Mwigulu Nchemba hausiki na upotevu wa Trilioni 1.7, siasa za 2030 zimempatia ajira mpya Mpina

Nkerejiwa

Senior Member
Feb 25, 2014
146
214
UJUMBE WA WOTE WALIOUMIZWA NA TANZANIA KUFIKIA PATO LA TRILLION 200, NA WANAOTESEKA BAADA YA WIZARA YA FEDHA KUKOSA KASHFA KATIKA REPORT YA CAG.

● Ujumbe huu ufike kwa ndugu yetu mroho wa madaraka atambue kwamba Urais anatoa Mungu, sio wa kugombaniwa kwa majungu, akumbuke wote waliowahi kuugombania waliishia kupata visukari na maradhi ya akili baada ya kuukosa.
● Sisi kazi yetu kwasasa ni kumsaidia Jemedari mkuu Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kwako John Marwa na mfadhili wako.

1. Mosi,Mwigulu hausiki na tenda za Wizara ya Uchukuzi, kama ilikaa na ikaidhinisha tenda kwa vigezo wanavyovijua wao, Waziri wa Fedha anaazaje kuhoji? Kazi yake ni kutoa fedha na amefanya hivyo. Mpina unajaribu kuleta uozo wa Wizara ya Uchukuzi katika Wizara ya Fedha kwasababu umetumwa na mroho wa madaraka.

2. Mwigulu hajavunja sheria ya manunuzi, amevunjaje? Kwani yeye ndiye tender board ya TRC? Mnunuzi ni Wizara ya Uchukuzi, Mwigulu kazi yake ni kutoa fedha, na sio kuidhinisha malipo, malipo yalishaidhinishwa na Wizara Husika.

3. kwani, kuna watu wa wizara ya fedha wanashiriki kwenye vikao vya zabuni za Wizara ya Uchukuzi? Hakuna na ndio maana huna ushahidi.

4. Mwigulu hawezi kukopa bila idhini ya Serikali na sheria ya mikopo ya serikali (The Government Loans, Guarantees and Grants Act) iko wazi kabisa kuhusu hili , Waziri ni Mwakilishi tu Rais na Serikali, huwezi kusema Waziri wa Fedha amekwenda kukopa as if anakopa apeleke nyumbani kwake, angesema Serikali imekopa, sio sio Waziri wa Fedha. Hata siku moja, mtu asiseme Waziri fulani amekopa, aiseme Serikali moja kwa moja, otherwise atakuwa ana agenda binafsi na Waziri Mwigulu.

Mwigulu hana mamlaka ya kukopa on his personal capacity na kila mkopo unafuata taratibu za kiserikali za ukopaji ambazo zipo kwa mujibu wa sheria. Unaposema Waziri kakopa na kutumia nje ya bajeti it's something that doesn't make sense. Ile si bajeti ya Mwigulu, ile si mkopo wa Mwigulu ni bajeti ya Nchi na mikopo ya Nchi ambayo Waziri hana uwezo wa kuipata kwa personal capacity yake. Hapa ni masuala tu ya vita binafsi za makundi fulani ambayo labda yanamtumia Mpina ama kwa yeye mwenyewe kujua au kutojua dhima ya why anatumiwa yeye.

Kingine ambacho ni muhimu zaidi na zaidi ni kwamba Hakuna mahala popote katika sheria ya mikopo, misaada na dhahama za serikali (Government Loans, Guarantees and Grants Act) Waziri analazimika kuwasilisha kila kitu anachokopa mbele ya Bunge.

Mwisho: Hii ni character assassination plan, ambayo inatekelezwa na watu fulani kwa mgongo wa Mpina ili kutafuta a scape goat katika wizi wa mabilioni katika maeneo yao ambayo hata kwa Takwimu za CAG zaidi ya 70% ya pesa za upotevu zipo na zinatokea katika maeneo/Wizara zao. Pia ni harakati fulani zenye chuki binafsi dhidi ya Mwigulu Lameck Nchemba, PhD ambae kuna namna amesaidia ku shape uchumi wa Nchi hii katika namna ambayo hata baadhi ya watu wanaomtuma na watu aina ya Mpina hawaamini at all.

