Huyu anayekaa kabisa na Samia pembeni kabisa anathibitisha kwamba kashachanganyikiwa
Mwigulu na Baraza zima pia wanatemwa anaunda linguine kabla ya mwaka kuisha, kuna sababu kaniambia Ila ngoja...
Ukweli kwamba anainyosha nchi. Kila goti litapigwa kuanzia Dar hadi Ruvuma, kupitia Lindi na njia ya kuelekea kwa sugu
Kama alifanikiwa bunge la katiba hana hata kajeshi kamoja na hata hili...
Naomba tu Majibu. Au ndo Ile mtu yupo ofsni lakini KAZI alishasusa kitambo sana.
Naomba watanzania tuwasaidie majukumu viongozi wetu waliotuteua kwa moyo wa dhati kwasababu wametuamini wametuona...
Nimependa kujiuzulu kwa Nchimbi ili kupisha utawala wa kifalme . Afanye hivyo kama mfadhili na rafiki yake Museveni kieleweke. Sasa naamini Tanzania ni shamba la bibi tena mwenyewe kiziwi na...
Mlifanya jambo kama hilo kwa Spika wa bunge kwa sasa naomba msijaribu kwa makamu wa rais mtaleta maafa. Kwanini awe Samia pekee anayegombana na wandani wake. Kuanzia kwa Kasimu Majaliwa, VP...
Katiba inasemaje kama Samia akimteua Makamu wa rais Mwingine baada ya Nchimbi kujiuzulu na Ikatokea Samia kapata changamoto yoyote ya kibinadamu itakayofanya ashindwe kuendelea na majukumu yake na...
Uamuzi wa Makamu wa Rais Dk. Emmanuel Nchimbi wa kutangaza kujiuzulu nafasi yake umezua mjadala mzito huku hatua hiyo ikitazamwa kama dharau ya wazi na kukosekana kwa heshima kwa mamlaka ya ofisi...
Hizi barua za kujiuzilu za viongozi wakubwa zinaandikagwa na nani? Au wanaziandikaga wenyewe wakiwa under arrest?
Ebu we msomaji iangalia au TAFUTA barua ya kujiuzilu kwa Nchimbi inaonekana...
Machine kadhaa na magari mfano ile Rolls Royce yenye insurance ya Sh.55,000,000 ni mali ya Abdul. Ameiandikisha kwa China Xiping yang Chan Tc Milestone Ltd. Kampuni ya Kichina iliyopo Tanzania...
Katika hotuba yake kwenye maadhimisho ya Maulid, Sheikh Mziwanda amewakosoa wanaosema Tanzania hakuna maendeleo
"Uhuru ukikosa mipaka ni uwendawazimu... Sasa kuna uhuru wa kusema lolote na...
Visa, vitimbi vinaanza Sasa, file zito jekundu lipo MEZANI kwa Bwana.
Pamoja yakuwa ana cheo cha UBALOZI lakini sio raia.
Pamoja yakuwa aliwai kuwa waziri wa mambo ya ndani ILA sio raia.
Baada...
Nchi vijana wanakusanyika kuangalia tamthiliya kwenye cinema
Vijana wanakubali haki yao kuporwa kwa sh elfu 5 tu
Vijana ambao hawako committed wanatupa mpira kwa wengine kuwafanyia maendeleo...
Nchimbi hata mara moja hajazungumzia CCM na amesema anajiuzulu siasa maana yake ni kwamba kapiga dongo CCM kwa kiasi kikubwa.
Sasa kama wewe bado upo CCM jiulize kusudi lako hasa ni lipi! Kwa...
Mfululizo wa viongozi kujiuzulu katika awamu yako umeongezeka na unatishia sana Usalama wa kidemokrasia wa taifa, mheshimiwa rais nakushauri kataa Barua yake hii ni aibu kwa taifa letu.
Orodha ya...
Vita ya majimaji iliongozwa na Kinjeketile na akaweza kuwashawishi wananchi wengi vijana wakajiunga na jeshi lake.
Vita ya majimaji ilikuwa na wapiganaji walikuwa na Imani kubwa kuwa watawashinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.