Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

UFANISI Vs CHANGAMOTO ZA KIFEDHA NCHINI. NANI TUMPE MAUA YAKE MAPEMA? Popote duniani wasifu wa fedha unategemea mambo kadhaa. 1. Hali ya uchumi wa nchi 2. Ufanisi wa sekta za umma na zile...
0 Reactions
0 Replies
411 Views
Mali za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zipo hatarini kukamatwa na Kampuni ya M/s Laemthong Rice Company Ltd inayoidai Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kiasi cha Dola za Marekani...
1 Reactions
79 Replies
5K Views
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kijiji cha Kwa Msisi Mkoani Tanga ambapo imeombwa kwanza hela ya Tambiko mil 21 ili ujenzi wa barabara unaohusisha ukataji wa miti uendelee. Tambiko la pili...
14 Reactions
163 Replies
15K Views
Halima Nassoro kada CCM anayepora viwanja, kumg'oa Masanja Mwanza Miezi minne sasa tangu sakata la uuzwaji wa viwanja viwili katika eneo la Rwagasore jijini Mwanza kuibuka, mapya yaibuka...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Bunge ni la CCM na Jina la Spika limeletwa Bungeni na Kamati Kuu ya CCM inayoongozwa na Mwenyekiti wa CCM ambaye ndiye Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye naye pia ni sehemu ya Bunge...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu amefanya ziara katika Kata ya Ikuti na kukagua miradi ya maendeleo pamoja na kuzungumza na wakazi wa kata hiyo. Akikagua ujenzi wa shule mpya ya msingi...
0 Reactions
0 Replies
584 Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma (CCM), Mhe. Dkt. Thea Medard Ntara amehoji “Suala hili lina muda mrefu sana na Watoto wanazidi kunyanyasika kwa kuolewa na umri mdogo, Je, Serikali imejiwekea...
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Nina imani na wabunge wazalendo walioko Bungeni ambao hawana hatia juu ya ubadhirifu ulioibuliwa na CAG, hawaungi mkono mafisadi kupewa miezi sita ili hatua kuchukuliwa! Lakini pia, Karibu 90% ya...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Kutoka Dodoma ndani ya Bunge linaloendelea, Mbunge asiyefahamika vizuri aliyetajwa kwa jina la Mtemvu, aliyetajwa kuwakilisha jimbo la Kibamba ametoa hoja kwamba Sura ya Rais Samia Suluhu iwekwe...
16 Reactions
73 Replies
4K Views
Kama ni kweli Hii sio sawa,Wahusika chukueni hatua.. Mbunge wa Nkasi (Chadema), Aida Khenan amelalamika kubaguliwa na wakuu wa idara na watumishi wa Wilaya ya Nkasi akidaiwwamegoma kumpa...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amesema hana mpango wa kurudi nchini kwa sasa na kwamba taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii...
0 Reactions
83 Replies
9K Views
Namkumbuka sana Dr Willibrod Slaa mara kwa mara katika hotuba zake, ampeni zake alikuwa akihubiri na kulilia utawala wa sheria katika nchi hii. Nataka kujua huko aliko, msimamo wake ni upi juu ya...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Marehemu Maalim Seif Sharif Hamad alikuwa kiongozi wa siasa na mapambano ya kisiasa ya kambi ya upinzani Tanzania, ambae alijaaliwa ushawishi mkubwa zaidi kwa upande wa Zanzibar tokea miaka ya...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa muda sasa sijajitokeza kusema. Niliwahi kuandika jambo humu watu wakanitukana sana,ila kukili kosa nikujijenga katika mukutadha fulani wa maisha ya baadae. Mbowe alijisahau baada ya kuona...
6 Reactions
70 Replies
6K Views
NOAH SAPUTU MOLLEL - ASISITIZA USAWA KATIKA AJIRA ZINAZOTANGAZWA TAMISEMI Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi Mhe. Noah Lemburis Saputu Mollel wakati akichangia bungeni katika vikao...
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Ameonya baadhi ya jamii kupewa upendeleo kwenye ajira, Ameonya baadhi ya wakubwa kupendelewa Ameonya kuhusu ajira zenye kipato kama TRA, TANESCO kutotangazwa Ameshauri kwa nini utumishi...
10 Reactions
41 Replies
4K Views
Msemaji mkuu wa Serikal Gerson Msigwa amesema Watu wote Waliotajwa kwenye Ripoti ya CAG watashughulikiwa hivyo Wananchi msiwe na wasiwasi Kadhalika Treni ya SGR itaanza safari mwisho wa mwezi...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Baniani mbaya kiatu chake dawa. Bila serikali ya SSH kuwakingia kifua, Kabudi, Mruma, Osoro na Luoga katika zoezi la kuisaidia serikali kujadiliana kwa tija ya taifa kwenye mikataba mipya ya...
2 Reactions
9 Replies
904 Views
SPIKA wa Bunge, Tulia Ackson amemzuia Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu aliyeomba mwongozo wa Spika bungeni leo Aprili 18 2023 kutokana na mgogoro mkubwa wa mbolea unaotishia mazao ya...
1 Reactions
55 Replies
5K Views
Magari ya abiria na mizigo yamekwama kwenye barabara ya kutoka Handeni-Kilindi-Kiteto-Kongwa na wengine kiketo -kondoa. Ndani ya nchi moja wengine wanajengewa barabara kupita juu ya maji (ziwa...
6 Reactions
43 Replies
2K Views
Back
Top Bottom