Kipigo cha mwanafunzi Mbeya day chaibukia bungeni. Kumbe watesaji waliachiwa huru

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Kipigo alichopewa mwanafunzi wa Mbeya Day na video yake kusambaa sana mtandaoni kimeibuka bungeni baada ya mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi au Sugu kuhoji inakakuaje walimu hao hawajachukuliwa hatua za kisheri, ila Naibu waziri wa mambo ya ndani Hamad Masauni alisema suala hilo bado linafanyiwa upelezi na upelelezi utakapokamilika ndipo litafikishwa kwenye vyombo vya sheria


Pia sugu alizungumzia kuhusu polisi kuwapiga wafuasi wa Chadema na kuwajeruhi vibaya kipindi cha Operesheni UKUTA na kutaka iundwe tume kuchunguza swala la wananchi hao kupigwa na waziri kujibu kuwa polisi walikuwa wanalinda amani
 
Kipigo alichopewa mwanafunzi wa Mbeya Day na video yake kusambaa sana mtandaoni kimeibuka bungeni baada ya mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi au Sugu kuhoji inakakuaje walimu hao hawajachukuliwa hatua za kisheri, ila Naibu waziri wa mambo ya ndani Hamad Masauni alisema suala hilo bado linafanyiwa upelezi na upelelezi utakapokamilika ndipo litafikishwa kwenye vyombo vya sheria


Pia sugu alizungumzia kuhusu polisi kuwapiga wafuasi wa Chadema na kuwajeruhi vibaya kipindi cha Operesheni UKUTA na kutaka iundwe tume kuchunguza swala la wananchi hao kupigwa na waziri kujibu kuwa polisi walikuwa wanalinda amani

Na walimu nao walikuwa wanadumisha nidhamu
 
Uchunguzi wa nini sasa wakati video ipo... Hata kama dogo awe amefanya kosa gani sio kwa kipigo kile
Acheni unafiki nyie chadema eti kisa mbunge wenu katetea na nyinyi mnatetea huo ni unafiki sana.pitieni tabia za yule mwanafunzi ndipo myajua maana yake .harafu nyie chadema mlikuwa mnalalamika mawaziri kulivalia njuga suala lile la yule mwanafunzi kupigwa na hao walimu.Leo hii tena mnageuka ,binafsi sina chama zaid ya ACT lakini nasema chadema acheni unafiki.
 
Acheni unafiki nyie chadema eti kisa mbunge wenu katetea na nyinyi mnatetea huo ni unafiki sana.pitieni tabia za yule mwanafunzi ndipo myajua maana yake .harafu nyie chadema mlikuwa mnalalamika mawaziri kulivalia njuga suala lile la yule mwanafunzi kupigwa na hao walimu.Leo hii tena mnageuka ,binafsi sina chama zaid ya ACT lakini nasema chadema acheni unafiki.
Huna akili wewe nani amekwambia me chadema ...hakuna justification yoyote kupiga mwanafunzi kiasi kile...wewe ni tahira(usiniquote)
 
Kwani huyu mbunge alikosa cha kusemea mbeya mjini mpaka adandie inshu ya mwanafunzi kupigwa au ndio matatizo pekee yaliyopo jimboni kwake!!!!2020 tunahitaji wabunge wenye uweledi tu.chadema mpo hapo
Jiwe gizani
 
Sugu huwa na mwelewa sana ila suala la mwanafunz si muungi mkono aje naye afundishe kaa bungen anapiga vichwa je Wanafunzi wanavyo zarau, kibur, jeuri, atawafanyaje??we don't need politics in education,,
tena nyie walimu mnaobutua watoto wa watu kama mipira, zamu yenu yaja.

mnatakiwa mkamatwe na muadhibiwe vikali kimwili na kifungo.

wanafunzi wanaelekezwa kwa upendo. watakuelewa na kukutii.

ukijifanya nunda, watakudharau , na watageuka sugu.

endeleeni kupiga watoto wa watu hovyo, na mtanaswa tu.
 
tena nyie walimu mnaobutua watoto wa watu kama mipira, zamu yenu yaja.

mnatakiwa mkamatwe na muadhibiwe vikali kimwili na kifungo.

wanafunzi wanaelekezwa kwa upendo. watakuelewa na kukutii.

ukijifanya nunda, watakudharau , na watageuka sugu.

endeleeni kupiga watoto wa watu hovyo, na mtanaswa tu.
mitoto yenyewe kiburi hii? unamwambia kwenda chini anakushika tai anakukuda wallah wacha wapigwe tu eee.... na Mm nasema kama wadekeza kwenu tu lakini shuleni watapigwa tu
 
:D:D:D:D hii nchi ina wanafiki sijapata kuona kipindi kile mawaziri husika wamelivalia njuga walikuja na kuanza kulalamika hapa jukwaani leo tena wanageuza maneno
aisee:eek::eek::eek::eek::eek:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom