che chaunichile
JF-Expert Member
- Jul 4, 2026
- 392
- 660
Nikisubiri 2040 ndio aishike nchi,sina uhakika na uhai wangu kutokana na umri wangu.
Japo Mimi ni Dola,lakini siwaani hawa wenzangu kama watampitisha hiyo 2040.
Hivyo muda pekee ni hii 2030 kwani Bado Nina nguvu na ushawishi mkubwa.
Nitawapoteza wote watakao zuia mwanangu asiwe raisi 2030.
Kwaherini
Japo Mimi ni Dola,lakini siwaani hawa wenzangu kama watampitisha hiyo 2040.
Hivyo muda pekee ni hii 2030 kwani Bado Nina nguvu na ushawishi mkubwa.
Nitawapoteza wote watakao zuia mwanangu asiwe raisi 2030.
Kwaherini
