Kufuatia mkeka wa ma DC kutoka, imeonekana kuna jambo fulani linaepushwa ili kulinda ubadhilifu mkubwa uliofanywa kwenye chama wakati wa Katibu Mkuu Deus na genge lake.
Juzi tu mkutano mkuu wa...
Unashangaa? Wenye akili walikuwa wanazikataa.... Akina Nyerere waliamua waitwe Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pamoja na kushimiwa sana.
Nyerere alikuwa akiona unajipendekeza sana kwake...
Naomba majibu ya swali hilo katika ulimwengu huu wa kuchakachua kufoji kubambikiza kuonea kutoleana ushahidi wa uongo je kuna haja ya Kuwa na kipengele kama hiki?
Baada ya ziara ya Rais Samia nchini China, 98% ya bidhaa kutoka Tanzania kwenda China zitaingia bila kutozwa ushuru. Hii itatoa fursa kubwa kibiashara kwa wakulima, wafugaji na wafanya biashara...
WINGU la mashaka juu ya mustakabali wa utawala wa Kagame nchini Rwanda ,lilianza kutanda muda mfupi tu baada ya maadhimisho ya 12 ya mauaji hayo ya Kimbari ,pale Mwanasheria wa ICTR alipotangaza...
Baada ya kupokelewa jana Tundu Lisu ameshangaa kukuta kila kitu bei juu tofauti na alivyoacha mwaka 2020 baada ya kumaliza uchaguzi mkuu na kukimbia nchi kwa kisingizio kwamba anataka kuuawa...
Ni Ibara ya 99 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Inabeba dhana ya utaratibu wa kutunga Sheria kuhusu mambo ya fedha. Ibara husika ina ibara ndogo 3. Tafadhali someni Ibara hii na...
Fursa na vikwazo katika maridhiano ya kisiasa Tanzania
Kuna msemo unaohusishwa sana na mchezaji mashuhuri wa mchezo wa besiboli nchini Marekani, Lawrence “Yogi” Berra kwamba “ni vigumu kubashiri...
Jimbo la Hai, ni Kati ya Jimbo lenye shule Za msingi zenye madarasa na nyumba Za walimu zilizochakaa Tanzania.
Jimbo la hai limekushinda au Hujui hili Tatizo lipo?
Harakati za CHADEMA kwenda ikulu na kupata nafasi ya kutawala nchi hii hazitakaa zifanikiwe sababu walianza na mguu mbaya.
KWANZA - Kuweka misingi yao kwa kubadirisha wanaharakati na uanaharakati...
Tundu Lissu amekunukuliwa na gazeti la Majira la leo akiweka bayana kuwa suala la ugumu wa maisha tulionao sasa wa kupanda kwa bidhaa kama mchele, maharage, unga, mafuta na bidhaa mbalimbali...
Mwaka 1972 ulianzishwa mradi wa maji wenye urefu wa kilomita 128 uliobuniwa na Mkurugenzi wa Maendeleo wa Wilaya (DDD) wa wakati huo kanali NSA KAISI.
Mradi ulilenga kusaidia kuondoa shida ya...
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan leo Jumanne Novemba 28, 2017 amemtembelea mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyelazwa Hospitali ya Nairobi nchini hapa.
Msafara wa Samia...
Moja kwa Moja kwenye mada.
Sipingi kutolewa Vishikwambi ila naona sio sawa kuweka sherehe jambo la kutoa maelekezo na maagizo tu.
Kila kitu viongozi wanataka kongamano hafla nk,vya nini hivyo...
Kuna kila sababu kwa Chama cha Mapinduzi kujitokeza hadharani kulaani ufisadi na ubadhirifu mkubwa wa mali za umma uliotawala katika Halmashauri karibu zote hapa nchini ambapo miradi mingi...
Ni rai kwa wanausalama na kwa wapenda Amani wote!
Tumekuwa na Amani na utulivu kwa muda kitambo sasa licha ya mazuwio ya kisiasa, lakini nchi yetu imekuwa na Amani na shwari
Hivi majuzi mpendwa...
Jamiiforums kupitia ukurasa wake wa Twitter imeandaa space ambayo itatoa fursa ya dakika 2 kwa Wananchi kutoa maoni au (kupaza sauti yao) kuhusu suala lolote linalowagusa katika Wizara yoyote hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.