Mgomo wa wahadhiri vyuo vikuu wanukia

Mgomo wa wahadhiri vyuo vikuu wanukia

Kindus

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2014
Posts
4,216
Reaction score
3,293
Ni kufwatia kukamatwa na kupewa kesi ya ugaidi kwa wenzao wa UDOM
Vikao vya chama cha wahadhiri vyuo vikuu vinaendelea ili kuona namna ya kuchukua hatua stahiki za haraka
Eitha kutokana na hali ilivyo usiri umetawala na huenda wakatoka na azimio moja tu la mgomo.
 
Ni kufwatia kukamatwa na kupewa kesi ya ugaidi kwa wenzao wa UDOM
Vikao vya chama cha wahadhiri vyuo vikuu vinaendelea ili kuona namna ya kuchukua hatua stahiki za haraka
Eitha kutokana na hali ilivyo usiri umetawala na huenda wakatoka na azimio moja tu la mgomo.
Inawezekana kabisa ,huu ni upuuzi kumfurahisha mtawala,hata Yeye huenda anawashangaa!
 
Ni kufwatia kukamatwa na kupewa kesi ya ugaidi kwa wenzao wa UDOM
Vikao vya chama cha wahadhiri vyuo vikuu vinaendelea ili kuona namna ya kuchukua hatua stahiki za haraka
Eitha kutokana na hali ilivyo usiri umetawala na huenda wakatoka na azimio moja tu la mgomo.
Hawawezi,wanajua mbilinge yake!
 
Ni kufwatia kukamatwa na kupewa kesi ya ugaidi kwa wenzao wa UDOM
Vikao vya chama cha wahadhiri vyuo vikuu vinaendelea ili kuona namna ya kuchukua hatua stahiki za haraka
Eitha kutokana na hali ilivyo usiri umetawala na huenda wakatoka na azimio moja tu la mgomo.
Vijana kibao hawana kazi, wagome vijana wapate ajira.
 
Ni kufwatia kukamatwa na kupewa kesi ya ugaidi kwa wenzao wa UDOM
Vikao vya chama cha wahadhiri vyuo vikuu vinaendelea ili kuona namna ya kuchukua hatua stahiki za haraka
Eitha kutokana na hali ilivyo usiri umetawala na huenda wakatoka na azimio moja tu la mgomo.
Hakuna muhadhiri anayeweza kugoma. Kwanza wahadhiri wengi ni machawa. Pili wananjaa sana.Wahadhiri wanaongeka kwa elfu 10, elfu 50 kirahisi tu. Yaani ndio utegemee wagome kwa sababau ya mwenzao.
 
Back
Top Bottom