TAARIFA KWA UMMA KUTOKA KWA MSTAHIKI MEYA BONIFACE JACOB
Asalaam aleikum wananchi wa wilaya ya kinondoni na viunga vyake, niendelee kuwaombea ndugu zetu waislamu funga yao iwe na heri na baraka...
Ameandika Ben-Rabiu Wa Saanane
------------------------------------------------------
Meya wa Kinondoni Boniphace Jacob anaonekana ni msomaji mzuri wa kitabu cha 48 Laws of Power cha Robert...
CHAMA cha Kutetea Haki za Walimu (CHAKAMWATA) kimemtaka Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Salum Hapi, kuwaomba radhi walimu nchini au kuifuta kauli yake aliyoitoa Juni 16, mwaka huu.
Akiwa katika...
CLUELESS GOVT.
Waziri anatangaza Muhimbili utaingia kwa elfu hamsini 10elfu ya kitanda, 10elfu medical consultancy, 30elfu msosi.
Mkandarasi akaanza sijui walikuwa nae tayari maana tenda...
MEYA JACOB AMFUMBUA MACHO MAGUFULI???
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA KWA MSTAHIKI MEYA BONIFACE JACOB
Asalaam aleikum wananchi wa wilaya ya kinondoni na viunga vyake, niendelee kuwaombea ndugu zetu...
Andaa dodoso yenye maswali haya na kisha uipitishe vyuo vikuu uombe wanafunzi wakujazie.Majibu utakayopata yatakusaidi kujua ni kwanini tuko hapa tulipo kama Taifa.
Maswali:
1.Taja jina la...
Anashangaa Meya na Mbunge wa Kinondoni kutokuwepo Biafra wakati ameshindwa kushangaa viongozi hao hao alivyowazuia kuzungumza na umma wao!?
Nani amesahau Meya wa Jiji na Waitara walivyodharauliwa...
Kitendo cha waziri Ummy Mwalimu, kufuta utaratibu wa kuuza chakula kwa wagonjwa wanaolazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili ni sawa kabisa. Tena huo utaratibu wala usifikiriwe kuanza. Ni uhuni tu ule...
Serikali kuu na taasisi za umma zinatumia sehemu kubwa ya bajeti ya serikali ya JMT,Lakini kumekuwepo na mianya mingi ya wizi,uhujumu uchumi,ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka ya kisiasa na...
Kwa sisi tuliokulia mazingira ya karibu na hifadhi za wanyama tulikua tukifundwa na wazee wetu kua unapokua unachunga ng'ombe ukipita mahali porini ukamwona simba amelala, kama anakuangalia...
Kumekuwa na kauli za kukinzana za Mh. Magufuli pale anapokuwa anahutubia wananchi kwa hotuba za Kichwani.
Mfano: Nimejitoa Mhanga kutumbua majipu. Hatachomoka mtu.
Baadae, Nitawalinda wastaafu...
Wakuu heri ya swahumuu.
Ni habari niliotonywaa usiniulize na nani kwamba Mh Rais anatumia mtandao wa Jamii forum kupata habari na maoni ya wananchi.
Kuna baadhi ya vitu ambavyo huibuliwa humu JF...
Habari Wakuu
Leo katika ufunguzi wa Call Center , pale viwanja vya Biafra , tuliona jamaa mmoja mwenye asili ya kiarabu akipewa cheti cha appreciation kama Mkurugenzi wa Kampuni ya Superdoll...
Maajabu hayamuishi rais wetu Magufuli. Niliipoona mswada wa mahakama ya mafisadi unapelekwa bungeni nikajua kinachofuata ni kubadili kipengere cha katiba kuwaondolea kinga marais wastaafu ili...
16 MARCH 2016 UZINDUZI WA UMEME WA GESI-KINYEREZI II
Mkurugenzi mkuu wa Tanesco alianza kutambulisha watu walio ktk jukwaa kuu akataja karibu wote pamoja na mbunge wa CCM Segerea Bona Kalua...
Mh. amekuulizia mbona hakukuona kwenye shughuli nyeti kama hiyo? Naomba umjibu maana amesema unapenda ujambazi. Jitakase lakini kwa heshima na taadhima.
Na: Jafary Ndege:
Mratibu Chaso Mkoa~Morogoro
[emoji117]Leo nimebahatika kwenda kwenye Ofisi ya Kamanda wa Mkoa Polisi Morogoro baada ya kutuita Viongozi wa CHADEMA Mkoa na Wilaya kuzungumzia...
Tumesikitishwa na Kauli ya mkuu wa kaya ilofanya tushindwe kutekeleza majukum yetu ya kisia kama inavyo sema katiba ya JMT. Wanachi wa mtwara walisubiki kushudia wahitim wa CHASO MTWARA wakipokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.