Kila kukicha ndugu zetu wafugaji na wakulima wanauwana wenyewe na mifugo yao, tatizo hili sasa limekuwa sugu pamoja na mbwembwe zote za rais kumtumbua aliyekuwa mkuu wa mkoa kwa kushindwa kutatua...
Ni wazi kwamba CHADEMA wamepwaya sana kisera, kifikra, hali inayotishia kufutika kwa upinzani nchini. Wakati Sumaye anahamia CHADEMA alisema anaenda kuongeza nguvu ila bado kumepoa na kupwaya...
Kati ya watu waliotia aibu,, DC was Mvomero kavunja rekodi,, yaani anatuambia raia hata tukifa njaa yeye bado anahitaji kuendelea kupigiwa saluti? Hii ni fedheha kwa aliyemteua!
DC wa Uyui aliyejiuzulu ana viwango vya kimataifa. Hivi ndivyo inavyopaswa kuwa kiongozi yeyote wa umma. Siku zote kiongozi hatakiwi kuwa mnafiki kama mla pilipili anaye kula chakula huku...
BADO NAPENDA KUPIGIWA SALUTI, SIJIUZULU NG'O - MKUU WA WILAYA.
Wakati Mkuu wa Wilaya ya Uyui akijiuzulu kwa hiari yake baada ya kueleza kuwa wilaya yake imekumbwa na njaa baada ya ukame wa muda...
Hii ni sehemu ya maoni ya Dk.Bana kuhusu matokeo ya uchaguzi mdogo wa madiwani kama yalivyochapishwa na gazeti la Mtanzania la siku ya leo tarehe 25/01/2017.
Dk. Bana na udhaifu
Kwa upande wake...
Ni dhahiri sasa hali si shwari kabisa kwa maRC na maDC walio wengi. mtanziko uliyompata mkuu wa wilaya ya Uyui unawakumba wengi.
Duru zinaeleza kwamba wengi wao wanaendelea kukalia viti vyao...
Kutokuwepo hapo katika hizo nchi nafikiri ni heshima kubwa maana majirani zetu wote wapo na wanaendelea vizuri tu na upigaji
Chanzo: Corruption Perceptions Index 2016
176. Somalia: 10
175...
BADO NAPENDA KUPIGIWA SALUTI, SIJIUZULU NG'O - MKUU WA WILAYA.
Wakati Mkuu wa Wilaya ya Uyui akijiuzulu kwa hiari yake baada ya kueleza kuwa wilaya yake imekumbwa na njaa baada ya ukame wa muda...
Kwa hisani Comred Malisa Godlisten
BADO NAPENDA KUPIGIWA SALUTI, SIJIUZULU NG'O - MKUU WA WILAYA.
Wakati Mkuu wa Wilaya ya Uyui akijiuzulu kwa hiari yake baada ya kueleza kuwa wilaya yake...
SINTOFAHAMU YAZIDI MRADI WA UMEME KINYEREZI II.
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ameomba kuliagiza shirika la umeme Tanesco kuangalia upya mkataba wa ujenzi na...
Habari wanajamvi nianze Kwa kupongeza vyama vya upinzani nchini Kwa uwepo wao kwani licha tu ya kuwa na tija kisiasa pia vina tija kiuchumi pia kwan uwepo wao nchini n kiashiria cha demokrasia na...
HATUA ya serikali kuzuia kurusha moja kwa moja mjadala wa vikao vya Bunge kama ilivyokuwa awali, bado inaumiza wananchi
Safari hii wananchi wametinga mahakamani na kwamba leo wamefika katika...
Moja ya vitu vinanishangaza kwenye Utawala huu wa Magufuli, yupo Mbele saana kwamba tunahitaji Wawekezaji wa Ndani na Nje, sasa linapokuja swala la Kuwaambia tena waondoke ndipo nachoka sasa...
Shilingi yetu imeshuka thamani kwa kasi kwasababu za ndani na nje.
1.Sababu za nje ni kupanda kwa thamani ya dola dhidi ya sarafu zote duniani..
2.Sababu ya ndani kwetu ni ukosefu mkubwa wa dola...
Check out @realDonaldTrump's Tweet:
Kama kweli anataka kufanikiwa rais Magufuli anatakiwa kujifunza kwa Trump jinsi ya kuendesha nchi .
Sio kuingilia majukumu ya mawaziri wakati ukiwa mkuu wa...
Benki ya Exim ya China imekubali kutoa mkopo wenye masharti nafuu wa dola za Marekani Bilioni 7.6 sawa na zaidi ya Shilingi Trilioni 16 za kitanzania kwa ajili ya kugharamia ujenzi wa mradi mkubwa...
Inatia uchungu kuona watu wakishabikia kukanyagwa kwa katiba ambayo watu wameapa kuilinda.
Wanasiasa wanawekwa rumande miezi mingi wakinyimwa dhamana kwa mashinikizo ya watawala kinyume na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.