CHADEMA acheni unafiki mlishawahi kutangaza list of shame

Mwasita Moja

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
2,904
2,580
Bavicha walikuwa wanaongoza kumponda Rc kwamba anataja vidagaa badala ya mapapa wa dawa za kulevya.

Leo mara baada ya kutangazwa kwa majina ya watuhumiwa Papa wa dawa za kulevya, kama kawaida yao bavicha wameibuka wanalialia kwamba mwenyekiti wao amedharilishwa kutajwa hadharani!!

Chadema wamesahau kuwa walishawahi kutangaza list ya mafisadi papa waliofilisi nchi hadharani mchana kweupe. Sasa leo wanalialia nini kama siyo unafiki tu??

Hayo ndio mabadiliko waliyotuahidi ya kuficha majina ya wauza madawa ya kulevya yanayoangamiza vijana wa taifa letu??
 
Hawa Chadema hawanaga mambo ya kusimamia, katajwa Mbowe kama yeye binfsi, halafu eti chama kinaibuka kutetea. Upuuzi wa hali juu kabisa. Au hizo biashara Chama huwa kinashirikishwa? Ifike mahali watofautishe mambo ya chama na mambo binafsi ya viongozi.
 
Mojawapo ya favourite quote kutoka kwa Mandela.
Maneno machache ila yamebeba ujumbe mzito
"...some People will always be comfortable to be ruled anyhow, not because they like it but they have given away the sense of humanity..."

Nelson Mandela
 
Tatizo LA wafuas wa Chadema Kuna kitu Hawa elewi Ila mpaka 2020 watashtuka wengi.. Nacho ni
Uchaguzi wa mwaka JUZI ulikuwa ni baina ya makundi mawili wasafi na wachafu kama Unakumbuka team mbili za ccm kubwa kwenye Mchakato zili Feli.. Kikwete kuona wakose wote akakuletea magufuli Sasa wale WA upinzani wakaungana kutaka kuharibu zaid hii nchi.. Asante MUNGU rais akawa magufuli.. Viongozi wa Chadema ni ma dealer Hilo wengi wanakataa Ila ni ukweli. Ukafanya TATHMINI utagundua vita hii ni kubwa Ila magufuli kaamua kulimaliza kabisa.. Wanachama wa Chadema Hamna makosa.. Ila mmeshikwa Kwa nguvu za giza na viongozi wenu.. Poleni Sana kwenye uchaguzi wa ndani next time msiwarudushe mafisadi wa CCM waliamua kuzamia kwenu.. Hii vita sio ya makonda peke yake amini hivo.. Hata HiVyO hatuna Muda WA kuwabembeleza nyie mnaokosoa mpo wachache Sana hamuwez kufanya hii vita Irudi nyuma.. Phase namba three mtazid kutoka povu mkitajiwa godfather mkubwa huko chamani kwenu.. Halafu ili ku balance watatwaja na makada maarufu WA CCM. Hautaamini tuone mtaendelea kumtetea yupi au wote..
Say no to ngada. Awamu hii sio ya nne wengi bado mmelala.. Hamjui kinachoendelea
 
Bavicha walikuwa wanaongoza kumponda Rc kwamba anataja vidagaa badala ya mapapa wa dawa za kulevya.

Leo mara baada ya kutangazwa kwa majina ya watuhumiwa Papa wa dawa za kulevya, kama kawaida yao bavicha wameibuka wanalialia kwamba mwenyekiti wao amedharilishwa kutajwa hadharani!!

Chadema wamesahau kuwa walishawahi kutangaza list ya mafisadi papa waliofilisi nchi hadharani mchana kweupe.

Sasa leo wanalialia nini kama siyo unafiki tu??

Hayo ndio mabadiliko waliyotuahidi ya kuficha majina ya wauza madawa ya kulevya yanayoangamiza vijana wa taifa letu??

Hii ni hoja nyepesi

ukituhumiwa una mawili

1. kushitaki mahakamani......ukishinda ulipwe fidia kulingana na defamation uliofanyiwa.

2. Kukaa kimya....hususan ukijuwa ukienda mahakamani unaenda kujikaanga kwa mafuta yako (List of shame)

Kwa hili la makonda

Tumejiridhisha kwamba wakienda mahakamani...makonda anaushahidi beyond doubt ya hiyo list yote.

Tufaham TID ni tofauti na majina mengine humo......kesi zitakuwa nzito......

Tuwe makini na vithread vya hoja nyepesinyepesi
 
Tatizo LA wafuas wa Chadema Kuna kitu Hawa elewi Ila mpaka 2020 watashtuka wengi.. Nacho ni
Uchaguzi wa mwaka JUZI ulikuwa ni baina ya makundi mawili wasafi na wachafu kama Unakumbuka team mbili za ccm kubwa kwenye Mchakato zili Feli.. Kikwete kuona wakose wote akakuletea magufuli Sasa wale WA upinzani wakaungana kutaka kuharibu zaid hii nchi.. Asante MUNGU rais akawa magufuli.. Viongozi wa Chadema ni ma dealer Hilo wengi wanakataa Ila ni ukweli. Ukafanya TATHMINI utagundua vita hii ni kubwa Ila magufuli kaamua kulimaliza kabisa.. Wanachama wa Chadema Hamna makosa.. Ila mmeshikwa Kwa nguvu za giza na viongozi wenu.. Poleni Sana kwenye uchaguzi wa ndani next time msiwarudushe mafisadi wa CCM waliamua kuzamia kwenu.. Hii vita sio ya makonda peke yake amini hivo.. Hata HiVyO hatuna Muda WA kuwabembeleza nyie mnaokosoa mpo wachache Sana hamuwez kufanya hii vita Irudi nyuma.. Phase namba three mtazid kutoka povu mkitajiwa godfather mkubwa huko chamani kwenu.. Halafu ili ku balance watatwaja na makada maarufu WA CCM. Hautaamini tuone mtaendelea kumtetea yupi au wote..
Say no to ngada. Awamu hii sio ya nne wengi bado mmelala.. Hamjui kinachoendelea

Watu wakianza kuorodhesha majina ya wauza unga na pembe za ndovu kutoka ccm usilie.
 
Hawa Chadema hawanaga mambo ya kusimamia, katajwa Mbowe kama yeye binfsi, halafu eti chama kinaibuka kutetea. Upuuzi wa hali juu kabisa. Au hizo biashara Chama huwa kinashirikishwa? Ifike mahali watofautishe mambo ya chama na mambo binafsi ya viongozi.
Mbona akitajwa Magufuli moja kwa moja anahusishwa na uraisi?
 
Watu wakianza kuorodhesha majina ya wauza unga na pembe za ndovu kutoka ccm usilie.
Magufuli - "hata akiwa mke wangu akamatwe" hii KAULI kumbe bado hamjaielewa.. CCM wakamatwe mara ngapi Sema wa ongezeke kwenye list na kwa taarifa yako phase three ya makonda haitamuacha KIGOGO awe riz, awe kingunge awe chenge awe rostam awe kikwete awe yoyote yule awe lowasa awe yoyote hatapona.. Mark my word
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom