Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Taasisi ya Moody's inayopima Afya ya Uchumi wa Nchi kuweza kuhimili Misukosukoya kiuchumi na uwezo wa kulipa Madeni imesema Uchumi wa Tanzania ni Daraja la B2 plus.. Daraja B2 plus Kiuchumi...
4 Reactions
45 Replies
2K Views
Ikumbukwe design ya kwanza ya Ubungo Interchange ilikuwa nzuri na Kali Hadi kupelekea kuvunjwa Kwa majengo yaliyo jirani ikiwemo Tanesco.. Cha kusikitisha baada ya ujenzi zikaja sarakasi matokeo...
8 Reactions
81 Replies
4K Views
Ilikuwa Dodoma mwaka 2015 nilipokutana na dada anayesoma chuo kikuu Cha IMTU cha kule Dar, alikuja na wenzie field Milembe hospital. Wakati tunaangalia harakati za kumpata mgombea wa urais kwa...
11 Reactions
82 Replies
5K Views
Wadau nimeshanganzwa sana na kauli ya Waziri mwenye dhamana ya sheria na katiba. Nilitarajia waziri huyu angekuwa bega kwa bega na wananchi wanaotaka katiba mpya kwani ni haki yao, kauli hii ya...
3 Reactions
51 Replies
3K Views
Nionyeshe rafiki yako nikwambie ulivyo! Kila mwenye akili timamu katika nchi hii, anajua fika kabisa, ccm yote ni janga la nchi hii! Mtu akitajwa fisadi, makao makuu ni ccm Akitajwa mla rushwa...
9 Reactions
22 Replies
1K Views
Sijafahamu Kwa wengine ikiwa hupata haki Kweli kunapotokea shida za kiajira/kikazi katika nchi za kigeni, lakini hii imekuwa ni kinyume kabisa Kwa balozi zetu zilizoko Abdhabi, Mwaka 2016, Mzee...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
WAZEE WETU WANATESEKA NGORONGORO. TUNAKUFA “Hebu muangalieni tu angalieni bibi kama huyo?, Hebu muangalieni huyo bibi huyo hapo, angalia hiyo, unafikiri huyo bibi ni Afya yake hiyo? “Hata...
2 Reactions
3 Replies
761 Views
Kampuni ya Tembo Nickel imelipa zaidi ya Shilingi Bilioni 6.7 mwaka jana ikiwa ni kodi ya leseni za kuendesha kampuni hiyo. Meneja Mkuu wa Tembo Nickel, Manny Ramos amesema kampuni hiyo pia...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ninaandika kwa mara nyingine kuhusu jambo hili ambalo wengi wenu hamtapenda kulisikia. Naandika kama mzalendo kwa nchi yangu Tanzania na sina interest nyingine yoyote kibiashara katika jambo hili...
3 Reactions
98 Replies
5K Views
All Africa.com News inarupoti kwamba Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed na Waasi wa Oromo wanatarajia kuanza Mazungumzo ya amani Nchini Tanzania.. Huu ni Ushindi mwingine wa Tanzania na Rais...
3 Reactions
43 Replies
3K Views
Moja la changamoto kubwa ya miradi ya madini Nchini Tanzania ni uwepo wa CSR Programu zinazofanana katika maeneo yote ya migodi "Social responsibility Model". Wakati migodi mingi imezungukwa na...
1 Reactions
2 Replies
548 Views
Moja, Katiba mpya itakayoandikwa haitaweka uhuru na haki zisizoingiliwa kwa makundi yote ya watu. Kwa sehemu kubwa naona katiba mpya kwa sasa itaegemea zaidi katika kinachoitwa 'maadili ya...
1 Reactions
2 Replies
463 Views
MHE. ESTHER MALLEKO - UCHAFUZI WA MAZINGIRA NI CHANGAMOTO KWA TAIFA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Esther Edward Malleko leo tarehe 24 Aprili 2023 amechangia hotuba ya Bajeti...
0 Reactions
0 Replies
451 Views
Habari zenu wanajamvi, Huyu Abdul nadhani atakua kasahau ama amekengeuka kidogo kwenye hili, binafsi nakumbuka kipindi cha awamu ya 4 waislam walishawahi kufanya hicho kitu na wakawa blocked...
6 Reactions
54 Replies
3K Views
Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la Arusha, Hargney Chitukuro amesema kuwa mwaka huu hakuna mwanafunzi aliyekosa kuingia darasani kwa kukosa chumba cha darasa au dawati. Amesema...
1 Reactions
0 Replies
943 Views
Tanzania sisi tunacheza na fursa na kuishia kuwa maskini. Yaani kwenye bandari kubwa 10 hayupo hata top 20 achilia mbali top 10 yet tunabishana kuhusu kujenga Bandari ya Bagamoyo.. 1...
5 Reactions
81 Replies
6K Views
Tanzania kupitia Bodi ya Filamu imesaini Mkataba wa Makubaliano ya Ushrikiano na Taasisi ya Mashirikiano ya Kimataifa (BFIC) kutoka nchini Korea Kusini kwa ajili ya uendelezaji wa tasnia ya Filamu...
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Habari zenu Macomrade. Bila Shaka Kila Mmoja anaendelea na Mapambano ya Maisha yake. Uvccm Ina pande mbili 1. Wapo vijana wazalendo ila ni Waoga. Hili ni kundi la vijana Wasomi lakini wamejawa...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Rais Samia ameyasema hayo akihutubia kwenye Baraza la Eid ambapo amesema kuna usasa na tunaona ndio maendeleo na ustaarabu, akisema tunatakiwa kwenda na usasa kwa kuendana na tamaduni zetu na...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Nimeshangaa sana leo kukuta Watu kwenye Kijiwe cha Bodaboda wakijadili ripoti ya CAG na kudai hela anayodai Mpina imeibwa na Waziri wa fedha zingetosha kuwanunulia Bajaji Moja moja Bodaboda wote...
6 Reactions
17 Replies
748 Views
Back
Top Bottom