Kwahiyo waislam ndo wa kwanza kuandamana,Habari zenu wanajamvi...
Huyu Abdul nadhani atakua kasahau ama amekengeuka kidogo kwenye hili, binafsi nakumbuka kipindi cha awamu ya 4 waislam walishawahi kufanya hicho kitu na wakawa blocked!. Asijikweze, yupo anabwabwaja saizi Clouds 360.
Aseme kujaribu? Walifika wapi?Habari zenu wanajamvi,
Huyu Abdul nadhani atakua kasahau ama amekengeuka kidogo kwenye hili, binafsi nakumbuka kipindi cha awamu ya 4 waislam walishawahi kufanya hicho kitu na wakawa blocked!
Asijikweze, yupo anabwabwaja saizi Clouds 360.
Ni kweli.hata gettini hawakutokaAseme kujaribu? Walifika wapi?
Hata BAWACHA waliwahi fanya hivyo chini ya Halima Mdee enzi hizo Rais ni JK, wakakamatwa na virungu juu. Hawa watoto hawajui historia kabisa wanadhani struggle zimeanza Jana?Habari zenu wanajamvi,
Huyu Abdul nadhani atakua kasahau ama amekengeuka kidogo kwenye hili, binafsi nakumbuka kipindi cha awamu ya 4 waislam walishawahi kufanya hicho kitu na wakawa blocked!
Asijikweze, yupo anabwabwaja saizi Clouds 360.
Sasa si ufe?Mambo yenye ya kufocus sina. Halafu huyu sio mwanaharakati, ni mwanasiasa.
Sasa unasubiri nini si ufe?Mambo yenye ya kufocus sina. Halafu huyu sio mwanaharakati, ni mwanasiasa.
Habari zenu wanajamvi,
Huyu Abdul nadhani atakua kasahau ama amekengeuka kidogo kwenye hili, binafsi nakumbuka kipindi cha awamu ya 4 waislam walishawahi kufanya hicho kitu na wakawa blocked!
Asijikweze, yupo anabwabwaja saizi Clouds 360.