Ugaidi ni tuhuma kali sana na ndio maana ni kosa ambalo linapingwa na kudhibitiwa kimataifa.
Gaidi wa Tanzania ni gaidi wa dunia nzima.
Kama ndio hivi, je Watanzania wanavyokamatwa kwa ugaidi...
Wanabodi,
Hii ni Makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo, ni makala ya pongezi
kumshukuru na kumpongeza Rais Samia kwa kutokusaini death warrant yoyote kuidhinisha utekelezaji wa...
My friends, ladies and gentlemen.
Ni ukweli usiopingika kwamba mtu yeyote yule anae izungumzia katiba mpya Tanzania, anazungumzia kuhusu ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030, ambayo ndio...
Najua sasa kiafya na kiakili umechoka sana - JIUZULU
Assistant Vampire ameshaanza kukenua meno yake makali kwako - JIUZULU
Umeandaa wasia siku ya marehemu washika mikuki, umekataliwa usiusome...
Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi sio tuu ni Mtanzania mzalendo, bali pia ni mjamaa na muumini wa dhati wa falsafa ya Mwalimu Nyerere, ya Ujamaa na kujitegemea, pia Mkristu Mkatoliki...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika Ninafurahi Sana tena sana ninapomuona Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Moja kwa moja Ama live katika Shughuli mbambali na majukumu...
Hakuna siri iliyofichika kwenye chungu cha kukaangia.
Kundi la watu 22 ndani ya ukumbi huo huo, wamekaa wanasuka kamba. Lengo lao moja: kumuangusha jamaa.
Lakini wanasubiria neno kutoka mlimani...
Inasemekeana yule Mzanzibari alikuwa akimlenga Sigrada Mligo na wala sio makamu wa rais Dk Nchimbi.
Haiwezekani mbunge wa CCM aweze kumdhalilisha namna hii makamu wa rais kwa kumuita Yuda na...
Nimemuona akitoka maadhimisho ya walenga shabaha wa mipakani. Ukimuangalia unaona kabisa mwili umetikisika, kupungua kama si kupungua. Labda mtu akiwa kwenye diet anakuwa vile.
Sasa ninyi...
Tanzania kwa sasa inaviashiria vyote vya kuelekea kwenye failed state na vita ya wenyewe kwa wenyewe, anayezuia nchi hii isiingie kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe ni Tundu Lissu kwa sababu...
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, amesema kauli ya Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi ya kuwataka Watanzania wapambane kupata Katiba Mpya imeibua tafsiri mbili...
Rais samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili na nina uhakika bila yeye hii nchi ingejifia kitambo sana Rais samia kipenzi cha wanyonge na kiboko ya wapizani na nina uhakika...
Kiongozi wetu na Mwenyekiti wetu alikamatwa akiwa mzima,
Taarifa Kama hizi za kuhusu kujaribu kucheza na maisha yake hazitakubalika.
Serikali hii dhalimu inapaswa kumuachia Lissu haraka.
Sisi...
Michango ya tonetone ambayo kwa sasa inakaribia kufika mil 350 ni ushahidi kuwa Watanzania hawaitaki tena CCM.
Watanzania tupambane kupata katiba mpya kama alivyotushauri Judas of CCM
Hapo ndipo...
Hamjambo wote!
Hili jambo limekuwa likija na kuondoka katika meza yetu hapa nyumbani. Mwanzoni nilifikiri anazungumza kama sehemu ya utani. Hiyo ni miaka saba iliyopita tena ilikuwa kipindi kile...
Kama kosa lake kubwa ni kufanya uchochezi kupitia hiyo module aliyokuwa anafundisha nadhani tutumie busara kuifutilia mbali ili kuepusha wahadhiri wengine kuingia mtegoni na kujikuta wanafanya...
https://youtu.be/tN1-smB7nOo?si=j1dEU9tUQi1fNu2N
Anasema:
1. Ameamua kutoka huko ili kuungana na wapigania haki wengine kuipigania haki, demokrasia na utawala bora Tanzania
2. Haoni chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.