johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Mwenzako akinyolewa wewe tia maji
Namshauri tu Waziri wa Fedha awe anafuatilia pia yanayotokea nchi jirani au zinazotuzunguka
Hapo Kenya kwa mfano wameishiwa Fedha za mishahara na 60% ya Mapato yao wanalazimika kulipia Deni la Taifa
Nawatakia nyote Pasaka Njema!
Namshauri tu Waziri wa Fedha awe anafuatilia pia yanayotokea nchi jirani au zinazotuzunguka
Hapo Kenya kwa mfano wameishiwa Fedha za mishahara na 60% ya Mapato yao wanalazimika kulipia Deni la Taifa
Nawatakia nyote Pasaka Njema!