Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 591
- 546
Rais Dkt. Samia alisema: "Hili ni janga na doa kubwa kwa Taifa letu." Alisisitiza kuwa kazi ya Tume imeiwezesha nchi kupata uelewa sahihi wa kilichotokea, ikijumuisha uchambuzi wa kina uliotokana na ushahidi wa mashahidi 1,323, maelezo ya viapo 953, pamoja na maoni yaliyokusanywa kupitia njia mbalimbali. #RipotiYaChande
Tume Ya Uchunguzi
Tume Ya Uchunguzi