Mwisho nikuambie tu ndugu yetu kijana wa mwingira,
MR CHAUROHO, haya tumekubali wewe ndio Rais wa 2030, anza kushona suti za kidiplomasia, anza kuandika hotuba ya uapisho na ile ya kuzindua bunge, wewe si una mkataba ya mbingu bhana, sawa.
 
UJUMBE WA WOTE WALIOUMIZWA NA TANZANIA KUFIKIA PATO LA TRILLION 200, NA WANAOTESEKA BAADA YA WIZARA YA FEDHA KUKOSA KASHFA KATIKA REPORT YA CAG.

● Ujumbe huu ufike kwa ndugu yetu mroho wa madaraka atambue kwamba Urais anatoa Mungu, sio wa kugombaniwa kwa majungu, akumbuke wote waliowahi kuugombania waliishia kupata visukari na maradhi ya akili baada ya kuukosa.
● Sisi kazi yetu kwasasa ni kumsaidia Jemedari mkuu Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kwako John Marwa na mfadhili wako.

1. Mosi,Mwigulu hausiki na tenda za Wizara ya Uchukuzi, kama ilikaa na ikaidhinisha tenda kwa vigezo wanavyovijua wao, Waziri wa Fedha anaazaje kuhoji? Kazi yake ni kutoa fedha na amefanya hivyo. Mpina unajaribu kuleta uozo wa Wizara ya Uchukuzi katika Wizara ya Fedha kwasababu umetumwa na mroho wa madaraka.

2. Mwigulu hajavunja sheria ya manunuzi, amevunjaje? Kwani yeye ndiye tender board ya TRC? Mnunuzi ni Wizara ya Uchukuzi, Mwigulu kazi yake ni kutoa fedha, na sio kuidhinisha malipo, malipo yalishaidhinishwa na Wizara Husika.

3. kwani, kuna watu wa wizara ya fedha wanashiriki kwenye vikao vya zabuni za Wizara ya Uchukuzi? Hakuna na ndio maana huna ushahidi.

4. Mwigulu hawezi kukopa bila idhini ya Serikali na sheria ya mikopo ya serikali (The Government Loans, Guarantees and Grants Act) iko wazi kabisa kuhusu hili , Waziri ni Mwakilishi tu Rais na Serikali, huwezi kusema Waziri wa Fedha amekwenda kukopa as if anakopa apeleke nyumbani kwake, angesema Serikali imekopa, sio sio Waziri wa Fedha. Hata siku moja, mtu asiseme Waziri fulani amekopa, aiseme Serikali moja kwa moja, otherwise atakuwa ana agenda binafsi na Waziri Mwigulu.

Mwigulu hana mamlaka ya kukopa on his personal capacity na kila mkopo unafuata taratibu za kiserikali za ukopaji ambazo zipo kwa mujibu wa sheria. Unaposema Waziri kakopa na kutumia nje ya bajeti it's something that doesn't make sense. Ile si bajeti ya Mwigulu, ile si mkopo wa Mwigulu ni bajeti ya Nchi na mikopo ya Nchi ambayo Waziri hana uwezo wa kuipata kwa personal capacity yake. Hapa ni masuala tu ya vita binafsi za makundi fulani ambayo labda yanamtumia Mpina ama kwa yeye mwenyewe kujua au kutojua dhima ya why anatumiwa yeye.

Kingine ambacho ni muhimu zaidi na zaidi ni kwamba Hakuna mahala popote katika sheria ya mikopo, misaada na dhahama za serikali (Government Loans, Guarantees and Grants Act) Waziri analazimika kuwasilisha kila kitu anachokopa mbele ya Bunge.

Mwisho: Hii ni character assassination plan, ambayo inatekelezwa na watu fulani kwa mgongo wa Mpina ili kutafuta a scape goat katika wizi wa mabilioni katika maeneo yao ambayo hata kwa Takwimu za CAG zaidi ya 70% ya pesa za upotevu zipo na zinatokea katika maeneo/Wizara zao. Pia ni harakati fulani zenye chuki binafsi dhidi ya Mwigulu Lameck Nchemba, PhD ambae kuna namna amesaidia ku shape uchumi wa Nchi hii katika namna ambayo hata baadhi ya watu wanaomtuma na watu aina ya Mpina hawaamini at all.

