DC Arusha mjini avunja ukimya kwa Gambo

Oldmantz

JF-Expert Member
Jan 24, 2023
430
998
Arusha. Mkuu wa wilaya ya Arusha, Felisian Mtehengerwa amemtaka Mbunge wa jimbo lake Mrisho Gambo kutekeleza wajibu wake ndani ya halmashauri kuliko kubeba ajenda za ubadhilifu ili kujitafutia umaarufu wa kisiasa.

Mtahengerwa amesema hayo leo April 19,2023 wakati akizungumza na waandishi wahabari juu ya msimamo wake kuhusiana na tuhuma zilizotolewa na Gambo bungeni hivi karibuni akielezea ubadhilifu wa fedha za umma katika halmashauri ya jiji la Arusha na serikali.

"Gambo ifikie mahali aache siasa za maji taka maana kutuhumu viongozi kwa ufisadi wakati yeye ni sehemu ya viongozi wanaosimamia utekelezaji wa mipango ya jiji la Arusha ni kutafuta pa kutokea na huruma ya wananchi wakati yeye mwenyewe ni mmojawapo," amesema Mtahengerwa.

"Gambo anaonyesha wazi hajui wajibu wake maana anasahau kuwa halmashauri inaundwa na madiwani na mbunge hivyo anapoona mambo hayaendi vizuri wangekuwa wakwanza kuzuia na kuchukua hatua za awali lakini matokeo yake anakubali utekelezaji ufanyike halafu baadae anaenda kuukosoa, awajibike ndani kwanza kwa kukataa isifanyike," ameongeza.

Pia, amesema wakati mambo hayo yanatokea miaka ya nyuma ambayo pia yeye (Gambo) ni mmoja wa wajumbe wakuu hivyo anafaa kuwajibika maana ni sehemu ya mpango huo.

"Sisi kama wilaya tunawajibu wa kuingilia pale tunapoona akili za halmashauri zimefikia ukomo, mambo hayaendi, nilipoingia madarakani nilizungukia miradi yote na kuwaita madiwani wote na kutoa maelekezo yangu, ninachoshangaa yale yaliyowahi kuchukuliwa hatua bado anabeba Kama ajenda mpya na kuimba kila kukicha badala ya kuwajibika hivyo nimtake arudi jimboni tuchape kazi aache utoto wa mashtaka,”amesema.

Hivi karibuni Gambo akiwa bungeni dodoma alieleza mambo mengi ya ufisadi katika jiji la Arusha huku akidai changamoto kubwa ya ubadhilifu na usimamizi mbovu wa fedha za halmashauri.

Alitolea mfano baadhi ya tuhuma ukiwemo ujenzi wa jengo la utawala lenye urefu wa gorofa sita, na kusema halmashauri imetafuta fundi mjenzi akidai ni rafiki yao bila kutangaza tenda, taratibu za manunuzi hazijafuatwa na kumpatia kiasi cha fedha Tsh. 199.7 milioni na kununua vifaa vya Tsh. 132 milioni ambavyo havijafika eneo la mradi.

"Ziada ya nondo kiasi cha tani 6.48 zenye thamani ya Sh17 milioni pia waliongeza malipo ya sh21 milioni kwa fundi yanayotokana na uzembe wa wataalamu wetu, pia kumekuwepo na risiti feki za EFD zenye thamani ya Tsh. 699.9 milioni,” alituhumu Gambo.

Aidha sio mara ya kwanza Gambo kutoa tuhuma za ubadhirifu wa fedha katika halmashauri hiyo kwani mapema Mei, 2022 alitoa tuhuma hizo mbele ya waziri mkuu Kasim Majaliwa hali iliyopelekea kusimamishwa kazi watumishi sita wa jiji la Arusha akiwemo aliyekuwa mkurugenzi Dk John Pima.

