Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Sasa ni wakati wa kupona, kuwajibika na kusonga mbele kwa umoja. Ripoti hii ni hatua ya mwanzo ya mustakabali imara.#RipotiYaChande Tume Ya Uchunguzi
0 Reactions
2 Replies
106 Views
Rais Dkt. Samia alisema: "Hili ni janga na doa kubwa kwa Taifa letu." Alisisitiza kuwa kazi ya Tume imeiwezesha nchi kupata uelewa sahihi wa kilichotokea, ikijumuisha uchambuzi wa kina uliotokana...
0 Reactions
1 Replies
126 Views
Mkuu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, Askofu Dkt. Fredrick Shoo amesema ameipokea kwa furaha Ripoti ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani, akisema imekuwa sehemu ya kuponya...
0 Reactions
0 Replies
69 Views
Mtangazaji (Sky News): "Serikali haikuwa na wajibu [wa vifo vya waandamanaji]?" Balozi Nyalandu: "Serikali haikuwa na wajibu wa vifo vya waandamanaji. Serikali ilikwenda kulinda kila mtu. Ilikuwa...
0 Reactions
1 Replies
63 Views
Waziri wa Sera, Bunge na Uratibu, Profesa Palamagamba Kabudi, ametangaza mwelekeo mpya wa serikali katika kushughulikia hali ya kisiasa nchini, akisisitiza kuwa Tanzania inatarajia kupata Katiba...
0 Reactions
0 Replies
86 Views
Huyu ndio Kiongozi WA kuigwa afrika
7 Reactions
5 Replies
242 Views
Baada ya ripoti hii kutoa idadi ya mamia ya watu waliouwawa Oktoba 29 , ICC si watakuwa wamepata sababu nyingine ya kuchunguza haya mauji ukizingatia hiyo idadi? Na kwa Samia mwenyewe kusema...
6 Reactions
14 Replies
507 Views
Ustadi wa Jaji Chande katika Sheria ya Kibinadamu ya Kimataifa, Sheria ya Wakimbizi, Sheria ya Jinai na Sheria ya Ushahidi unamfanya kuwa kiongozi bora siyo tu duniani bali eneo lote la Afrika...
0 Reactions
45 Replies
851 Views
Hamjambo wote! Sina mengi ya kusema zaidi ya Nuru ndogo (ya kibatari) haiwezi kufukuza Giza la eneo kubwa. Nuru iongezwe ili Giza lisiweze kusimama mbele ya uso wa nchi. Nataka niwaambie huwezi...
8 Reactions
17 Replies
395 Views
Hawa MaProfesa ninao waona kwenye uwaziri na Wengine mulioko hapo Ikulu. Hamuna uwezo wa kuanzisha darasa kwa Samia Ili mumusaidie walau ajue uongozi? Mbona mmemuacha tu kila siku yeye ni...
4 Reactions
6 Replies
243 Views
  • Redirect
Tume imetoa mapendekezo ya kuimarisha amani na uwajibikaji. Rais ameahidi kutekeleza ili kuepuka kurudia matukio. "Tumegusa kaa la moto na tumejifunza" – hii ni dhamira mpya ya kujenga Taifa...
0 Reactions
Replies
Views
Rais Samia amesema kuwa yaliyotokea Oktoba 25 (29) hayakuondosha wala kupunguza changamoto tulizokuwa nazo, bali zimeongeza changamoto. kama ghasia zile zisingedhibitiwa nchi ingepata athari kubwa...
0 Reactions
4 Replies
199 Views
Katika mafundisho ya Qur’an, Siku ya Hukumu (Yawm al-Qiyāmah) ni siku ya mwisho ambapo haki kamili ya Allah itadhihirika kwa ukamilifu usio na mfano. Moja ya hekima kubwa ya siku hii ni kuonyesha...
4 Reactions
6 Replies
177 Views
  • Redirect
"Hatma ya Tanzania ipo mikononi mwa Watanzania wenyewe." Tumegusa kaa la moto na tumejifunza. #RipotiYaChande Tume Ya Uchunguzi
0 Reactions
Replies
Views
"...Watanzania tusikubali kurubuniwa kuharibu nchi yetu. Tusikubali kuchochewa, iwe na wanasiasa, wanaharakati, wahalifu au watu wenye chuki na wenye maslahi binafsi kwa njia yoyote ile kuvuruga...
0 Reactions
7 Replies
331 Views
Leo Chande atatukumbusha wapendwa wetu waliouawa na polisi kwa kupigwa risasi za kichwa. Leo tutakumbushwa yule mama wa Arusha aliyepigwa risasi ya mgongo akiwa na mimba ya miezi mitatu. Leo...
7 Reactions
29 Replies
516 Views
Kwa taarifa ya tume ya uchinguzi wa mambo yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa raisi wabunge na madiwani october 29.2025 na jaji chande imeonesha kuwa baadaya ya uchunguzi tume imebaini...
4 Reactions
8 Replies
330 Views
Pamoja na takwa la Serikali la kuhakikisha miundo mbinu inasomana, Kwa maoni yangu, sioni tija ya mradi wa BRT awamu ya tatu kuingiza mchepuko wake ndani ya Airport ya Kimataifa ya Julius Nyerere...
3 Reactions
52 Replies
819 Views
  • Redirect
Akizungumza wakati wa kupokea ripoti hiyo, Mheshimiwa Rais alitambua kwa uzito mkubwa madhara yaliyolikumba Taifa, akipokea maelezo kuwa matukio hayo yalisababisha vifo vya takribani watu 518...
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu Akizungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025...
0 Reactions
5 Replies
527 Views
Back
Top Bottom