Nimekuwa na waza kuhusu rafiki yangu wa mtandaoni wa muda mrefu Ben saa 8 hivi ni kweli amepotea na leo tnaakata miezi hajapatikana?
Wako wapi waliokuwa wanamzungumzia nakutoa matamko kwenye...
Nilikataa kuwa kamwe matajiri wa Tanzania hawawezi kuishi kishetani ila sasa nimekubali.
Shughuli ninazozifanya zimetokea kuniweka karibu au kunifanya niwakaribie matajiri wa kitanzania ila sasa...
LABDA nianze kwa kutoa maelezo kidogo.
Luxembourg ni nchi ya nane kwa udogo barani Ulaya. Ina ukubwa wa takribani kilomita za mraba 2,586. Hapa Tanzania, kampuni za uwindaji wanyama zinaweza...
Wanabodi,
Huu ni uzi wa swali tuu,
"Kwanini Viongozi Wetu Wanaogopa Sana Mabango Hadi Kuwadhibiti Washika Bango Kama Wahalifu?!. Lengo la mabango yote duniani ni kufikisha ujumbe, sasa mabango...
INADAIWA KUWA:
MAREKANI ilikuwa inasumbuka kuhusu mrithi wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kama Rais wa Tanzania baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1985, imefahamika.
Kwa mujibu wa taarifa za...
Maamuzi yake na watendaji wake wote katika wizara inayosimamia huduma za elimu nchini ndiyo majibu ya kidato cha NNE ya sasa.Hali si nzuri kabisa tofauti na miaka ya nyuma, walimu hawana ari na...
Dodoma ni Mji Mkuu wetu lkn kuwa Mji Mkuu haimaanishi kwamba ni lazima uwe Mji mkubwa kuliko yote Tanzania, tuache Dar ibakie Dar na Dodoma ubakie kuwa Mji mdogo kama ulivyo lkn unaokidhi mahitaji...
Mbunge wa Tarime Vijini Mhe. John Heche Leo Bungeni ameomba Muongozo Kwa kusimamia Kanuni ya 68:7 juu wa wahanga wa tetemeko la Kagera.
Akieleza jinsi watu wa wanavyopata madhira kama vile...
Habari za wakati huu.
Awali nimpongeze makonda kwa ujasiri aliouonesha ambao wenzie walishindwa wakiwa kwenye nafasi hiyo ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam.
Pili ni masikitiko yangu ya utendaji...
Upumbavu ni kuacha kupambana na papa na nyangumi na kuhangaika kupambana na Dagaa kwa kisingizio kwamba wao ndio wanaomeza watu baharini!
Wenye fikra pevu watanielewa!
Upumbavu ni kuacha kupambana na papa na nyangumi na kuhangaika kupambana na Dagaa kwa kisingizio kwamba wao ndio wanaomeza watu baharini!
Wenye fikra pevu watanielewa!
Naam ni wito kwa ndugu Lowassa wakati Umefika sasa aende kwa heshima kumshukuru Mzee Jakaya Kikwete rais mstaafu na mwenyekiti mstaafu wa CCM kwanza kwa kutengua uwaziri mkuu mwaka 2008 na kwa...
Watu wengi wanawaza kuwa yamkini EL angefaa kuwa mgombea urais kupitia CCM mwaka 2015. Kwa upande wangu naona na ninaamini hivi, Edward Lowassa hafai kabisa kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia...
Kipigo alichopewa mwanafunzi wa Mbeya Day na video yake kusambaa sana mtandaoni kimeibuka bungeni baada ya mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi au Sugu kuhoji inakakuaje walimu hao...
Wakuu wa shule hasa za secondary wangekua wanapewa semina na shule ambazo zimefanya vizuri kama Feza Boys, Saint Francis ili Kupunguza gap kwa sababu zinawekwa kundi moja na hizi.
Waboreshe...
Hakika Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam amethibitisha kuwa uongozi anauweza.Ametembelea mkoa wake Na kubaini madudu mengi yanayofanywa Na baadhi ya watendaji wa serikali.Mh.Makonda amekuwa mstari wa...
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ameanza ziara yake ya siku 10 ndani ya jiji la Dar es salaam kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi pamoja na kuzitafutia ufumbuzi.
Hii thread itakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.