni Wiki Ijayo ya Tarehe 3...
0 Reactions
32 Replies
504 Views
KWA MUJIBU WA DINI ZOTE TULIZOLETEWA; HAKUNA DHAMBI WALA KARMA KUMTENDA UBAYA MTU ASIYEJAMII YAKO, NDUGU YAKO. WAAFRIKA TUACHE KUAMINI KWENYE UJINGA. Anaandika, Robert Heriel Yule Kuhani Katika...
10 Reactions
32 Replies
450 Views
Wakuu, Hapa Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT anasimulia matukio mawili ambayo yalimtisha sana baada ya kutekwa mwishoni mwaka 2024 mara baada ya kumalizika kwa Uchaguzi wa...
5 Reactions
6 Replies
258 Views
Wakuu, Hii ni leo wakati Padri Kitima anatambulisho uwepo wa vyama vya siasa mbalimbali kwenye msiba wa Kardinali Pengo Hapo kuna sehemu kataja kuna vyama 17
1 Reactions
3 Replies
226 Views
Mara kwa mara nimekuwa nasikia baadhi ya miradi inayofanywa na serikali huko Dodoma, nabaki kujiuliza kwamba mbona yanaenda kinyume na malengo yaliyokusudiwa ya kujenga mji wa kiserikali? Jana...
6 Reactions
13 Replies
383 Views
Back
Top Bottom