MWANANCHI
 
Arusha. Mkuu wa wilaya ya Arusha, Felisian Mtehengerwa amemtaka Mbunge wa jimbo lake Mrisho Gambo kutekeleza wajibu wake ndani ya halmashauri kuliko kubeba ajenda za ubadhilifu ili kujitafutia umaarufu wa kisiasa.
Mtahengerwa amesema hayo leo April 19,2023 wakati akizungumza na waandishi wahabari juu ya msimamo wake kuhusiana na tuhuma zilizotolewa na Gambo bungeni hivi karibuni akielezea ubadhilifu wa fedha za umma katika halmashauri ya jiji la Arusha na serikali.
"Gambo ifikie mahali aache siasa za maji taka maana kutuhumu viongozi kwa ufisadi wakati yeye ni sehemu ya viongozi wanaosimamia utekelezaji wa mipango ya jiji la Arusha ni kutafuta pa kutokea na huruma ya wananchi wakati yeye mwenyewe ni mmojawapo" amesema Mtahengerwa
"Gambo anaonyesha wazi hajui wajibu wake maana anasahau kuwa halmashauri inaundwa na madiwani na mbunge hivyo anapoona mambo hayaendi vizuri wangekuwa wakwanza kuzuia na kuchukua hatua za awali lakini matokeo yake anakubali utekelezaji ufanyike halafu baadae anaenda kuukosoa, awajibike ndani kwanza kwa kukataa isifanyike"ameongeza
Pia, amesema wakati mambo hayo yanatokea miaka ya nyuma ambayo pia yeye (Gambo) ni mmoja wa wajumbe wakuu hivyo anafaa kuwajibika maana ni sehemu ya mpango huo.
"Sisi kama wilaya tunawajibu wa kuingilia pale tunapoona akili za halmashauri zimefikia ukomo, mambo hayaendi, nilipoingia madarakani nilizungukia miradi yote na kuwaita madiwani wote na kutoa maelekezo yangu, ninachoshangaa yale yaliyowahi kuchukuliwa hatua bado anabeba Kama ajenda mpya na kuimba kila kukicha badala ya kuwajibika hivyo nimtake arudi jimboni tuchape kazi aache utoto wa mashtaka,”amesema.
Hivi karibuni Gambo akiwa bungeni dodoma alieleza mambo mengi ya ufisadi katika jiji la Arusha huku akidai changamoto kubwa ya ubadhilifu na usimamizi mbovu wa fedha za halmashauri.
Alitolea mfano baadhi ya tuhuma ukiwemo ujenzi wa jengo la utawala lenye urefu wa gorofa sita, na kusema halmashauri imetafuta fundi mjenzi akidai ni rafiki yao bila kutangaza tenda, taratibu za manunuzi hazijafuatwa na kumpatia kiasi cha fedha Sh199.7 milioni na kununua vifaa vya Sh132 milioni ambavyo havijafika eneo la mradi.
"Ziada ya nondo kiasi cha tani 6.48 zenye thamani ya Sh17 milioni pia waliongeza malipo ya sh21 milioni kwa fundi yanayotokana na uzembe wa wataalamu wetu, pia kumekuwepo na risiti feki za EFD zenye thamani ya Sh699.9 milioni,”alituhumu Gambo
Aidha sio mara ya kwanza Gambo kutoa tuhuma za ubadhirifu wa fedha katika halmashauri hiyo kwani mapema Mei, 2022 alitoa tuhuma hizo mbele ya waziri mkuu Kasim Majaliwa hali iliyopelekea kusimamishwa kazi watumishi sita wa jiji la Arusha akiwemo aliyekuwa mkurugenzi Dk John Pima.

MWANANCHI
Huyo DC naye ajitafakari yeye kwanza,maana inaonekana wazi kwamba anao upande katika hizo kashfa husika!

Gambo ni mbunge wa jimbo la Arusha mjini,na ameliongelea hilo kwenye uchangiaji wa mjadala wa wizara husika ambayo ni TAMISEMI Bungeni.Ambako ndiko hasa anapiwajibika!

Sasa DC kimemuwasha nini hadi akawasemee halmashauri ya jiji wakati yeye si mhusika tajwa?
Alitaka Mbunge akaliongelee wapi zaidi ya Hapo ndani ya Bunge!
 
