Nafasi ya wabunge wa upinzani kwa sasa ni finyu awamu ya 5

ubuntuX

JF-Expert Member
Aug 18, 2014
1,977
2,200
Serikali ya awamu ya 5 chini ya rais Magufuli huenda imefanikiwa kuzima harakati na shughuli zilizokuwa zinaupaisha upinzani

Kwa sasa kiuhalisia wabunge wa upinzani hawana nafas ya kuwatumikia wananchi yao kutokana na nature ya serikali ya kutaka kupambana na kuminya upinzani!

Kwa hili JPM kafanikiwa, lwani kwa sasa nafasi ya wabunge wa upinzani haionekani kiukweli

Serikali hii ndio yenye mamlaka, wabunge wa upinzani wameshindwa kung'ara kwa kuwa mkulu ameminya kuanzia wabunge na mawaziri wake hadi wabunge wa upinzani!

Kwa sasa wapinzani wameshindwa kujua nini la kufanya ili kuwatumikia wananchi wao kwani kila wafanyalo JPM hulivuruga ili kuwanyima credit

Mfano mbunge wa Kawe ameshindwa kutekeleza wajibu wake akiishia kulalama na serkali kuu

Ni muda sasa wapinzani tuungane na tujikumbushe wajibu wetu dhidi ya serkali!
 
Serikali ya awamu ya 5 chini ya rais Magufuli huenda imefanikiwa kuzima harakati na shughuli zilizokuwa zinaupaisha upinzani

Kwa sasa kiuhalisia wabunge wa upinzani hawana nafas ya kuwatumikia wananchi yao kutokana na nature ya serikali ya kutaka kupambana na kuminya upinzani!

Kwa hili JPM kafanikiwa, lwani kwa sasa nafasi ya wabunge wa upinzani haionekani kiukweli

Serikali hii ndio yenye mamlaka, wabunge wa upinzani wameshindwa kung'ara kwa kuwa mkulu ameminya kuanzia wabunge na mawaziri wake hadi wabunge wa upinzani!

Kwa sasa wapinzani wameshindwa kujua nini la kufanya ili kuwatumikia wananchi wao kwani kila wafanyalo JPM hulivuruga ili kuwanyima credit

Mfano mbunge wa Kawe ameshindwa kutekeleza wajibu wake akiishia kulalama na serkali kuu

Ni muda sasa wapinzani tuungane na tujikumbushe wajibu wetu dhidi ya serkali!
Wakati wenzio wanatumia Akili kufikiri wee unamakalio.....
 
Mara nyingi waathirika wa punyeto huandika ulichokiandika.

Kwa nini usiruhusu kichwa chako kifanye kazi hata japo kwa saa moja?
 
Mwanasiasa mzuri ni yule anayejua nini cha kusema/kutenda wakati gani. Rais alipopiga marufuku vyama vya siasa vya upinzani kufanya siasa, lazima alijua watalalamika.

Siku zote adui yako akikufanyia jambo baya anajua utafanya kitu na hicho utakachokifanya atakuwa amejiandaa namna ya kukabiliana nacho. Mtu mwerevu siku zote hutafuta kutenda tofauti na yale aliyoyategemea adui yake.

Siamini kama Rais kupiga marufuku vyama vya upinzani kufanya siasa, kunamsaidia yeye mwenyewe binafsi kama kiongozi, serikali yake, CCM au Taifa. It is a big miscalculation. Atakuja kushangazwa. Hulka ya binadamu ni kutamani kupata asichokipata, na wala siyo kile alicho nacho siku zote.
 
Wameshindwa kutekeleza wajibu wao kivipi???

Wameminywa wapi?
Wajibu wa wabunge na vyama vya upinzani ni kuikosoa serkali inapokosea na kuchochea maendeleo kwa jamii
Serkali hii haiwapi nafasi kufanya hivyo, refer zuio la mikutano kisiasa
 
Mara nyingi waathirika wa punyeto huandika ulichokiandika.

Kwa nini usiruhusu kichwa chako kifanye kazi hata japo kwa saa moja?
Akilo huna wewe!

Wewe kichwa chako kinafanya kaz umegundua nini?
 
Back
Top Bottom