Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

HARAMBEE YA UJENZI WA MAABARA TATU ZA SEKA SEKONDARI - JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI Seka Sekondari ni shule mpya ambayo kwa sasa ina wanafunzi wa Kidato cha Kwanza hadi cha Tatu ( FI - FIII). Jumla...
0 Reactions
3 Replies
772 Views
Karibuni wadau kwa majawabu yenu juu ya maswali yangu haya yafuatayo. 1. Kwa nini wanasiasa wa TANU na vyama baadhi miaka ya 1950s walishinikiza suala la wao kupewa uhuru kutoka kwa Muingereza...
3 Reactions
41 Replies
2K Views
MBUNGE WA CHWAKA AZUNGUMZIA MIUNDOMBINU YA ELIMU - WILAYA YA KATI, MKOA KUSINI UNGUJA Mbunge wa Jimbo la Chwaka Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Haji Mlenge katika kuonyesha utekelezaji...
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Hello, Mimi kazi yangu kuwakumbusha vijana kuacha kutumika na wanasiasa hasa upinzani itakuja kuwagharimu baadae. Juzi niliketa uzi kama uhu akatokea kijana mmoja akaja nishuhudia kuwa, “unacho...
11 Reactions
81 Replies
3K Views
Tulipofika ni ngumu sana kumtofautisha Dr Taletale na Dr Kigwangalla Mzungu anajua sana kuchezea akili za mtu mweusi Hongereni wote mnaoendelea kutunukiwa PhD za heshima Dr Taletale, Dr Abood...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
1 Reactions
4 Replies
781 Views
Haiwezekani binadamu uliyetimia ukaongea maneno ya kikatili kwa mwanadamu mwenzako kisa wewe ni MATAGA. Musiba aliyaongea haya maneno akiwa na uhakika kuwa Tanzania ilikuwa mikononi mwake maana...
15 Reactions
211 Replies
12K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe amesema hivi sasa wilaya zinaletewa Wakuu wa Wilaya ambao wananchi wa wilaya husika hawawajui na wala hawajawahi kuwaona au kuwasikia. Hivyo katika vuguvugu...
11 Reactions
34 Replies
2K Views
Baada ya kusikia habari za mtanzania aliyeuawa vitani nchini Ukraine akipambana upande wa Urusi dhidi ya Ukraine nilishangazwa sana na kujiuliza, ilikuwaje? Maneno mengi nikaanza kusikia kabla ya...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameongoza Matembezi ya kuhamasisha mazoezi ili kulinda afya ya moyo katika kampeni maalumu ya kuzuia magonjwa...
0 Reactions
0 Replies
482 Views
WAJIBU WA MASHINA YA CCM Kila shina lililo timiza masharti limeunda kamati ya uongozi wa shina yenye wajumbe watano akiwemo Balozi ambaye ndiye mwenyekiti wa shina. Katiba ya CCM 1977, Toleo la...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
"Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia neema ya kutimiza miaka 63. Nawashukuru nyote kwa salamu zenu nyingi za upendo katika siku hii. Ahsanteni sana kwa dua za siha njema, umri mrefu na...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi binafsi navutiwa na kikosi cha kivita cha wagner cha nchini urusi kinachomilikiwa na mtu binafsi ,navutiwa nacho kwa sababu kinamafungamano mazuri na serikali, pili kinatoa ajira mbadala kwa...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Nawakumbusha tu asije akawatapeli, kwa sasa sio wakili kwenye mahakama zetu. Asije akawadanganya mkampa pesa akawapiga.
4 Reactions
35 Replies
5K Views
Kwa uelewa wangu, serikali inajiendesha kutokana na Kodi zinazolipwa na wananchi wake. Katika hotuba ya Lissu, alipinga Kodi zote ambazo serikali inazikusanya na kuzitumia kulipa polisi waliokuwa...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Nimepenyezewa hii taarifa na Kada mkongwe wa CCM ambaye wote hapa Jf mnamjua Mgaya anasema CCM haitegemei mtu mmoja ndio sababu Mikutano itafanyika nchi nzima siku hiyo Nawatakia Sabato yenye...
1 Reactions
2 Replies
361 Views
Wanachi wataumia sana, hawana mtetezi. 👇 Nipashe ilitembelea maeneo mbalimbali ya Dar es Salam na kubaini kupanda bei za bidhaa zinazotumiwa na kwa mlo wa kila siku ambazo ni mchele, maharagwe...
14 Reactions
183 Replies
11K Views
Just thinking loudly..........hawa vigogo huku na mwenendo wa magamba. A new Mtandao? Mufti Simba asambaratisha kamati kwa kushindwa kazi Wednesday, 03 August 2011 23:00 Hussein...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hii kauli ya Freeman Mbowe kuhusu kushangaa kuwa IGP Simon Sirro mpaka leo yupo ofisini na anashangaa mpaka leo bado yupo ofisini unadhani ni sahihi muda huu mkuu huyo wa Jeshi la Polisi anatakiwa...
14 Reactions
49 Replies
6K Views
Back
Top Bottom