onjwayo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 1,346
- 1,303
Nakerwa sana na tabia za wabunge wa ccm wakati wa kuchangia mijadala bungeni. Hii fashion ya kutumia karibu robo ya muda wa kuchangia kumsifia rais naona ni waste of time. Kumbe kikao Cha budget kinaweza kufupishwa muda na kufanyika kwa mwezi 1½ tu.
Mbunge anapewa dk 15 achangie MASUALA ya msingi lakini yeye dk karibu 7....8 anatumia kumsifia rais. Ndio maana hawawezi kusimamia serikali na badala yake ni kujipendekeza pendekeza tu huku miradi ikipigwa Hela kiasi CAG Kila mwaka kirudi kubainisha hasara ya mabilioni kupotea.
Wabunge wetu Wana mizaha sana. Wanapoteza muda makusudi Ili siku ziwe nyingi posho na marupurupu ziongezeke. Ebu wananchi tuamke tukemee tabia hii.
Mbunge anapewa dk 15 achangie MASUALA ya msingi lakini yeye dk karibu 7....8 anatumia kumsifia rais. Ndio maana hawawezi kusimamia serikali na badala yake ni kujipendekeza pendekeza tu huku miradi ikipigwa Hela kiasi CAG Kila mwaka kirudi kubainisha hasara ya mabilioni kupotea.
Wabunge wetu Wana mizaha sana. Wanapoteza muda makusudi Ili siku ziwe nyingi posho na marupurupu ziongezeke. Ebu wananchi tuamke tukemee tabia hii.