Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ugaidi ni tuhuma kali sana na ndio maana ni kosa ambalo linapingwa na kudhibitiwa kimataifa. Gaidi wa Tanzania ni gaidi wa dunia nzima. Kama ndio hivi, je Watanzania wanavyokamatwa kwa ugaidi...
1 Reactions
1 Replies
53 Views
Wanabodi, Hii ni Makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo, ni makala ya pongezi kumshukuru na kumpongeza Rais Samia kwa kutokusaini death warrant yoyote kuidhinisha utekelezaji wa...
1 Reactions
25 Replies
381 Views
My friends, ladies and gentlemen. Ni ukweli usiopingika kwamba mtu yeyote yule anae izungumzia katiba mpya Tanzania, anazungumzia kuhusu ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030, ambayo ndio...
1 Reactions
28 Replies
243 Views
Najua sasa kiafya na kiakili umechoka sana - JIUZULU Assistant Vampire ameshaanza kukenua meno yake makali kwako - JIUZULU Umeandaa wasia siku ya marehemu washika mikuki, umekataliwa usiusome...
35 Reactions
42 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/live/pnUzy-lmNrA?si=OenV3rhwlyxFnEbk
5 Reactions
43 Replies
728 Views
Wanabodi, Declaration of Interest Mimi sio tuu ni Mtanzania mzalendo, bali pia ni mjamaa na muumini wa dhati wa falsafa ya Mwalimu Nyerere, ya Ujamaa na kujitegemea, pia Mkristu Mkatoliki...
5 Reactions
22 Replies
371 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa Hakika Ninafurahi Sana tena sana ninapomuona Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Moja kwa moja Ama live katika Shughuli mbambali na majukumu...
2 Reactions
146 Replies
2K Views
Hakuna siri iliyofichika kwenye chungu cha kukaangia. Kundi la watu 22 ndani ya ukumbi huo huo, wamekaa wanasuka kamba. Lengo lao moja: kumuangusha jamaa. Lakini wanasubiria neno kutoka mlimani...
32 Reactions
53 Replies
2K Views
Inasemekeana yule Mzanzibari alikuwa akimlenga Sigrada Mligo na wala sio makamu wa rais Dk Nchimbi. Haiwezekani mbunge wa CCM aweze kumdhalilisha namna hii makamu wa rais kwa kumuita Yuda na...
5 Reactions
39 Replies
968 Views
Nimemuona akitoka maadhimisho ya walenga shabaha wa mipakani. Ukimuangalia unaona kabisa mwili umetikisika, kupungua kama si kupungua. Labda mtu akiwa kwenye diet anakuwa vile. Sasa ninyi...
19 Reactions
69 Replies
2K Views
Tanzania kwa sasa inaviashiria vyote vya kuelekea kwenye failed state na vita ya wenyewe kwa wenyewe, anayezuia nchi hii isiingie kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe ni Tundu Lissu kwa sababu...
7 Reactions
19 Replies
320 Views
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, amesema kauli ya Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi ya kuwataka Watanzania wapambane kupata Katiba Mpya imeibua tafsiri mbili...
0 Reactions
0 Replies
119 Views
Rais samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili na nina uhakika bila yeye hii nchi ingejifia kitambo sana Rais samia kipenzi cha wanyonge na kiboko ya wapizani na nina uhakika...
1 Reactions
26 Replies
297 Views
Jiwe gizani wenye akili wameelewa. CCM inaenda kupata ajali?
13 Reactions
43 Replies
990 Views
Kiongozi wetu na Mwenyekiti wetu alikamatwa akiwa mzima, Taarifa Kama hizi za kuhusu kujaribu kucheza na maisha yake hazitakubalika. Serikali hii dhalimu inapaswa kumuachia Lissu haraka. Sisi...
4 Reactions
8 Replies
316 Views
Michango ya tonetone ambayo kwa sasa inakaribia kufika mil 350 ni ushahidi kuwa Watanzania hawaitaki tena CCM. Watanzania tupambane kupata katiba mpya kama alivyotushauri Judas of CCM Hapo ndipo...
7 Reactions
32 Replies
465 Views
Hamjambo wote! Hili jambo limekuwa likija na kuondoka katika meza yetu hapa nyumbani. Mwanzoni nilifikiri anazungumza kama sehemu ya utani. Hiyo ni miaka saba iliyopita tena ilikuwa kipindi kile...
12 Reactions
209 Replies
2K Views
Kama kosa lake kubwa ni kufanya uchochezi kupitia hiyo module aliyokuwa anafundisha nadhani tutumie busara kuifutilia mbali ili kuepusha wahadhiri wengine kuingia mtegoni na kujikuta wanafanya...
2 Reactions
7 Replies
186 Views
https://youtu.be/tN1-smB7nOo?si=j1dEU9tUQi1fNu2N Anasema: 1. Ameamua kutoka huko ili kuungana na wapigania haki wengine kuipigania haki, demokrasia na utawala bora Tanzania 2. Haoni chama...
7 Reactions
17 Replies
330 Views
Back
Top Bottom