Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Moja, Katiba mpya itakayoandikwa haitaweka uhuru na haki zisizoingiliwa kwa makundi yote ya watu. Kwa sehemu kubwa naona katiba mpya kwa sasa itaegemea zaidi katika kinachoitwa 'maadili ya...
1 Reactions
2 Replies
462 Views
MHE. ESTHER MALLEKO - UCHAFUZI WA MAZINGIRA NI CHANGAMOTO KWA TAIFA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Esther Edward Malleko leo tarehe 24 Aprili 2023 amechangia hotuba ya Bajeti...
0 Reactions
0 Replies
451 Views
Habari zenu wanajamvi, Huyu Abdul nadhani atakua kasahau ama amekengeuka kidogo kwenye hili, binafsi nakumbuka kipindi cha awamu ya 4 waislam walishawahi kufanya hicho kitu na wakawa blocked...
6 Reactions
54 Replies
3K Views
Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la Arusha, Hargney Chitukuro amesema kuwa mwaka huu hakuna mwanafunzi aliyekosa kuingia darasani kwa kukosa chumba cha darasa au dawati. Amesema...
1 Reactions
0 Replies
943 Views
Tanzania sisi tunacheza na fursa na kuishia kuwa maskini. Yaani kwenye bandari kubwa 10 hayupo hata top 20 achilia mbali top 10 yet tunabishana kuhusu kujenga Bandari ya Bagamoyo.. 1...
5 Reactions
81 Replies
6K Views
Tanzania kupitia Bodi ya Filamu imesaini Mkataba wa Makubaliano ya Ushrikiano na Taasisi ya Mashirikiano ya Kimataifa (BFIC) kutoka nchini Korea Kusini kwa ajili ya uendelezaji wa tasnia ya Filamu...
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Habari zenu Macomrade. Bila Shaka Kila Mmoja anaendelea na Mapambano ya Maisha yake. Uvccm Ina pande mbili 1. Wapo vijana wazalendo ila ni Waoga. Hili ni kundi la vijana Wasomi lakini wamejawa...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Rais Samia ameyasema hayo akihutubia kwenye Baraza la Eid ambapo amesema kuna usasa na tunaona ndio maendeleo na ustaarabu, akisema tunatakiwa kwenda na usasa kwa kuendana na tamaduni zetu na...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Nimeshangaa sana leo kukuta Watu kwenye Kijiwe cha Bodaboda wakijadili ripoti ya CAG na kudai hela anayodai Mpina imeibwa na Waziri wa fedha zingetosha kuwanunulia Bajaji Moja moja Bodaboda wote...
6 Reactions
17 Replies
748 Views
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Mwigulu Nchemba akijibu hoja za Wabunge ndani ya Bunge amejitapa kuwa anajua anachokifanya maana PhD yake ni ya kusomea na siyo kupewa. Namnukuu 'Hapa tunatisha...
16 Reactions
170 Replies
11K Views
Naona Rais wetu unaamini kukaa meza moja na chadema hasa Mbowe ndio unapata amani ya kuongoza taifa,si kweli kabisa. Rais Samia unaatakiwa utafute suluhu ya kero za watanzania wengi maskini wenye...
7 Reactions
58 Replies
3K Views
Dear Viongozi, Ukuaji wa GDP (Gross Domestic Product) haupaswi kutegemea michezo ya kamari au betting. GDP ni kipimo cha thamani ya bidhaa na huduma zote zinazozalishwa katika nchi ndani ya...
1 Reactions
3 Replies
788 Views
Kwa wiki mbili sasa Viongozi wamekuwa wakisisitiza sana sisi Wananchi tuwaombee Na hapa hata hawawatambui Viongozi wa Dini ndio wawaombee bali siye akina Daudi Mchambuzi Sasa hawa Viongozi...
0 Reactions
5 Replies
540 Views
Mdawi Ni KIJIJI Kilicho Mkoani Kilimanjaro Wilaya Ya Moshi Vijijini Kata Ya Kimochi. Ni Kijiji Kongwe Kutokana Na Historia Yake Ambayo Kwa Leo Sitaelezea Historia Hiyo.Ni Kijiji Kinachopakana Na...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Ni siku nyingine Mwenyezi Mungu ametujalia kuiona, tukiwa wazima wa afya na amani ya kutosha. Mungu ni mwema nyakati zote. Kama ilivyo kawaida, waona mbali huwa hawaeleweki kwa 'matomaso' na hawa...
1 Reactions
2 Replies
969 Views
Hayati Julius Nyerere alipotabiri kuwa upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM alitatabiri vyema kabisa maana mpaka sasa hakuna upinzani dhidi ya CCM pamoja na multiparty system kuanzishwa hapa...
4 Reactions
81 Replies
3K Views
Wanabodi, Tuache siasa, na tusemezane au tuambiane ukweli, iwapo CCM itashinda tena uchaguzi wa mwaka huu, ushindi huo wa CCM, jee utatokana na Watanzania kufanya informed decision kufuatia CCM...
1 Reactions
45 Replies
9K Views
Karibu kufuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 24, 2023 kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 12. Mbunge Prof. Shukrani Elisha ameonesha masikitiko kwa Ofisi ya Mkamu wa Rais, Mazingira...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Huyu Nape anaonekana kama kajiniazi fulani. Ana charisma, hata akiongea ni kama anaongea kwa kunata na biti na madaha. Na kale kamiwani kake, na venye anamkonga samia, basi ni vyema awe Rais wetu...
12 Reactions
106 Replies
4K Views
Kada wa CCM ambaye pia ni Rais wa Chama cha Wacheza Bao mzee Monday Likwepa amesema hakuna Mwananchi wa Ukonga aliyemtuma Jerry Slaa aiombe Serikal iongeze Bei ya Mafuta Likwepa amesema ni Tabia...
8 Reactions
23 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…