Kama Top 10 ya Bandari kubwa Afrika, Dar Port haipo kwanini tunasuasua kujenga Bagamoyo Port?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,119
49,843
Tanzania sisi tunacheza na fursa na kuishia kuwa maskini.

Yaani kwenye bandari kubwa 10 hayupo hata top 20 achilia mbali top 10 yet tunabishana kuhusu kujenga Bandari ya Bagamoyo..

1. Tangier-Morroco,
2. Durban-South Africa
3. Port Said -Egypt,
4. Port Elizabeth -South Africa
5. Mombasa-Kenya
6. Casablanca -Morroco
7. Djibouti -Djibouti
8. Lome-Togo
9. Abidjan -CodeIvoire
10. Tema-Ghana.

Sielewi mabishano yetu yanalenga kumkoa nani ,wenzetu Senegal wameipa kandarasi DP World Dubai kujenga Bandari kubwa kabisa West Afrika Kwa Tilioni 3.


Watanzania tuamke tuache ujinga, Maendelea hayatusibiri na umaskini Kwa watu Wetu sio sifa ni laana za kujitakia,tunazidiwa na Nchi ndogo kama Togo,Ghana
Screenshot_20230421-212140.jpg
 
Wengine mnatumwa kuanzisha mada ili kupata feedback ya watanzania juu ya kile mtakachokipata baada ya kusaini mkataba.

Kwa kifupi hata kama haimo kwenye top 20 bagamoyo port ni upigaji, ziwezeshwe Tanga, Mtwara na hiyo ya Dar ili ziwe hub kubwa East Africa.
 
Astaqafirullah hatupo hata kwenye kumi bora na mizigo yote inayopita na malori kila dakika, basi bandari ya bwagamoyo muhimu sana, tuijenge hata kwa ubia na wakti ndio huu hakuna wakti mwingine.
 
Tanzania sisi tunacheza na fursa na kuishia kuwa maskini.

Yaani kwenye bandari kubwa 10 hayupo hata top 20 achilia mbali top 10 yet tunabishana kuhusu kujenga Bandari ya Bagamoyo..

1.Tangier-Morroco,
2.Durban-South Africa
3.Port Said -Egypt,
4.Port Elizabeth -South Africa
5.Mombasa-Kenya
6.Casablanca -Morroco
7. Djibouti -Djibouti
8.Lome-Togo
9.Abidjan -CodeIvoire
10.Tema-Ghana.

Sielewi mabishano yetu yanalenga kumkoa nani ,wenzetu Senegal wameipa kandarasi DP World Dubai kujenga Bandari kubwa kabisa West Afrika Kwa Tilioni 3..

Watanzania tuamke tuache ujinga, Maendelea hayatusibiri na umaskini Kwa watu Wetu sio sifa ni laana za kujitakia,tunazidiwa na Nchi ndogo kama Togo,Ghana View attachment 2596218
Kwanini Bwagamoyo name sio Mtwara , au Tanga mjini au kule nje ya mjI
 
nchi zote zilizoliberise uchumi ndiko kwenye pesa. WAtanzania protectionism yenye asili ya ujamaa inaturudisha nyuma siku zote. weka bandari ya bagamoyo hapo ijengwe tutafaidika indirectly, jiwe aliitupa mbali akajenga airport ya popo na makunguru chato ya bilioni 40. bora hata mchina alikuwa na faida, airport ile tunafaidika nayo nini sasa? bagamoyo airport italeta ajira na mzunguko wa pesa kwa njia ya usafirishaji kwenda landlocked countries. kenya hua anafurahi sana anapotuona tunajifanya kulinda maslahi/utaifa na yeye anachanja mbuga.

Dubai kwa mfano, alivyo liberise uchumi wake, amepata hasara gani? wanafaidia directly and indirectly. mama tunaomba usisikilize wasioelewa, tunataka bagamoyo port itakayokuwa kubwa kuliko mombasa ili uganda, rwanda, congo, burundi, south sudan, zambia, malawi, zimbabwe hadi angola watumie port hiyo. na hilo huku kusini kutawezekana ukibadilisha gari moshi la TAZARA iwe ya umeme itoke masaa tu dar to kaprimposhi zambia.
 
Tatizo vipaumbele vipo kwenye maslahi binafsi, sio taifa.

Watu wanawazia 10% zao, watu wanawazia kupewa share kwenye umiliki.
Kama yule aliyekuwa anawaita watengeneza ndege ikulu na kujifungia nao
 
Tanzania sisi tunacheza na fursa na kuishia kuwa maskini.

Yaani kwenye bandari kubwa 10 hayupo hata top 20 achilia mbali top 10 yet tunabishana kuhusu kujenga Bandari ya Bagamoyo..

1.Tangier-Morroco,
2.Durban-South Africa
3.Port Said -Egypt,
4.Port Elizabeth -South Africa
5.Mombasa-Kenya
6.Casablanca -Morroco
7. Djibouti -Djibouti
8.Lome-Togo
9.Abidjan -CodeIvoire
10.Tema-Ghana.

