PostGE2025 Rais Samia: Vurugu hazikuondoa changamoto, bali zimeongeza

PostGE2025 Rais Samia: Vurugu hazikuondoa changamoto, bali zimeongeza

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
810
Reaction score
2,044
Rais Samia amesema kuwa yaliyotokea Oktoba 25 (29) hayakuondosha wala kupunguza changamoto tulizokuwa nazo, bali zimeongeza changamoto. kama ghasia zile zisingedhibitiwa nchi ingepata athari kubwa sana na ingetuchukua miaka mingi kuinuka tena.

Amewasii watanzania kulinda amani ya nchi.
 
Tume imetoa mapendekezo ya kuimarisha amani na uwajibikaji. Rais ameahidi kutekeleza ili kuepuka kurudia matukio. "Tumegusa kaa la moto na tumejifunza" – hii ni dhamira mpya ya kujenga Taifa imara. #RipotiYaChande
Tume Ya Uchunguzi
IMG-20260423-WA0265.jpg
 
Tume imetoa mapendekezo ya kuimarisha amani na uwajibikaji. Rais ameahidi kutekeleza ili kuepuka kurudia matukio. "Tumegusa kaa la moto na tumejifunza" – hii ni dhamira mpya ya kujenga Taifa imara. #RipotiYaChande
Tume Ya UchunguziView attachment 3578317
Mbona hiyo avatar yako inasema Tanzania yetu, ila ina picha ya Samia badala ya Tanzania
 
Back
Top Bottom