Kwa jinsi kampeni zinavyokwenda ni dhahiri kuwa uchaguzi wa mwaka huu utakuwa na ushindani mkubwa sana kuliko chaguzi za nyuma hasa katika nafasi ya Urais. Hivyo ni muhimu tume ya uchaguzi...
Mkinichagua 25 October Jumatatu inayofuata Ferry itakuwa ni bure bila nauli. Hiyo ndio kauli ya Lowassa kwa wakazi wa Kigamboni...
Vile vile kasema hii itakuwa kwa ferry zote ili lengo kuu la...
Katika gazeti bora hapa nchini la leo (Mawio) limeonyesha tayari mkakati maalum wa wizi wa kura unaohusisha makepteni umekamilika. Makepteni hao tayari washapewa mafunzo kwa siku kadhaa na...
Busara ni jambo la msingi sana lakini pia usimdharau mtu kabla ya kifo chake.
Baada ya hako kautangulizi niwasalimu ndugu zangu sisi watanzania...wote tumeshuhudia kauli chafu na za kejeli...
KUNA msemo kuwa; "Penye wazee haliharibiki neno". Msemo huu unatumiwa sana kama tahadhari kwenye masuala ambayo yanaweza kuhusisha vijana au watu wengi ambao labda hawana umri wa kuweza kuwa na...
Jf!!!
Nimewai kuanzisha uzi hapa, kulaani vikali kuondolewa mabango yote ya mgombea wa Ukawa mh LOWASSA, na Polis kukaa kimpia pamoja na Nec.
Ikumbukwe Mh Lossawa amewai kulalamika sana...
Wana Bukoba na zaidi wa manispaa ya Bukoba tumeishampa kwaheri (mpao) Kagasheki. Ni jambo la kushangaza leo hii sisi waendesha pikipiki tunaonekana wa maana ili hali Kagasheki ulisimama bungeni na...
Kama wanachosema akina Bulembo, Nape, Magufuli na wengine ndani ya CCM kuhusiana na ushindi wa lazima kwa CCM basi tusingewaona majukwaani wakifanya kampeni nchi nzima. Kauli wanazotumia akina...
Tinga Tinga - Au Bulldozer/wheel Loader Kwa Experience Yangu Kama Mining Engineer Huwa Linaendeshwa Na Mtu #operator Kwa Jinsi Atakavyo Yeye, Na Sasa Ni Wakati Wa #mabadiliko! Haijalishi Mgonjwa...
Hili halukubaliki. Mbatia kumdhalilisha Lowassa No. No. No. Haiwezekani Mbatia ambaye si mgombea urais, atake mdahalo ufanyike ukimjumuisha yeye na sio Lowassa. Yeye Mbatia ni Nani? Inamaana...
Mgombea mwenza wa urais, kupitia CCM Samia Suluhu Hassan.
Mgombea mwenza wa urais, kupitia CCM Samia Suluhu Hassan, amesema chama chake kikishinda katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, serikali ya...
kama nilivyo ripoti jana na kueleza yale niliyo yaona kwenye mkutano wa mh adidas masaburi pale kimara jimbo la ubungu ila nilisema mimi sitokei ubungo natokea ilala nikati ya vijana 1OO tulio...
Nawashauri viongozi wa UKAWA waweke mikakati maalumu ya kushawishi wapiga kura wa mkoa wa Kigomo waipigie UKAWA kura za ushindi na si kupiga kura za hasira au za kuikomoa UKAWA kwasababu ya mtu...
karibuni katika mjadala wa kistaarabu wa mustakabali wa taifa letu
=========================================
=========================================
Habari hii si ya kweli na imekanushwa na...
Ndugu zangu watanzania,naomba nitumie nafasi hii na mimi niseme langu la moyoni.Kwa sasa mimi sio mfuasi wa chama chochote cha kisiasa na siko upande wowote.
Mimi ni mmoja wa watanzania mwenye...
Habari JF
Jana katika kfuatilia mikutano ya kampeni niliskia mgombea mmoja na mpiga debe wake wakidai kuwa eti "amekuwa kiongozi serikalini miaka kumi hata barabara hakujenga kwake" nilibaki na...
Hii ni baadhi ya miradi iliyozinduliwa itakayozinduliwa kuelekea uchaguzi
-umeme wa kuzalisha kwa gesi.
-mradi wa mabasi ya kasi Dar.
-uwekaji jiwe la msingi SGR.
-daraja la kigamboni...
Hongereni magufuli, Lowassa, mngwira NA rungwe kutokua na matusi kwenye mikutano yenu Bali team zenu za kampeni ndizo zimekua NA matusi hususani chama kimoja wapo ndicho kinaongoza kwa kuporomosha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.