Arusha. Mkuu wa wilaya ya Arusha, Felisian Mtehengerwa amemtaka Mbunge wa jimbo lake Mrisho Gambo kutekeleza wajibu wake ndani ya halmashauri kuliko kubeba ajenda za ubadhilifu ili kujitafutia umaarufu wa kisiasa.
Mtahengerwa amesema hayo leo April 19,2023 wakati akizungumza na waandishi wahabari juu ya msimamo wake kuhusiana na tuhuma zilizotolewa na Gambo bungeni hivi karibuni akielezea ubadhilifu wa fedha za umma katika halmashauri ya jiji la Arusha na serikali.
"Gambo ifikie mahali aache siasa za maji taka maana kutuhumu viongozi kwa ufisadi wakati yeye ni sehemu ya viongozi wanaosimamia utekelezaji wa mipango ya jiji la Arusha ni kutafuta pa kutokea na huruma ya wananchi wakati yeye mwenyewe ni mmojawapo" amesema Mtahengerwa
"Gambo anaonyesha wazi hajui wajibu wake maana anasahau kuwa halmashauri inaundwa na madiwani na mbunge hivyo anapoona mambo hayaendi vizuri wangekuwa wakwanza kuzuia na kuchukua hatua za awali lakini matokeo yake anakubali utekelezaji ufanyike halafu baadae anaenda kuukosoa, awajibike ndani kwanza kwa kukataa isifanyike"ameongeza
Pia, amesema wakati mambo hayo yanatokea miaka ya nyuma ambayo pia yeye (Gambo) ni mmoja wa wajumbe wakuu hivyo anafaa kuwajibika maana ni sehemu ya mpango huo.
"Sisi kama wilaya tunawajibu wa kuingilia pale tunapoona akili za halmashauri zimefikia ukomo, mambo hayaendi, nilipoingia madarakani nilizungukia miradi yote na kuwaita madiwani wote na kutoa maelekezo yangu, ninachoshangaa yale yaliyowahi kuchukuliwa hatua bado anabeba Kama ajenda mpya na kuimba kila kukicha badala ya kuwajibika hivyo nimtake arudi jimboni tuchape kazi aache utoto wa mashtaka,”amesema.
Hivi karibuni Gambo akiwa bungeni dodoma alieleza mambo mengi ya ufisadi katika jiji la Arusha huku akidai changamoto kubwa ya ubadhilifu na usimamizi mbovu wa fedha za halmashauri.
Alitolea mfano baadhi ya tuhuma ukiwemo ujenzi wa jengo la utawala lenye urefu wa gorofa sita, na kusema halmashauri imetafuta fundi mjenzi akidai ni rafiki yao bila kutangaza tenda, taratibu za manunuzi hazijafuatwa na kumpatia kiasi cha fedha Sh199.7 milioni na kununua vifaa vya Sh132 milioni ambavyo havijafika eneo la mradi.
"Ziada ya nondo kiasi cha tani 6.48 zenye thamani ya Sh17 milioni pia waliongeza malipo ya sh21 milioni kwa fundi yanayotokana na uzembe wa wataalamu wetu, pia kumekuwepo na risiti feki za EFD zenye thamani ya Sh699.9 milioni,”alituhumu Gambo
Aidha sio mara ya kwanza Gambo kutoa tuhuma za ubadhirifu wa fedha katika halmashauri hiyo kwani mapema Mei, 2022 alitoa tuhuma hizo mbele ya waziri mkuu Kasim Majaliwa hali iliyopelekea kusimamishwa kazi watumishi sita wa jiji la Arusha akiwemo aliyekuwa mkurugenzi Dk John Pima.

MWANANCHI
 
Sipati picha siku wenye chuga yao nao watakapoamua kusema! Maana hiyo battle ni ya wahamiaji haramu wote! Gambo asili yake ni kwa mndolwa kule kwenye funza wengi na chimbuko la ugonjwa wa tauni bongo
 
Sipati picha siku wenye chuga yao nao watakapoamua kusema! Maana hiyo battle ni ya wahamiaji haramu wote! Gambo asili yake ni kwa mndolwa kule kwenye funza wengi na chimbuko la ugonjwa wa tauni bongo
Godbless Lema ye machame kule Hai kwa mbowe.
 
