Kwa CCM Katiba mpya si jambo jipya

Kwa CCM Katiba mpya si jambo jipya

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,745
Reaction score
50,154
Ninapoona baadhi ya wana CCM wanasitasita kuhusu marekebisho ya Katiba ama kuwepo kwa katiba mpya huwa nawashangaa sana.

Huwa nahisi kuwa kwa sasa CCM inaongozwa na watu ambao si CCM ama siyo makada wanaoifahamu vizuri historia ya nchi yetu na ya chama chao.

Mwaka 1977 CCM iliandika Katiba mpya iliyoakisi kwa uzuri Muungano wa Tanganyika na Zanzibari.

Kwa maana nyingine toka mwaka 1964 Tanganyika na Zanzibari zilipoungana, Katiba iliyokuwa inatumika siyo ile iliyoandikwa mwaka 1977.

Hawa CCM wa sasa wanaoogopa marekebisho ya Katiba au uandikwaji wa Katiba mpya jee ni wana CCM kweli ama ni mamluki ndani ya hicho?
 
Ninapoona baadhi ya wana CCM wanasitasita kuhusu marekebisho ya Katiba ama kuwepo kwa katiba mpya huwa nawashangaa sana.

Huwa nahisi kuwa kwa sasa CCM inaongozwa na watu ambao si CCM ama siyo makada wanaoifahamu vizuri historia ya nchi yetu na ya chama chao.

Mwaka 1977 CCM iliandika Katiba mpya iliyoakisi kwa uzuri Muungano wa Tanganyika na Zanzibari.

Kwa maana nyingine toka mwaka 1964 Tanganyika na Zanzibari zilipoungana, Katiba iliyokuwa inatumika siyo ile iliyoandikwa mwaka 1977.

Hawa CCM wa sasa wanaoogopa marekebisho ya Katiba au uandikwaji wa Katiba mpya jee ni wana CCM kweli ama ni mamluki ndani ya hicho?
acha upotoshaji jukwaani gentleman.

suala la katiba mpya lipo kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM, na ni miongoni mwa vipaumbele muhimu sana ambavyo vilichochea waTanzania na wapiga kura wengi kuipenda zaidi na kuichagua CCM na wagombea wake wote kwa kishindo cha zaidi ya 98% ngazi ya wagombea wa kitaifa.

huna haja ya kuleta porojo useless kama hizo jukwaani plz. Hakuna mTanzania au chama cha chochote cha siasa nchini kinachoogopa katiba mpya, ispokua ni kupambana ipatikane katika ubora tajika kwa wakati muafaka 🐒
 
Kitu ujue... Ukisikia ccm wanataja neno Katiba Mpya haraka haraka fahamu kuwa hiyo Katiba ni tofauti na matarajio ya wananchi.
 
Kitu ujue... Ukisikia ccm wanataja neno Katiba Mpya haraka haraka fahamu kuwa hiyo Katiba ni tofauti na matarajio ya wananchi.
Kitu au jambo lolote lile ukiona linapigiwa chapuo na CCM, jua halitakiwi na wananchi.
 
Back
Top Bottom