Je, mkurugenzi wa Superdoll ndiye mmiliki wa viwanda vya Mtibwa na Kagera Sugar

baro

JF-Expert Member
May 12, 2014
3,129
4,027
Habari Wakuu
Leo katika ufunguzi wa Call Center , pale viwanja vya Biafra , tuliona jamaa mmoja mwenye asili ya kiarabu akipewa cheti cha appreciation kama Mkurugenzi wa Kampuni ya Superdoll iliyoko Barabara ya Nyerere Kitalu Namba 14, jirani kabisa na Quality Centre,

Wakati tuko tunashuhudia hafla hiyo mjadala ulizuka kuwa huyo jamaa ndiye mmiliki wa viwanda vya sukari vya kagera na Mtibwa , mjadala umeisha bila hitimisho , naamini humu kuna wajuvi wengi hasa walioko maeneo ya kagera sugar na mtibwa sugar ,

Pia , mnaofahamu mtujuze na wafanyakazi wa huko , maana mjadala ulienda mbali na kusema pia , kuna wahindi wengi wasio na elimu wanalipwa pesa nyingi, wakati hawana ujuzi na waliowahi Fanya kazi mtibwa wakadai General Manager wa Kagera Sugar ambaye Ni Mhindi wa Zimbabwe aliwahi kufukuzwa Mtibwa Sugar na kuongeza Kuwa analipwa Tsh 56, 000,000/=

Wenye ukweli wa haya , watusaidie ili tumjue huyu boss na undani wake

In JamiiForums " We dare To Talk Openly"

Karibuni Wadau
 
Ndiyo. Anamiliki kampuni inayoitwa GMI investment, Kiwanda kipya cha kutengeneza pipes kipo nyuma ya Vingunguti, anamiliki Superdoll, anamiliki Mtibwa sugar pamoja na hisa kwenye Kagera Sugar. Ni raia kwa jina maana mda mwingi yuko nje ya nchi. Nahisi pia ana vitega uchumi Sauzi.
 
Ndiyo. Anamiliki kampuni inayoitwa GMI investment, Kiwanda kipya cha kutengeneza pipes kipo nyuma ya Vingunguti, anamiliki Superdoll, anamiliki Mtibwa sugar pamoja na hisa kwenye Kagera Sugar. Ni raia kwa jina maana mda mwingi yuko nje ya nchi. Nahisi pia ana vitega uchumi Sauzi.
Raia kwa jina? Fafanua Mkuu ina maana sio mtanzania?
 
Habari Wakuu
Leo katika ufunguzi wa Call Center , pale viwanja vya Biafra , tuliona jamaa mmoja mwenye asili ya kiarabu akipewa cheti cha appreciation kama Mkurugenzi wa Kampuni ya Superdoll iliyoko Barabara ya Nyerere Kitalu Namba 14, jirani kabisa na Quality Centre,

Wakati tuko tunashuhudia hafla hiyo mjadala ulizuka kuwa huyo jamaa ndiye mmiliki wa viwanda vya sukari vya kagera na Mtibwa , mjadala umeisha bila hitimisho , naamini humu kuna wajuvi wengi hasa walioko maeneo ya kagera sugar na mtibwa sugar ,

Pia , mnaofahamu mtujuze na wafanyakazi wa huko , maana mjadala ulienda mbali na kusema pia , kuna wahindi wengi wasio na elimu wanalipwa pesa nyingi, wakati hawana ujuzi na waliowahi Fanya kazi mtibwa wakadai General Manager wa Kagera Sugar ambaye Ni Mhindi wa Zimbabwe aliwahi kufukuzwa Mtibwa Sugar na kuongeza Kuwa analipwa Tsh 56, 000,000/=

Wenye ukweli wa haya , watusaidie ili tumjue huyu boss na undani wake

In Jamii Forum " We dare To Talk Openly"

