johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,598
- 141,415
Msemaji mkuu wa Serikal Gerson Msigwa amesema Watu wote Waliotajwa kwenye Ripoti ya CAG watashughulikiwa hivyo Wananchi msiwe na wasiwasi
Kadhalika Treni ya SGR itaanza safari mwisho wa mwezi Huu au mwanzo wa mwezi Ujao
Chanzo: Mwananchi
Kadhalika Treni ya SGR itaanza safari mwisho wa mwezi Huu au mwanzo wa mwezi Ujao
Chanzo: Mwananchi