Arusha. Mkuu wa wilaya ya Arusha, Felisian Mtehengerwa amemtaka Mbunge wa jimbo lake Mrisho Gambo kutekeleza wajibu wake ndani ya halmashauri kuliko kubeba ajenda za ubadhilifu ili kujitafutia umaarufu wa kisiasa.
Mtahengerwa amesema hayo leo April 19,2023 wakati akizungumza na waandishi wahabari juu ya msimamo wake kuhusiana na tuhuma zilizotolewa na Gambo bungeni hivi karibuni akielezea ubadhilifu wa fedha za umma katika halmashauri ya jiji la Arusha na serikali.
"Gambo ifikie mahali aache siasa za maji taka maana kutuhumu viongozi kwa ufisadi wakati yeye ni sehemu ya viongozi wanaosimamia utekelezaji wa mipango ya jiji la Arusha ni kutafuta pa kutokea na huruma ya wananchi wakati yeye mwenyewe ni mmojawapo" amesema Mtahengerwa
"Gambo anaonyesha wazi hajui wajibu wake maana anasahau kuwa halmashauri inaundwa na madiwani na mbunge hivyo anapoona mambo hayaendi vizuri wangekuwa wakwanza kuzuia na kuchukua hatua za awali lakini matokeo yake anakubali utekelezaji ufanyike halafu baadae anaenda kuukosoa, awajibike ndani kwanza kwa kukataa isifanyike"ameongeza
Pia, amesema wakati mambo hayo yanatokea miaka ya nyuma ambayo pia yeye (Gambo) ni mmoja wa wajumbe wakuu hivyo anafaa kuwajibika maana ni sehemu ya mpango huo.
"Sisi kama wilaya tunawajibu wa kuingilia pale tunapoona akili za halmashauri zimefikia ukomo, mambo hayaendi, nilipoingia madarakani nilizungukia miradi yote na kuwaita madiwani wote na kutoa maelekezo yangu, ninachoshangaa yale yaliyowahi kuchukuliwa hatua bado anabeba Kama ajenda mpya na kuimba kila kukicha badala ya kuwajibika hivyo nimtake arudi jimboni tuchape kazi aache utoto wa mashtaka,”amesema.
Hivi karibuni Gambo akiwa bungeni dodoma alieleza mambo mengi ya ufisadi katika jiji la Arusha huku akidai changamoto kubwa ya ubadhilifu na usimamizi mbovu wa fedha za halmashauri.
Alitolea mfano baadhi ya tuhuma ukiwemo ujenzi wa jengo la utawala lenye urefu wa gorofa sita, na kusema halmashauri imetafuta fundi mjenzi akidai ni rafiki yao bila kutangaza tenda, taratibu za manunuzi hazijafuatwa na kumpatia kiasi cha fedha Sh199.7 milioni na kununua vifaa vya Sh132 milioni ambavyo havijafika eneo la mradi.
"Ziada ya nondo kiasi cha tani 6.48 zenye thamani ya Sh17 milioni pia waliongeza malipo ya sh21 milioni kwa fundi yanayotokana na uzembe wa wataalamu wetu, pia kumekuwepo na risiti feki za EFD zenye thamani ya Sh699.9 milioni,”alituhumu Gambo
Aidha sio mara ya kwanza Gambo kutoa tuhuma za ubadhirifu wa fedha katika halmashauri hiyo kwani mapema Mei, 2022 alitoa tuhuma hizo mbele ya waziri mkuu Kasim Majaliwa hali iliyopelekea kusimamishwa kazi watumishi sita wa jiji la Arusha akiwemo aliyekuwa mkurugenzi Dk John Pima.

MWANANCHI

Huyu mkuu wa Wilaya uelewa wake mdogo sana, kama Gambo ni Mhusika, angekuwa na Pima magereza as we speak....
 
Huyu DC anapaswa kujitafakari maana anaelekea kukalia kuti kavu!

Sipati picha itakuwaje endapo tuhuma za Mbunge Gambo zikifanyiwa kazi na baadaye ikawa ni kweli!

Huyu DC atajikuta anasimamia wapi baada ya hapo?

Gambo ni mbunge wa Arusha mjini,ameongea tuhuma hizo akiwa Bungeni ambako ndiko anakowajibika kuyasema hayo!
Gambo ndie mtu sahihi. Aliyetunwa na wapiga kura ili kuwatetea bungeni.
Tena ikiwa ni kwenye mjadala wa bajeti ya TAMISEMI bungemi.
Sasa DC anawashwa nini ilhali yeye sio muajiriwa wa TAMISEMI wala hahusiki moja kwa moja na utendaji wa halmashauri ya jiji.
Isipokuwa mhusika mkuu ni Mkurugenzi wa jiji!

Watu wengine hujilazimisha kukanyaga waya wa Umeme,ilhali wanajua impact yake!
Kama DC angekuwa na busara,angejiweka kando na hizo scandal za ubadhirifu kwa sasa,maana watu nchini wameoagawa na ripoti ya CAG.

Shauri zake na familia yake!
 
M
Huyu DC anapaswa kujitafakari maana anaelekea kukalia kuti kavu!

Sipati picha itakuwaje endapo tuhuma za Mbunge Gambo zikifanyiwa kazi na baadaye ikawa ni kweli!

Huyu DC atajikita wapi baada ya hapo?

Gambo ni mbunge wa Arusha mjini,ameongea tuhuma hizo akiwa Bungeni ambako ndiko anakowajibika kuyasema hayo!
Tena ikiwa ni kwenye mjadala wa bajeti ya TAMISEMI bungemi.
Sasa DC anawashwa nini ilhali yeye sio muajiriwa wa TAMISEMI wala hahusiki moja kwa moja na utendaji wa halmashauri ya jiji.
Isipokuwa mhusika mkuu ni Mkurugenzi wa jiji!

