johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,131
Nimekuwa nafuatilia sana maandiko mbalimbali ya mh Jussa wa ACT wazalendo ambaye mara zote anajaribu kuonyesha Wao ndio Wabunifu na Chadema huwaiga
Hata Maridhiano anadai Maalim Seif ndio aliyaasisi kwa kukutana na hayati Magufuli Ikulu kisha ndio Mbowe, Prof Jay na Sugu wakaigilizia kwa kukodi ndege na kumfata Shujaa Mwanza
Niseme tu Ukweli ACT wazalendo ni wadogo sana kwa Chadema tena kwa karibu kila Kitu kasoro jengo tu la Makao makuu
Ni Vizuri na vema ACT wazalendo wakajifunza siasa za kupanua wigo wa wanachama kwa Chadema ambacho ni chama pekee cha upinzani chenye wanachama nchi nzima
Ramadan kareem!
Hata Maridhiano anadai Maalim Seif ndio aliyaasisi kwa kukutana na hayati Magufuli Ikulu kisha ndio Mbowe, Prof Jay na Sugu wakaigilizia kwa kukodi ndege na kumfata Shujaa Mwanza
Niseme tu Ukweli ACT wazalendo ni wadogo sana kwa Chadema tena kwa karibu kila Kitu kasoro jengo tu la Makao makuu
Ni Vizuri na vema ACT wazalendo wakajifunza siasa za kupanua wigo wa wanachama kwa Chadema ambacho ni chama pekee cha upinzani chenye wanachama nchi nzima
Ramadan kareem!