Nikiona watanzania wanateseka wanakaa wiki kwasababu ya ubovu wa barabara wengine barabara inapita juu ya maji inauma sana

saigilomagema

JF-Expert Member
Jun 5, 2015
4,173
6,156
Magari ya abiria na mizigo yamekwama kwenye barabara ya kutoka Handeni-Kilindi-Kiteto-Kongwa na wengine kiketo -kondoa. Ndani ya nchi moja wengine wanajengewa barabara kupita juu ya maji (ziwa Victoria) Km 3.2 kwa gharama ya Ths. 700 Bilioni wakati kuna njia mbadala kuna vivuko. Uwanja wa ndege usio na faida, hospitali eti ya kitalii ya rufaa wakati watanzania wengine wanalala maporini wiki nzima.

Magufuli alaaniwe na vizazi vyake vyote kwa ubaguzi huu wa kuibagua nchi ile ile moja hasa kanda ya kaskazini. Alikuwa mbinafsi na mbaguzi sana. Inauma watanzania wengine wanapiga picha juu ya maji barabara nne wengine bidhaa zao zinaoza maporini, hawana chakula, hakuna pa kulala, hakuna choo. Ni bora mgawe nchi kila upande utumie rasilimali zake kujiletea maendeleo yao. Mwendazake alikuwa shetani.

Najua watakuja washamba wenzake wenye roho km ya kwake, wabinafsi k,m yeye ila ukweli uko wazi. Rais mama yetu unahangaika na Ring Road ya Dodoma wakati watanzania wengine wanateseka vile ndani ya nchi ile ile hii siyo fair
 
Magari ya abiria na mizigo yamekwama kwenye barabara ya kutoka Handeni-Kilindi-Kiteto-Kongwa na wengine kiketo -kondoa. Ndani ya nchi moja wengine wanajengewa barabara kupita juu ya maji (ziwa Victoria) Km 3.2 kwa gharama ya Ths. 700 Bilioni wakati kuna njia mbadala kuna vivuko. Uwanja wa ndege usio na faida, hospitali eti ya kitalii ya rufaa wakati watanzania wengine wanalala maporini wiki nzima.

Magufuli alaaniwe na vizazi vyake vyote kwa ubaguzi huu wa kuibagua nchi ile ile moja hasa kanda ya kaskazini. Alikuwa mbinafsi na mbaguzi sana. Inauma watanzania wengine wanapiga picha juu ya maji barabara nne wengine bidhaa zao zinaoza maporini, hawana chakula, hakuna pa kulala, hakuna choo. Ni bora mgawe nchi kila upande utumie rasilimali zake kujiletea maendeleo yao. Mwendazake alikuwa shetani.

Najua watakuja washamba wenzake wenye roho km ya kwake, wabinafsi k,m yeye ila ukweli uko wazi. Rais mama yetu unahangaika na Ring Road ya Dodoma wakati watanzania wengine wanateseka vile ndani ya nchi ile ile hii siyo fair
Wivu na chuki ndio zinakusumbua, vipi kuhusu madaraja ya Dar nayo yanasaidia wananchi dhidi ya umaskini, naona umetaja daraja la kigongo tu, miradi mingapi imefanyika mikoani kwenu mbona hatusemi.
 
Bilioni 700 tungejenga barabara km 700!
Bilion 540 za kujenga matank ya maji Arusha yangetosha kujenga vituo vya afya 108 na chenji ikabaki, sijui kwanini magufuli alipeleka pesa zote hizo kwa watu, waliozoea kuwa na meno yao ya dhahabu.
 
iyo barabara ilijengwa Magufuli akaja akaibomoa ama vipi,sijaelewa?,alafu daraja la km 3 na ubovu wa iyo barabara kuna uhusiano upi mzee baba?
 
Magari ya abiria na mizigo yamekwama kwenye barabara ya kutoka Handeni-Kilindi-Kiteto-Kongwa na wengine kiketo -kondoa. Ndani ya nchi moja wengine wanajengewa barabara kupita juu ya maji (ziwa Victoria) Km 3.2 kwa gharama ya Ths. 700 Bilioni wakati kuna njia mbadala kuna vivuko. Uwanja wa ndege usio na faida, hospitali eti ya kitalii ya rufaa wakati watanzania wengine wanalala maporini wiki nzima.

Magufuli alaaniwe na vizazi vyake vyote kwa ubaguzi huu wa kuibagua nchi ile ile moja hasa kanda ya kaskazini. Alikuwa mbinafsi na mbaguzi sana. Inauma watanzania wengine wanapiga picha juu ya maji barabara nne wengine bidhaa zao zinaoza maporini, hawana chakula, hakuna pa kulala, hakuna choo. Ni bora mgawe nchi kila upande utumie rasilimali zake kujiletea maendeleo yao. Mwendazake alikuwa shetani.

