Nichukue fursa hii kuwapingeza Wazee Wetu Chifu Adam Sapi Mkwawa na mzee Mlawa kwa kutuheshimisha Wanyalukolo katika Uongozi wa mhimili wa bunge
Baada ya nyie kustaafu katika nyadhifa zenu...
Nauliza tu kwa sababu wengi hawajui kwanini iliilazimu CCM kumsimamisha mwanasayansi kugombea urais wa JMT
Ikumbukwe Magufuli hajawahi kushika uongozi wowote ndani ya CCM zaidi ya kuwa moja kwa...
Taifa letu limejaliwa kuwa na wabobezi wengi katika nyanja mbali mbali kama siasa, uchumi n.k.
Nikiri kuwa siasa za nchi hii zinawaharibu wataalamu wetu wengi kwa ambao tumebahatika kumfahamu...
Watu watatu Wilayani Kilwa Mkoani Lindi, wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma ya makosa ya kukutwa na meno ya Tembo 90 yanayokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni Moja.
Watuhumiwa...
Binadamu akikosea nguvu za asili za kiume au kike anakosa pia nguvu za asili za kufanya KAZI kwa tija na hivyo uzalishaji kwenye TAIFA ushuka.
Tanzania tumekuwa na wananchi wenye changamoto ya...
Yaan unategemea. Mwaka 2020 nijipange folen kuwapigia tena wapuuzi kura yangu ,yaan nitakuwa sifikirii vizuri kama alivyi Ben saanane, au Mtatiro na wengine.
Hii CHADEMA imekuwa ya
1. Kutetea...
TAKWIMU mpya za IMF zinaonesha kuwa Pato la Taifa la Tanzania limeongezeka hadi kufikia Dola za Marekani Bilioni 85.42 (Tsh trilioni 200) kwa mwaka huu wa 2023 ikiwa ni ishara kuwa sera za uchumi...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amepokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Felix Tshisekedi, uliowasilishwa na Mjumbe Maalum...
Ni vyema Jeshi la Polisi likampelekea Abdul Nondo na waandamanaji wenzake ambao wanaweza kufika kumi au ishirini, wito wamuhoji nia yake, na kisha wamuelekeze kwamba, kiusalama, ni vyema...
Hii nchi imefika mahali ambapo hata wajinga wanatucheka. Hii mipango ya hao wanaoitwa Chawa wakishirikiana na Wanaccm waliopachikwa kwenye kitengo muhimu cha Nchi sasa inatudhalilisha.
Hakuna...
Habari zenu great thinkers popote mlipo, nitafurahi kama nitafurahi kama nyote ni wazima.
Nikija katika hoja moja kwa moja.
Katika mtandao wa kijamii wa Twitter kumeibuka kundi la wanamtandao...
Katika majukwaa ya kisiasa Tanzania wiki hii pengine picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli wakati wakitoka kwenye...
Juzi nimeambiwa habari za kushtusha na inabidi nizitoe kwa serikali yetu. Inasemekana kuna Mtanzania ambaye anakaa Kenya mpakani na Tanzania kwa upande huu wa Mkoa wa Mara. Huyu Mzee kazi yake...
Maisha ya mwafrika kama ambavyo yalivyo maisha ya jamii nyingine duniani yamepitia zama mbalimbali muhimu. Kuanzia zama za chini kabisa za maendeleo mpaka hii ya leo aliyomo, hizo zote ni muhimu...
1. Rais wa nchi anasema wale wote waliohusika na matumizi mabaya ya fedha za umma walioguswa na na ripoti ya CAG lazima washughulikiwe.
2. Makamu wa Rais wa nchi naye anasema wale wote waliopiga...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe...
Kwenye mitandao ya kijamii miongoni mwa mashirika yaliyotajwa kujiendesha Kwa Hasara ni shirika la TTCL mpaka imefika hatua inashauliwa yakuwa lianchane na biashara ya kuuza line libakie kusimamia...
Mbunge wa Viti maalumu Chadema mh Conschesta Rwamlaza amechukizwa na kitendo cha Wao kuitwa Covid 19
Rwamlaza amesema wanaowaita hivyo ni wale wasiopendenzwa na Kazi nzuri inayofanywa na Rais...
Kumbe hata zile zawadi za goli moja milioni 5 hazikuwa zawadi za kutoka moyoni kwa mapenzi yako katika kukuza soka bali ni kampeni ya kutaka kuwin popularity?
Kama sio hivyo kwa nini hawa Chawa...
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mhe.Jokate Mwegelo mapema Leo hii April 17,2023 amekutana na Mbunge wa Korogwe mjini Dr. Alfred Kimea na Korogwe vijijini Timotheo Mzava ofisini kwake.
Katika Mazungumzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.