Gazeti la MwanaHalisi lapewa saa 24 kuomba radhi kwa kumchafua Rais Magufuli

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,583
6,633
436c94f6cc0d4ce356212be51ce6a839.jpg
 
Hata mimi nilivyoisoma asubuhi nikasema Israel kaguswa hapa kutakucha kweli bila karipio? Ningeshangaa, Rais kaguswa.

Mapilato tupieni na jicho pale kwenye hazeti letu la chama chetu tukufu TAZAMA nalo linatukana sana viongozi wa upinzani hata Kama hatuwapendi
 
Back
Top Bottom