Najua watakuja washamba wenzake wenye roho km ya kwake, wabinafsi k,m yeye ila ukweli uko wazi. Rais mama yetu unahangaika na Ring Road ya Dodoma wakati watanzania wengine wanateseka vile ndani ya nchi ile ile hii siyo fair
Nakumbuka hii ilikuwa moja ya Irani ya CHADEMA ya majimbo katika uchaguzi mkuu wa 2015. Kwamba majimbo yajitegemee katika swala la maendeleo then kuwe na a certain % as contribution kutoka kila Jimbo kwenda serikali kuu kwaajili ya maendeleo ya jumla. Kwenye mijadala wapo walioikubali na wapo waliopinga kwamba italeta utofauti wa kimaendeleo kati ya majimbo kwamba Kuna majimbo yamebarikiwa kuwa na rasilimali nyingi na mengine hakuna kabisa.
Binafsi hii Sera naona kama ingekuwa chachu ya kupiga hatua haraka katika swala zima la maendeleo Jimbo husika na lile ambalo kitakuwa likilag behind linapigwa tafu na mfuko mkuu wa serikali.
 
eb5ae8d3-fdc5-4954-a51f-6268c5b129e5-jpeg.1971057
 
Magari ya abiria na mizigo yamekwama kwenye barabara ya kutoka Handeni-Kilindi-Kiteto-Kongwa na wengine kiketo -kondoa. Ndani ya nchi moja wengine wanajengewa barabara kupita juu ya maji (ziwa Victoria) Km 3.2 kwa gharama ya Ths. 700 Bilioni wakati kuna njia mbadala kuna vivuko. Uwanja wa ndege usio na faida, hospitali eti ya kitalii ya rufaa wakati watanzania wengine wanalala maporini wiki nzima.

Magufuli alaaniwe na vizazi vyake vyote kwa ubaguzi huu wa kuibagua nchi ile ile moja hasa kanda ya kaskazini. Alikuwa mbinafsi na mbaguzi sana. Inauma watanzania wengine wanapiga picha juu ya maji barabara nne wengine bidhaa zao zinaoza maporini, hawana chakula, hakuna pa kulala, hakuna choo. Ni bora mgawe nchi kila upande utumie rasilimali zake kujiletea maendeleo yao. Mwendazake alikuwa shetani.

Najua watakuja washamba wenzake wenye roho km ya kwake, wabinafsi k,m yeye ila ukweli uko wazi. Rais mama yetu unahangaika na Ring Road ya Dodoma wakati watanzania wengine wanateseka vile ndani ya nchi ile ile hii siyo fair
Hapa ni Ilungu Mbeya vijijini, wananchi wanatengeneza barabara kwa majembe ya kulimia viazi. Halafu utakuta hapohapo wanasema Magufuli mzalendo Namba 1
20230420_050123.jpg
 
Tushasema kamwamshe umsemee mpk utosheke umlaze tena mahali pake we msengerema sio kila siku kutuletea mada mtu kajipumzikia kwa amani kabisa.
 
Magari ya abiria na mizigo yamekwama kwenye barabara ya kutoka Handeni-Kilindi-Kiteto-Kongwa na wengine kiketo -kondoa. Ndani ya nchi moja wengine wanajengewa barabara kupita juu ya maji (ziwa Victoria) Km 3.2 kwa gharama ya Ths. 700 Bilioni wakati kuna njia mbadala kuna vivuko. Uwanja wa ndege usio na faida, hospitali eti ya kitalii ya rufaa wakati watanzania wengine wanalala maporini wiki nzima.

Magufuli alaaniwe na vizazi vyake vyote kwa ubaguzi huu wa kuibagua nchi ile ile moja hasa kanda ya kaskazini. Alikuwa mbinafsi na mbaguzi sana. Inauma watanzania wengine wanapiga picha juu ya maji barabara nne wengine bidhaa zao zinaoza maporini, hawana chakula, hakuna pa kulala, hakuna choo. Ni bora mgawe nchi kila upande utumie rasilimali zake kujiletea maendeleo yao. Mwendazake alikuwa shetani.

Najua watakuja washamba wenzake wenye roho km ya kwake, wabinafsi k,m yeye ila ukweli uko wazi. Rais mama yetu unahangaika na Ring Road ya Dodoma wakati watanzania wengine wanateseka vile ndani ya nchi ile ile hii siyo fair
Baada ya kumaliza kufirwa akili yako huwa inahamia matakoni mbwa wewe
 
Magari ya abiria na mizigo yamekwama kwenye barabara ya kutoka Handeni-Kilindi-Kiteto-Kongwa na wengine kiketo -kondoa. Ndani ya nchi moja wengine wanajengewa barabara kupita juu ya maji (ziwa Victoria) Km 3.2 kwa gharama ya Ths. 700 Bilioni wakati kuna njia mbadala kuna vivuko. Uwanja wa ndege usio na faida, hospitali eti ya kitalii ya rufaa wakati watanzania wengine wanalala maporini wiki nzima.

Magufuli alaaniwe na vizazi vyake vyote kwa ubaguzi huu wa kuibagua nchi ile ile moja hasa kanda ya kaskazini. Alikuwa mbinafsi na mbaguzi sana. Inauma watanzania wengine wanapiga picha juu ya maji barabara nne wengine bidhaa zao zinaoza maporini, hawana chakula, hakuna pa kulala, hakuna choo. Ni bora mgawe nchi kila upande utumie rasilimali zake kujiletea maendeleo yao. Mwendazake alikuwa shetani.

Najua watakuja washamba wenzake wenye roho km ya kwake, wabinafsi k,m yeye ila ukweli uko wazi. Rais mama yetu unahangaika na Ring Road ya Dodoma wakati watanzania wengine wanateseka vile ndani ya nchi ile ile hii siyo fair
Tena hiyo ya kiteto kondoa na kondoa katesh mvua tu ikinyesha bas ni kusubir mpaka maji yapungue ndo mpite 🤣🤣🤣huku jamaa wanaiba mabilioni bila waswas.
 
Back
Top Bottom