Watu wengine hujilazimisha kukanyaga waya wa Umeme,ilhali wanajua impact yake!

Kama DC angekuwa na busara,angejiweka kando na hizo scandal za ubadhirifu kwa sasa,maana watu nchini wameoagawa na ripoti ya CAG.

Shauri zake na familia yake!
Mgambo wanaruka na kukanyagana.
 
Arusha. Mkuu wa wilaya ya Arusha, Felisian Mtehengerwa amemtaka Mbunge wa jimbo lake Mrisho Gambo kutekeleza wajibu wake ndani ya halmashauri kuliko kubeba ajenda za ubadhilifu ili kujitafutia umaarufu wa kisiasa.
Mtahengerwa amesema hayo leo April 19,2023 wakati akizungumza na waandishi wahabari juu ya msimamo wake kuhusiana na tuhuma zilizotolewa na Gambo bungeni hivi karibuni akielezea ubadhilifu wa fedha za umma katika halmashauri ya jiji la Arusha na serikali.
"Gambo ifikie mahali aache siasa za maji taka maana kutuhumu viongozi kwa ufisadi wakati yeye ni sehemu ya viongozi wanaosimamia utekelezaji wa mipango ya jiji la Arusha ni kutafuta pa kutokea na huruma ya wananchi wakati yeye mwenyewe ni mmojawapo" amesema Mtahengerwa
"Gambo anaonyesha wazi hajui wajibu wake maana anasahau kuwa halmashauri inaundwa na madiwani na mbunge hivyo anapoona mambo hayaendi vizuri wangekuwa wakwanza kuzuia na kuchukua hatua za awali lakini matokeo yake anakubali utekelezaji ufanyike halafu baadae anaenda kuukosoa, awajibike ndani kwanza kwa kukataa isifanyike"ameongeza
Pia, amesema wakati mambo hayo yanatokea miaka ya nyuma ambayo pia yeye (Gambo) ni mmoja wa wajumbe wakuu hivyo anafaa kuwajibika maana ni sehemu ya mpango huo.
"Sisi kama wilaya tunawajibu wa kuingilia pale tunapoona akili za halmashauri zimefikia ukomo, mambo hayaendi, nilipoingia madarakani nilizungukia miradi yote na kuwaita madiwani wote na kutoa maelekezo yangu, ninachoshangaa yale yaliyowahi kuchukuliwa hatua bado anabeba Kama ajenda mpya na kuimba kila kukicha badala ya kuwajibika hivyo nimtake arudi jimboni tuchape kazi aache utoto wa mashtaka,”amesema.
Hivi karibuni Gambo akiwa bungeni dodoma alieleza mambo mengi ya ufisadi katika jiji la Arusha huku akidai changamoto kubwa ya ubadhilifu na usimamizi mbovu wa fedha za halmashauri.
Alitolea mfano baadhi ya tuhuma ukiwemo ujenzi wa jengo la utawala lenye urefu wa gorofa sita, na kusema halmashauri imetafuta fundi mjenzi akidai ni rafiki yao bila kutangaza tenda, taratibu za manunuzi hazijafuatwa na kumpatia kiasi cha fedha Sh199.7 milioni na kununua vifaa vya Sh132 milioni ambavyo havijafika eneo la mradi.
"Ziada ya nondo kiasi cha tani 6.48 zenye thamani ya Sh17 milioni pia waliongeza malipo ya sh21 milioni kwa fundi yanayotokana na uzembe wa wataalamu wetu, pia kumekuwepo na risiti feki za EFD zenye thamani ya Sh699.9 milioni,”alituhumu Gambo
Aidha sio mara ya kwanza Gambo kutoa tuhuma za ubadhirifu wa fedha katika halmashauri hiyo kwani mapema Mei, 2022 alitoa tuhuma hizo mbele ya waziri mkuu Kasim Majaliwa hali iliyopelekea kusimamishwa kazi watumishi sita wa jiji la Arusha akiwemo aliyekuwa mkurugenzi Dk John Pima.

MWANANCHI
Gambo ana propagate cheap politics, isingekuwa Magufuli asingekuwa mbunge.
 
hii kwako ngoma nzito! Wote gambo na mtengeherwa na wewe ni follower wa sukuma gang! Imekuuma wanavyopasuana! Conflict of interest! Angekuwa mmoja ni wa upande wa maza! Hii post ingejaa like na comment nying kutoka kwako
Sukuma gang kwa sukuma gang

😅😅😅ngoma inogile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom