Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,009
- 74,643
Kumbe hata zile zawadi za goli moja milioni 5 hazikuwa zawadi za kutoka moyoni kwa mapenzi yako katika kukuza soka bali ni kampeni ya kutaka kuwin popularity?
Kama sio hivyo kwa nini hawa Chawa wanataka kuwafanya wenye akili wafikiri hivyo wakati sio mawazo yako? Huoni kuwa kwanza wanafanya nchi iwe inakiuka agizo la FIFA kutochanganya siasa na mpira pamoja?
FIFA walifanya hivyo kwa sababu siasa ikichanganywa na mpira yaweza kuleta balaa kubwa.
Kulikuwa na sababu gani Waingize masuala ya zawadi zile hadi kiwanjani kukupigia kampeni kama vile wewe HUKUBALIKI na unategemea ubunifu wao kupeleka jina na picha zako kwenye mchezo ule na mingine?
Wangekuwa wakweli na kukueleza yaliyosemwa kiwanjani jana, hakika ungeruka nao bila huruma.
Niishie kukushauri waambie waachane nawe, huo ni mzigo na wafanyacho ndio kile kule pwani wanasema kuchamba kwingi
Kama sio hivyo kwa nini hawa Chawa wanataka kuwafanya wenye akili wafikiri hivyo wakati sio mawazo yako? Huoni kuwa kwanza wanafanya nchi iwe inakiuka agizo la FIFA kutochanganya siasa na mpira pamoja?
FIFA walifanya hivyo kwa sababu siasa ikichanganywa na mpira yaweza kuleta balaa kubwa.
Kulikuwa na sababu gani Waingize masuala ya zawadi zile hadi kiwanjani kukupigia kampeni kama vile wewe HUKUBALIKI na unategemea ubunifu wao kupeleka jina na picha zako kwenye mchezo ule na mingine?
Wangekuwa wakweli na kukueleza yaliyosemwa kiwanjani jana, hakika ungeruka nao bila huruma.
Niishie kukushauri waambie waachane nawe, huo ni mzigo na wafanyacho ndio kile kule pwani wanasema kuchamba kwingi