Mwisho nikuambie tu ndugu yetu kijana wa mwingira,
MR CHAUROHO, haya tumekubali wewe ndio Rais wa 2030, anza kushona suti za kidiplomasia, anza kuandika hotuba ya uapisho na ile ya kuzindua bunge, wewe si una mkataba ya mbingu bhana, sawa.
Mbona umemtaja Mpina tu mbona wengine hujawataja kama kweli wewe ni mkweli??!!
 
UJUMBE WA WOTE WALIOUMIZWA NA TANZANIA KUFIKIA PATO LA TRILLION 200, NA WANAOTESEKA BAADA YA WIZARA YA FEDHA KUKOSA KASHFA KATIKA REPORT YA CAG.

● Ujumbe huu ufike kwa ndugu yetu mroho wa madaraka atambue kwamba Urais anatoa Mungu, sio wa kugombaniwa kwa majungu, akumbuke wote waliowahi kuugombania waliishia kupata visukari na maradhi ya akili baada ya kuukosa.
● Sisi kazi yetu kwasasa ni kumsaidia Jemedari mkuu Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kwako John Marwa na mfadhili wako.

1. Mosi,Mwigulu hausiki na tenda za Wizara ya Uchukuzi, kama ilikaa na ikaidhinisha tenda kwa vigezo wanavyovijua wao, Waziri wa Fedha anaazaje kuhoji? Kazi yake ni kutoa fedha na amefanya hivyo. Mpina unajaribu kuleta uozo wa Wizara ya Uchukuzi katika Wizara ya Fedha kwasababu umetumwa na mroho wa madaraka.

2. Mwigulu hajavunja sheria ya manunuzi, amevunjaje? Kwani yeye ndiye tender board ya TRC? Mnunuzi ni Wizara ya Uchukuzi, Mwigulu kazi yake ni kutoa fedha, na sio kuidhinisha malipo, malipo yalishaidhinishwa na Wizara Husika.

3. kwani, kuna watu wa wizara ya fedha wanashiriki kwenye vikao vya zabuni za Wizara ya Uchukuzi? Hakuna na ndio maana huna ushahidi.

4. Mwigulu hawezi kukopa bila idhini ya Serikali na sheria ya mikopo ya serikali (The Government Loans, Guarantees and Grants Act) iko wazi kabisa kuhusu hili , Waziri ni Mwakilishi tu Rais na Serikali, huwezi kusema Waziri wa Fedha amekwenda kukopa as if anakopa apeleke nyumbani kwake, angesema Serikali imekopa, sio sio Waziri wa Fedha. Hata siku moja, mtu asiseme Waziri fulani amekopa, aiseme Serikali moja kwa moja, otherwise atakuwa ana agenda binafsi na Waziri Mwigulu.

Mwigulu hana mamlaka ya kukopa on his personal capacity na kila mkopo unafuata taratibu za kiserikali za ukopaji ambazo zipo kwa mujibu wa sheria. Unaposema Waziri kakopa na kutumia nje ya bajeti it's something that doesn't make sense. Ile si bajeti ya Mwigulu, ile si mkopo wa Mwigulu ni bajeti ya Nchi na mikopo ya Nchi ambayo Waziri hana uwezo wa kuipata kwa personal capacity yake. Hapa ni masuala tu ya vita binafsi za makundi fulani ambayo labda yanamtumia Mpina ama kwa yeye mwenyewe kujua au kutojua dhima ya why anatumiwa yeye.

Kingine ambacho ni muhimu zaidi na zaidi ni kwamba Hakuna mahala popote katika sheria ya mikopo, misaada na dhahama za serikali (Government Loans, Guarantees and Grants Act) Waziri analazimika kuwasilisha kila kitu anachokopa mbele ya Bunge.

