Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri Ummy Mwalimu amesema tatizo la ugumba bado ni kubwa nchini, " mpaka sasa hakuna takwimu rasmi za kitaifa ila utafiti mdogo ambao unaonesha 30% ya watu wana tatizo la ugumba, Duniani...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wote tunajua kwamba Shujaa Magufuli alichangia takribani tsh 38 milioni kama mwanafamilia wa Mchungaji Msigwa ili zijazie bakuli la kulipia Faini Viongozi wa CHADEMA waliokuwa wamefungwa Jela...
3 Reactions
58 Replies
2K Views
Kulalamika bila kuweka facts hakusaidii lolote Inaeleweka wazi kabisa Wazanzibari wote ni Watanzania lakini Siyo Watanzania wote ni Wazanzibari Very simple Jumaa kareem!
1 Reactions
6 Replies
856 Views
Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakuja hivi karibuni katika kuongeza ufanisi. Mabadiliko hayo yanaweza yasiwe na tija au yakawa na tija, ila naamini mabadiliko hayo yakilenga kuvunja Baraza...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Hili ni swali tu ndugu zangu, wala halina Uhusiano na jambo lolote lile. Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu, leo huyu, kesho yule . Kiongozi aweza kuachia...
11 Reactions
103 Replies
9K Views
Polisi walisema hawawezi kuchunguza kwasababu wameshindwa kumhoji Lissu. Na kisingizio cha kutokumhoji Lissu ni kwasababu alikuwa nje nchi. Sasa Lissu amerejea Tanzania. Natarajia jeshi...
5 Reactions
25 Replies
1K Views
Habari JF, Kuna kitu hakiko sawa katika siasa za Tanzania. Kama ilivyo kwa viongozi na wanachama wakongwe wa vyama vya upinzani wengi wao walitoka CCM. Kwa kipindi hicho kuunda kwao vyama vya...
5 Reactions
45 Replies
2K Views
Kufuatia mkeka wa ma DC kutoka, imeonekana kuna jambo fulani linaepushwa ili kulinda ubadhilifu mkubwa uliofanywa kwenye chama wakati wa Katibu Mkuu Deus na genge lake. Juzi tu mkutano mkuu wa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Unashangaa? Wenye akili walikuwa wanazikataa.... Akina Nyerere waliamua waitwe Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pamoja na kushimiwa sana. Nyerere alikuwa akiona unajipendekeza sana kwake...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba majibu ya swali hilo katika ulimwengu huu wa kuchakachua kufoji kubambikiza kuonea kutoleana ushahidi wa uongo je kuna haja ya Kuwa na kipengele kama hiki?
0 Reactions
1 Replies
429 Views
Baada ya ziara ya Rais Samia nchini China, 98% ya bidhaa kutoka Tanzania kwenda China zitaingia bila kutozwa ushuru. Hii itatoa fursa kubwa kibiashara kwa wakulima, wafugaji na wafanya biashara...
2 Reactions
12 Replies
911 Views
WINGU la mashaka juu ya mustakabali wa utawala wa Kagame nchini Rwanda ,lilianza kutanda muda mfupi tu baada ya maadhimisho ya 12 ya mauaji hayo ya Kimbari ,pale Mwanasheria wa ICTR alipotangaza...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Baada ya kupokelewa jana Tundu Lisu ameshangaa kukuta kila kitu bei juu tofauti na alivyoacha mwaka 2020 baada ya kumaliza uchaguzi mkuu na kukimbia nchi kwa kisingizio kwamba anataka kuuawa...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Ni Ibara ya 99 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Inabeba dhana ya utaratibu wa kutunga Sheria kuhusu mambo ya fedha. Ibara husika ina ibara ndogo 3. Tafadhali someni Ibara hii na...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Fursa na vikwazo katika maridhiano ya kisiasa Tanzania Kuna msemo unaohusishwa sana na mchezaji mashuhuri wa mchezo wa besiboli nchini Marekani, Lawrence “Yogi” Berra kwamba “ni vigumu kubashiri...
1 Reactions
1 Replies
496 Views
Jimbo la Hai, ni Kati ya Jimbo lenye shule Za msingi zenye madarasa na nyumba Za walimu zilizochakaa Tanzania. Jimbo la hai limekushinda au Hujui hili Tatizo lipo?
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Harakati za CHADEMA kwenda ikulu na kupata nafasi ya kutawala nchi hii hazitakaa zifanikiwe sababu walianza na mguu mbaya. KWANZA - Kuweka misingi yao kwa kubadirisha wanaharakati na uanaharakati...
4 Reactions
19 Replies
848 Views
Tundu Lissu amekunukuliwa na gazeti la Majira la leo akiweka bayana kuwa suala la ugumu wa maisha tulionao sasa wa kupanda kwa bidhaa kama mchele, maharage, unga, mafuta na bidhaa mbalimbali...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Mwaka 1972 ulianzishwa mradi wa maji wenye urefu wa kilomita 128 uliobuniwa na Mkurugenzi wa Maendeleo wa Wilaya (DDD) wa wakati huo kanali NSA KAISI. Mradi ulilenga kusaidia kuondoa shida ya...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom