Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jiji la Dodoma linaenda kubeba taswira rasmi ya Makao Makuu ya Nchi kufuatia Serikali kusema itajenga Mnara wa Mashujaa jijini humo. Kwa Mujibu wa Waziri wa Uratobu na Bunge Jenister Mhagama...
2 Reactions
48 Replies
5K Views
Tufanye yafuatayo: Kuna njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumiwa kukabiliana na wanaofanya ubadhilifu wa fedha za umma katika taifa la Tanzania. Nne kati ya njia hizo ni: Kuchukua hatua za...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Tunapenda kuchagua viongozi ambao wanaweza kuongea vizuri na kuahidi mambo mengi, lakini hatujali sana kuhusu uwezo wao wa kutekeleza ahadi hizo. Uongozi ni vitendo na utekelezaji wa mipango...
1 Reactions
1 Replies
785 Views
Wana Dar es Salaam tuna changamoto nyingi sana. Lakini ya barabara imekithiri sana. Tunaomba ziara Dar es Salaam tukueleze shida zetu. Dar es Salaam ina barabara zinachongwa kwa mwaka zaidi ya...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Hayati Magufuli aliingia Hazina kukiwa kumepigwa sana hamna kitu, Samia naye ameingia watu wamepiga sana pesa Hazina hakuna kitu. Watu wanajua wakati wa Uchaguzi ndio wakati wa kupiga pesa za...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Hii nchi kuna wakati unajiuliza mpaka unakata tamaa. Ili nchi iendelee ni lazima kuwepo na maendeleo ya fikra. Fikra zinapodumaa au kukosa maendeleo, ndiyo mwanzo wa kudumaa kwa maendeleo. Mtu...
10 Reactions
20 Replies
2K Views
Wapi amezipata milioni 510 kuwekeza kwenye soka tu, mshahara wake ni shilingi ngapi, tuanzie hapa Mtu ametoka kwenye ualimu juzi tu leo anamiliki timu ya mpira wa millioni 510 hiyo ni mpira tu...
7 Reactions
59 Replies
5K Views
Ndg wanajamii Kuna mambo yanaendelea lakin ukweli ni maslahi pekee. Sasa pamoja na challenge zote Bado Kuna matatizo ya kimfumo. Mwl na koi saw key performance indicator zitapatikana vyuoni au...
0 Reactions
8 Replies
663 Views
Ni kweli Serikal haina dini lakini hiyo haimaanishi Serikal isisaidie Makanisa au Misikiti Kwa nyakati mbalimbali hasa za maafa Makanisa, Misikiti na Majamati wamekuwa wakijitolea kuisaidia...
3 Reactions
10 Replies
577 Views
Heri ya idd ndugu zangu. Tanzania ni moja ya nchi chache Sana duniani ambazo tunatengeneza Magari halafu official state car bado tunatumia gari za nchi nyingine. Viongozi wakuu wa nchi za...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Hii week hatimae imeisha, ni jambo la kushukuru Mungu. Kwa upande wa CCM mambo si haba, at least wamethibitisha haya machache japo kwa kutuhumiana na kushutumiana! 1. Wabunge wa CCM wanawatuhumu...
6 Reactions
41 Replies
3K Views
Magonjwa yanayoangukia kwenye 'haemorrhagic fever" huwa siyo ya kupuuza, labda tu huko ambako watu hujifungua mawe. "Huko hata ule mwingine kutokea pande za Wuhan, uliwahi kuitwa kaupepo."...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe , ametuma salamu za Idd kwa Waislam wote Nchini Tanzania , amewataka Waislam wote kusherehekea siku hii kwa amani na utulivu . Mbowe ambaye pia anajulikana...
10 Reactions
47 Replies
2K Views
Kwanini wazee wenye umri mkubwa ndio wanatuongoza lakini si vijana ambao ndio wengi katika Taifa letu?
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Magufuli alikuwa mbishi tu. Alishauriwa kuwa hawa wapinzani kula nao. Usiwaache na njaa. Hizi kelele ni sababu wana njaa. Hakusikiliza akasema yeye hawezi ishi kinafiki. Matokeo yake tukayaona...
24 Reactions
99 Replies
6K Views
Mtoto aliyesaidiwa matibabu na Rais Samia atoa simulizi ya kusisimua * Asema watu wazima, watoto walimkimbia kutokana na maradhi yake ya ajabu * Amwaga shukrani kwa Rais Samia kugharamia...
5 Reactions
7 Replies
972 Views
Wanabodi, Hukumu ya mahakama ya Kisutu dhidi ya viongozi wa Chadema imeibua mengi, yakiwemo mazuri, mabaya, na mengine ni ya kawaida. Miongoni mwa mambo mabaya ya ajabu kuhusu kesi hii, ni...
46 Reactions
108 Replies
13K Views
Kabla ya kusaliti , Ibrahim Lipumba ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha Cuf ilikuwa ni kawaida kumuona hadharani akishiriki shughuli za kijamii , ikiwemo kushiriki Ibada misikitini , Kwa...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Mapema asubuhi ya leo kada mwengine wa CCM ndugu Pereira Ame Silima amejitokeza katika ofisi kuu za Chama cha Mapinduzi Kisiwandui na kuchukua fomu Idadi ya wagombea wa kuteuliwa kugombea urais...
3 Reactions
9 Replies
5K Views
Kigoma ni kati ya mikoa iliyokua inasifika kwa ubovu wa barabara na hakukua na maendeleo yeyote ni kama ulisahaulika lakini Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani amefanikiwa kupeleka miradi...
0 Reactions
2 Replies
699 Views
Back
Top Bottom