Sielewi mabishano yetu yanalenga kumkoa nani ,wenzetu Senegal wameipa kandarasi DP World Dubai kujenga Bandari kubwa kabisa West Afrika Kwa Tilioni 3..

Watanzania tuamke tuache ujinga, Maendelea hayatusibiri na umaskini Kwa watu Wetu sio sifa ni laana za kujitakia,tunazidiwa na Nchi ndogo kama Togo,Ghana View attachment 2596218
Mbona ilisha elezwa na TPA kwamba bandari ya Bagamoyo ujenzi wake unaanzia kwenye bajeti ya 2023/2024; au mpaka hao akina DP waje wajenge ndipo tutambue kwamba umuhimu wa bamdari hiyo tunautambua?

Hivi tutaanza lini ku'appreciate' juhudi zetu sisi wenyewe katika uwezo wa kufanya baadhi ya mambo yetu wenyewe bila ya mizengwe mbalimbali?
Astaqafirullah hatupo hata kwenye kumi bora na mizigo yote inayopita na malori kila dakika, basi bandari ya bwagamoyo muhimu sana, tuijenge hata kwa ubia na wakti ndio huu hakuna wakti mwingine.
Ninakubaliana nawe kuhusu "wakati ndio huu", lakini hapo hapo nina hofu kubwa sana hiyo bandari itakuwa ni ya gharama kubwa sana ukujumuisha na makato ya mafisadi; kama inavyojidhihirisha sasa kwenye SGR.
 
nchi zote zilizoliberise uchumi ndiko kwenye pesa. WAtanzania protectionism yenye asili ya ujamaa inaturudisha nyuma siku zote. weka bandari ya bagamoyo hapo ijengwe tutafaidika indirectly, jiwe aliitupa mbali akajenga airport ya popo na makunguru chato ya bilioni 40. bora hata mchina alikuwa na faida, airport ile tunafaidika nayo nini sasa? bagamoyo airport italeta ajira na mzunguko wa pesa kwa njia ya usafirishaji kwenda landlocked countries. kenya hua anafurahi sana anapotuona tunajifanya kulinda maslahi/utaifa na yeye anachanja mbuga.

Dubai kwa mfano, alivyo liberise uchumi wake, amepata hasara gani? wanafaidia directly and indirectly. mama tunaomba usisikilize wasioelewa, tunataka bagamoyo port itakayokuwa kubwa kuliko mombasa ili uganda, rwanda, congo, burundi, south sudan, zambia, malawi, zimbabwe hadi angola watumie port hiyo. na hilo huku kusini kutawezekana ukibadilisha gari moshi la TAZARA iwe ya umeme itoke masaa tu dar to kaprimposhi zambia.
Watu wanacheck direct tu hawachek ajira na mzunguko mkubwa utakaokuja nao

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Mbona ilisha elezwa na TPA kwamba bandari ya Bagamoyo ujenzi wake unaanzia kwenye bajeti ya 2023/2024; au mpaka hao akina DP waje wajenge ndipo tutambue kwamba umuhimu wa bamdari hiyo tunautambua?

Hivi tutaanza lini ku'appreciate' juhudi zetu sisi wenyewe katika uwezo wa kufanya baadhi ya mambo yetu wenyewe bila ya mizengwe mbalimbali?

Ninakubaliana nawe kuhusu "wakati ndio huu", lakini hapo hapo nina hofu kubwa sana hiyo bandari itakuwa ni ya gharama kubwa sana ukujumuisha na makato ya mafisadi; kama inavyojidhihirisha sasa kwenye SGR.
Hivyo viumbe ni viroho havitosheki na ndivyo vilivyoshikilia hatamu humo mawizarani in short havishibi ng'o, mh. Rais alishaviambia hatutazikwa na fedha, matokeo yake ndio kwanza vinazidisha kasi.
 
Tanzania sisi tunacheza na fursa na kuishia kuwa maskini.

Yaani kwenye bandari kubwa 10 hayupo hata top 20 achilia mbali top 10 yet tunabishana kuhusu kujenga Bandari ya Bagamoyo..

1.Tangier-Morroco,
2.Durban-South Africa
3.Port Said -Egypt,
4.Port Elizabeth -South Africa
5.Mombasa-Kenya
6.Casablanca -Morroco
7. Djibouti -Djibouti
8.Lome-Togo
9.Abidjan -CodeIvoire
10.Tema-Ghana.

Sielewi mabishano yetu yanalenga kumkoa nani ,wenzetu Senegal wameipa kandarasi DP World Dubai kujenga Bandari kubwa kabisa West Afrika Kwa Tilioni 3..

Watanzania tuamke tuache ujinga, Maendelea hayatusibiri na umaskini Kwa watu Wetu sio sifa ni laana za kujitakia,tunazidiwa na Nchi ndogo kama Togo,Ghana View attachment 2596218
Kwani iliyopo imezidiwa? Nauliza tu.
 
Back
Top Bottom