Karibuni Wadau
Haswaaa
 
Ni mbia wa Rais wa awamu ya tatu kwa Kagera na Mtibwa Sugar! Ambae Rais wa awamu ya tatu ndio mshauri mkuu wa awamu hii....! Huyu sasa ndio atakuja kuwa kama muuza carpet yuleeee na uswahiba wa JK.....ameshapata nae partner in business! Sasa anaanza kujiandaa nae kuhomola chake akitoka atalindwa na ataekuja!! .....zile kauli zake zoote zimeyeyuka baada tu kusema atawalinda woote wastaafu wote na waliomtangulia! Kwishaaaa
 
Ni mbia wa Rais wa awamu ya tatu kwa Kagera na Mtibwa Sugar! Ambae Rais wa awamu ya tatu ndio mshauri mkuu wa awamu hii....! Huyu sasa ndio atakuja kuwa kama muuza carpet yuleeee na uswahiba wa JK.....ameshapata nae partner in business! Sasa anaanza kujiandaa nae kuhomola chake akitoka atalindwa na ataekuja!! .....zile kauli zake zoote zimeyeyuka baada tu kusema atawalinda woote wastaafu wote na waliomtangulia! Kwishaaaa
Aisee hii nchi inaliwa na itaendelea kuliwa kwa namna hii
 
Pia alikuwa anamiliki mabasi yalikuwa yanaitwa super star enzi hizo yanatembea usiku tu... Ilikuwa dar to dodoma...
 
Jamaa anamiliki mtibwa sugar, kiwanda ambacho mbioni kufaa kwan kadri siku zinasonga na kiwanda kinapunguza uzalishaji
 
Ni mbia wa Rais wa awamu ya tatu kwa Kagera na Mtibwa Sugar! Ambae Rais wa awamu ya tatu ndio mshauri mkuu wa awamu hii....! Huyu sasa ndio atakuja kuwa kama muuza carpet yuleeee na uswahiba wa JK.....ameshapata nae partner in business! Sasa anaanza kujiandaa nae kuhomola chake akitoka atalindwa na ataekuja!! .....zile kauli zake zoote zimeyeyuka baada tu kusema atawalinda woote wastaafu wote na waliomtangulia! Kwishaaaa

Acha kupotosha mkuu, huyo ndie mmiliki halali wa Superdoll,mtibwa na kagera sugar hayo mengine ni porojo tu, hakuna uhalisia wa ukisemacho, mtibwa sugar ilikuwepo kabla BW M na huyo jamaa anamiliki utajiri toka enzi zile za Mwinyi sema yuko kimya sana sio mtu wa kelele... Project zake ndio zinathibitisha yote haya..
 
Ni mbia wa Rais wa awamu ya tatu kwa Kagera na Mtibwa Sugar! Ambae Rais wa awamu ya tatu ndio mshauri mkuu wa awamu hii....! Huyu sasa ndio atakuja kuwa kama muuza carpet yuleeee na uswahiba wa JK.....ameshapata nae partner in business! Sasa anaanza kujiandaa nae kuhomola chake akitoka atalindwa na ataekuja!! .....zile kauli zake zoote zimeyeyuka baada tu kusema atawalinda woote wastaafu wote na waliomtangulia! Kwishaaaa
Kwa maelezo haya, nadhan huenda ndie atakaefadhil uchaguzi ujao 2020 hasa hasa upigaji wa push up..!!

Inabidi uwe na jicho la kuona mbal ili uelewe michezo hii..!!
 
Katika watu wanaomiliki hela hapa tanzania halafu hawana kelele ni huyu jamaa, huyu jamaa ndiye mmiliki wa superdoll,mtibwa na kagera sugar.
 
Acha kupotosha mkuu, huyo ndie mmiliki halali wa Superdoll,mtibwa na kagera sugar hayo mengine ni porojo tu, hakuna uhalisia wa ukisemacho, mtibwa sugar ilikuwepo kabla BW M na huyo jamaa anamiliki utajiri toka enzi zile za Mwinyi sema yuko kimya sana sio mtu wa kelele... Project zake ndio zinathibitisha yote haya..
basi sawaa
 
Back
Top Bottom