Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,614
Baniani mbaya kiatu chake dawa.
Bila serikali ya SSH kuwakingia kifua, Kabudi, Mruma, Osoro na Luoga katika zoezi la kuisaidia serikali kujadiliana kwa tija ya taifa kwenye mikataba mipya ya uwekezaji sekta ya madini itawapunguzia nguvu na thamani kubwa waliyonayo kwenye jamii ya ndani na kimataifa.
1. Kabudi ni nguli wa sheria.
2. Osoro ni nguli wa uchumi.
3. Mruma ni nguli wa jiolojia.
4. Luoga ni nguli wa mikataba ya kimataifa.
Serikali ya awamu ya 6 ilivyowaondoa kwenye nafasi na dhamana ilizowakuta nazo haikujuwa iko siku itawahitaji?
Hao waliopewa dhamana walizokuwa nao hawa wa4 mbona hawashiriki majadiliano haya? Hawawezi? Kama hawawezi kwanini walizipewa dhamana hizo? Je, serikali inawalipa mishahara kwa kazi wasizofanya/wasizoweza?
Mfumo wetu wa Utumishi ni saratani ya maendeleo ya taifa.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Bila serikali ya SSH kuwakingia kifua, Kabudi, Mruma, Osoro na Luoga katika zoezi la kuisaidia serikali kujadiliana kwa tija ya taifa kwenye mikataba mipya ya uwekezaji sekta ya madini itawapunguzia nguvu na thamani kubwa waliyonayo kwenye jamii ya ndani na kimataifa.
1. Kabudi ni nguli wa sheria.
2. Osoro ni nguli wa uchumi.
3. Mruma ni nguli wa jiolojia.
4. Luoga ni nguli wa mikataba ya kimataifa.
Serikali ya awamu ya 6 ilivyowaondoa kwenye nafasi na dhamana ilizowakuta nazo haikujuwa iko siku itawahitaji?
Hao waliopewa dhamana walizokuwa nao hawa wa4 mbona hawashiriki majadiliano haya? Hawawezi? Kama hawawezi kwanini walizipewa dhamana hizo? Je, serikali inawalipa mishahara kwa kazi wasizofanya/wasizoweza?
Mfumo wetu wa Utumishi ni saratani ya maendeleo ya taifa.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app