Wengi waliumizwa vibaya na utawala wa Marehemu Magufuli. Taifa liliumizwa na utawala wa Magufuli:
1) Katiba iliwekwa kapuni
2) Sheria ziliwekwa jalalani
3) Utekaji, upotezaji na mauaji ya watu...
Jana nimeshuhudia ukamataji usio mzuri na hasa kwa watu wa bodaboda wanakimbizana na gari ya maliasili kwenye mitaa ya watu kwa spidi ile ni hatari sana!
Mmoja kagonga trekta sijajua kama...
Salaam Wakuu,
Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?
Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni...
Hawa mawaziri wanaoongoza hizi wizara wana ajenda ya siri ya Kumng’oa Samia. Mama kaa chonjo watakugharimu Urais wako wewe endelea kuwakumbatia, wananchi tunakuangalia kwa jicho la tatu
Katika mazingira halisi Uchaguzi Mkuu wa 2020 walioshindana Majukwaani ni Rais Samia na mgombea Urais wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu
Rais Samia akiwa makamu wa Rais aliwezesha CCM kupata...
Yaani ipo hivi sio kwamba Tanzania ni maskini na sio kwamba kila kiongozi ambaye anaingia madarakani ndo hawezi kuongoza Tz na kuifikisha pale raia watanzania wanapenda na sio Tanzania peke yake...
Wiki hizi mbili status yangu WhatsApp imejazwa na posti za jumbe za heri kwa wafanyakazi, ndugu jamaa na marafiki wakiwatakia heri watu wao wanaogombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya CCM...
This is shame
Mahindi ya Serikali yametawanywa karibia nchi nzima lakini bei yake iko juu kuliko matarajio ya wananchi ambayo yalikuwa ni kuwasaidia kupunguza gharama za maisha lakini sh 900...
Neno CCM masikioni Sasa Ni Kama kinyaa kwangu. Miaka 61 ukiongezea na ya TANU watanzania bado Wana nyimbo zile zile. Ufisadi.....ukupe, elimu duni......walimu wachache....uhaba wa vifaa vya...
Viongozi wengi waliopumzishwa wamekaa kimya huku wakijitaftia mkate wa kila siku kupitia kwenye kilimo na biashara mfano mzuri wapo wakina Lukuvi, Kabudi, Ally Happi, Makonda Mzee Ndugai n.k.wewe...
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi
Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee...
Hakuna asiye jua kuwa kwa sasa kuna shida ya Maji na Umeme kwa baadhi ya maeneo hasa Mkoa wa Dar Es Salaam, tatizo ambalo kwa kiasi kikubwa limechangiwa na upungufu wa mvua ambazo zilitakiwa ziwe...
Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba kuna mgao wa umeme au laaa. Tangu asubuhi huku Msasani hakuna umeme na hakuna taarifa zozote, hiyo haitoshi Jana maji hakuna leo yapo, umeme hakuna. Sasa haya...
Hakuna tena more death threats kama ilivyokuwa kipindi kilichopita tulishuhudia vitisho vingi kuliko wakati wote ule wa vyama vingi vya siasa katika our political history.
Rais Samia ni...
Mhe. Rais wa JMT, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, leo ni takribani unaelekea mwezi wa pili kuisha bila kulipwa posho yao ya mwezi kama mikataba yao inavyoonesha hawa madaktari...
Nchi ya kusadikika imesikika ikitoa msaada kwa nchi fulani hivi ya kwenye uso wa Dunia ukizingatia hakuna cha bure lakini yote kwa yote watakuwa wanenufaika na yanayoendelea katika nchi ya kisiwa...
Wakuu
Poleni na majukumu.
Katika kitabu cha Ndugu yetu Reginald Mengi alichochapisha KABLA hajaitwa na Baba mwenyezi.
Kitabu cha I can,I must and I Will kilieleza wakati ngumu Sana aliopitia na...
Morogoro Dsm ni kilometa hazizidi 200, hata kama kilometa moja ni bilioni moja, haizidi bilioni 200, hivi kama nchi tunakosa fedha hizi? Na asilimia kubwa ya eneo Hilo fidia ni kidogo.
Tiweke...
Miaka 50 ya muungano wa tanganyika na zanzibar ,zanzibar haijawahi kutoa rais wa muungano,rais wa kwanza nyerer kazaliwa butiama ,mwinyi kazaliwa kivule mkoa wa pwani ,mkapa mtwara na JK msoga na...
Straight to the point, mfumo wa taarifa za marejesho (e-filing System) unarudisha nyuma kasi ya maendeleo ya uchumi na kuikosesha serekali mapato kwa wakati.
Mfumo huo umezidiwa nguvu na umekua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.