Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna wale ambao akishatenguliwa tu tayar anakuwa mpinzani...kabila lake halifai kuwa kiongozi. Kuna wale hawawezi kukaa na kitu moyoni yani hawana Siri...wakibainika kabila lake halifai kushika...
1 Reactions
17 Replies
164 Views
UGAIDI/Uhaini wa kubambikiwa raia wasio na hatia ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Makosa haya mawili ndiyo makosa makubwa sana kwa mujibu wa makosa ya kijinai,hivyo unapompa tuhuma za...
0 Reactions
0 Replies
48 Views
Wanabodi, Kufuatia ziara ya jirani yetu mmoja, kwa jina la utani Kasongo, hivi karibuni nchini mwetu na kulihutubia Bunge letu, akatufungua macho kuhusu fursa za mtambo wa kusafisha mafuta ghafi...
4 Reactions
12 Replies
515 Views
Lazima kuwe na mawazo tofauti. Lazima kuwe na mawazo... Aliyetuumba mwenyewe ametuacha tukiwa na mawazo tofauti. Tuna Wakristo, tuna Waislamu, tuna ma-Buddha, tuna Wayahudi, eh tuna watu ambao...
15 Reactions
14 Replies
351 Views
Japokuwa kauli ya Makamu wa Rais baadhi ya watanzania hasa wanaharakati wanaiona kama ni kauli ya kishujaa na kuwahamasisha wananchi wanaodai katiba mpya kutokata tamaa Hata hivyo ni kauli yenye...
6 Reactions
9 Replies
129 Views
Ndugu zangu nimejiuliza maswali kadha wa kadha kuhusu suala la MWAJIRI kupitia ofisi ya Afisa utumishi kuingiza makato ktk mshahara wa mtumishi kwa vyama viwili tofauti vya wafanyakazi ktk...
7 Reactions
48 Replies
5K Views
Naomba kueleweshwa. Makamu wa rais ana nafasi gani katika nchi? 👉Anahamasisha wananchi wapambane na nani ili kupata katiba mpya? 👉Wanasiasa Wanaoishi mahabusu na magereza Leo siyo kwa sababu ya...
23 Reactions
29 Replies
473 Views
Mliokuwa hamjui ni kwamba; Moja ya hirizi ya uchawi wa CCM ulioteka na kuharibu akili za watu na kuwa kama mazezeta ni hii koroboi inayoitwa "Mwenge wa Uhuru..." Godbless Lema wakati fulani...
2 Reactions
2 Replies
52 Views
Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi ya CCM na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Rajabu Maganya, amesema mchakato wa Katiba Mpya ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2030...
4 Reactions
37 Replies
921 Views
Heshima sana wanajamvi Mheshimiwa Rais Samia alishindwa kufanya kazi na Kassim Majaliwa Waziri Mkuu wa JMT. Katika harakati za mfifisha Majaliwa akaunda nafasi ya Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho...
5 Reactions
15 Replies
322 Views
Hili la kusema hivi then kesho kutwa tunawaona wote kwenye adhimisho flani hatuwez kukubali.. Hizi mbanga unaongea hivi then kesho unasema tena mpo pamoja na Mkulu hatuwez kumuanini 100% Tupo...
1 Reactions
2 Replies
54 Views
Sina zaidi la kueleza maana mada za Nchimbi jukwaani ni nyingi. Je, kibano cha mabeberu kinafanya kazi yake na watu wanfikiri sawasawa sasa? At any rate , hata Mwalimu mwaka 1977 aliwahi kusema...
2 Reactions
3 Replies
69 Views
Openly, kwenye media, bila uoga, Mwaipopo kajitangaza kwamba anamiliki vikundi vya kigaidi vyenye mafunzo ya hali ya juu, akivionyesha kwenye camera. Polis hawakuchukua hatua yoyote. Badala yake...
4 Reactions
5 Replies
111 Views
kizungumza kwenye kipindi cha Kapu Kubwa Leo, @bodaboda_mmbea amesema kuwa wanafunzi wengi na familia zao wanapata ugumu kutokana na ada kutolipiwa kikamilifu, jambo linalowalazimu kutafuta fedha...
0 Reactions
1 Replies
54 Views
Wakuu, Kumkumbuka tutamkumbuka apo kwenye tutamkumbuka kwenye nini Mchengerwa atuachie sisi ======== Waziri Mchengerwa aliyasema hayo Julai 23, 2026 kwenye ziara yake ya kikazi ya siku 4 mkoani...
8 Reactions
90 Replies
1K Views
SEHEMU YA KUMBUKUMBU YA RAIS MKAPA: MIAKA 6 TANGU ATUAGE Anaandika Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), Bw. David Kafulila, kupitia mtandao wa X...
2 Reactions
11 Replies
260 Views
Mkuu huyo wa wilaya huko Shinyanga ameonekana kwenye taarifa ya habari ya ITV saa mbilu usiku huu akiwa ameambatana na polisi. Julius Ntatiro mkuu wa wilaya ameonekana akiwa nyumbani hapo na...
7 Reactions
27 Replies
562 Views
Mabango ya "Chagua Samia" hadi leo yapo barabarani, japo uchaguzi umeisha tangu October 2025. Sasa swali ni kwamba, kwa kuwa ukiweka bango barabarani kama hayo ya "Chagua Samia" lazima ulilipie...
3 Reactions
16 Replies
323 Views
Askofu Dr. Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe, akizungumza na Sauti Digital Ijumaa Julai 24, 2026 amehoji kuhusu kauli ya Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi...
1 Reactions
0 Replies
112 Views
Katika nafasi yake Lissu alifanikiwa kupindua meza na kuufuta utawala wa Mbowe katika mazingira ambayo hayakutarajiwa. Nchimbi nafikiri anahitaji mtu wa nafasi/Role ya Mnyika na Heche. Same playbook
3 Reactions
7 Replies
197 Views
Back
Top Bottom