PostGE2025 Rais Samia: Tusikubali kuchochewa na wanasiasa, wanaharakati, wahalifu, wenye maslahi binafsi kuvuruga tunu ya amani

PostGE2025 Rais Samia: Tusikubali kuchochewa na wanasiasa, wanaharakati, wahalifu, wenye maslahi binafsi kuvuruga tunu ya amani

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mwanamwana

Platinum Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
9,604
Reaction score
22,713
"...Watanzania tusikubali kurubuniwa kuharibu nchi yetu. Tusikubali kuchochewa, iwe na wanasiasa, wanaharakati, wahalifu au watu wenye chuki na wenye maslahi binafsi kwa njia yoyote ile kuvuruga tunu ya amani yetu.

Tusimame imara na kwa umoja tulijenge taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tanzania ndipo kwetu, hatuna pengine katu hatuna. Hatuna pengine. Kwa hiyo tukijenga nchi yetu tutakaa kwa raha, tukivuruga nchi yetu tutaendelea kukaa jinsi tunavyokwenda; tutakuwa na matatizo yasiyoisha.

Baada ya kusema hayo niwatakie nyote neema na baraka." - Rais Samia
 
"Hatma ya Tanzania ipo mikononi mwa Watanzania wenyewe." Tumegusa kaa la moto na tumejifunza. #RipotiYaChande
Tume Ya Uchunguzi
IMG-20260423-WA0268.jpg
 
Ni sahihi kabisa hatima ya Tanzania ipo mkononi mwetu.Hawa wahuni waliojipachika madarakani kwa kumwaga damu za watanzania siku ya October 29/2025 hatutawaruhusu kuendelea kutukejeli na kutudhihaki.Muda wa kuikomboa nchi unakaribia.SIKU YA UFUNGUZI WA AFCON TUKAKINUKISHA TENA KWA NGUVU MARA KUMI YA ILIVYOKUWA MWANZO..ewe Mtanzania mzalendo jiandae kuipigania nchi yako ili kuikomboa kutoka kwa wakoloni weusi
 
Back
Top Bottom