Mwisho: Hii ni character assassination plan, ambayo inatekelezwa na watu fulani kwa mgongo wa Mpina ili kutafuta a scape goat katika wizi wa mabilioni katika maeneo yao ambayo hata kwa Takwimu za CAG zaidi ya 70% ya pesa za upotevu zipo na zinatokea katika maeneo/Wizara zao. Pia ni harakati fulani zenye chuki binafsi dhidi ya Mwigulu Lameck Nchemba, PhD ambae kuna namna amesaidia ku shape uchumi wa Nchi hii katika namna ambayo hata baadhi ya watu wanaomtuma na watu aina ya Mpina hawaamini at all.

Mwisho nikuambie tu ndugu yetu kijana wa mwingira,
MR CHAUROHO, haya tumekubali wewe ndio Rais wa 2030, anza kushona suti za kidiplomasia, anza kuandika hotuba ya uapisho na ile ya kuzindua bunge, wewe si una mkataba ya mbingu bhana, sawa.
Umeamua kuchochea kuni!! Make siyo kwa kiwango hicho cha utetezi. Umemuharibia sana Mwigulu!! Wewe ni mjinga sana
 
Umemtaja Mpina na umemtaja Mwigulu PhD mbona huyo mwingine hujamtaja ?Hoja Yako inakosa mashiko weka Kila kitu wazi ili tuanze kuhoji

Yaani kama akili huna basi kausha tu maana hata kuhoji utahoji nini sasa hapo ? Nini ambacho hujaelewa na kama Upo nje ya mfumo wa yanayojadiliwa soma comments za wengine
 
UJUMBE WA WOTE WALIOUMIZWA NA TANZANIA KUFIKIA PATO LA TRILLION 200, NA WANAOTESEKA BAADA YA WIZARA YA FEDHA KUKOSA KASHFA KATIKA REPORT YA CAG.

● Ujumbe huu ufike kwa ndugu yetu mroho wa madaraka atambue kwamba Urais anatoa Mungu, sio wa kugombaniwa kwa majungu, akumbuke wote waliowahi kuugombania waliishia kupata visukari na maradhi ya akili baada ya kuukosa.
● Sisi kazi yetu kwasasa ni kumsaidia Jemedari mkuu Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kwako John Marwa na mfadhili wako.

1. Mosi,Mwigulu hausiki na tenda za Wizara ya Uchukuzi, kama ilikaa na ikaidhinisha tenda kwa vigezo wanavyovijua wao, Waziri wa Fedha anaazaje kuhoji? Kazi yake ni kutoa fedha na amefanya hivyo. Mpina unajaribu kuleta uozo wa Wizara ya Uchukuzi katika Wizara ya Fedha kwasababu umetumwa na mroho wa madaraka.

2. Mwigulu hajavunja sheria ya manunuzi, amevunjaje? Kwani yeye ndiye tender board ya TRC? Mnunuzi ni Wizara ya Uchukuzi, Mwigulu kazi yake ni kutoa fedha, na sio kuidhinisha malipo, malipo yalishaidhinishwa na Wizara Husika.

3. kwani, kuna watu wa wizara ya fedha wanashiriki kwenye vikao vya zabuni za Wizara ya Uchukuzi? Hakuna na ndio maana huna ushahidi.

4. Mwigulu hawezi kukopa bila idhini ya Serikali na sheria ya mikopo ya serikali (The Government Loans, Guarantees and Grants Act) iko wazi kabisa kuhusu hili , Waziri ni Mwakilishi tu Rais na Serikali, huwezi kusema Waziri wa Fedha amekwenda kukopa as if anakopa apeleke nyumbani kwake, angesema Serikali imekopa, sio sio Waziri wa Fedha. Hata siku moja, mtu asiseme Waziri fulani amekopa, aiseme Serikali moja kwa moja, otherwise atakuwa ana agenda binafsi na Waziri Mwigulu.

Mwigulu hana mamlaka ya kukopa on his personal capacity na kila mkopo unafuata taratibu za kiserikali za ukopaji ambazo zipo kwa mujibu wa sheria. Unaposema Waziri kakopa na kutumia nje ya bajeti it's something that doesn't make sense. Ile si bajeti ya Mwigulu, ile si mkopo wa Mwigulu ni bajeti ya Nchi na mikopo ya Nchi ambayo Waziri hana uwezo wa kuipata kwa personal capacity yake. Hapa ni masuala tu ya vita binafsi za makundi fulani ambayo labda yanamtumia Mpina ama kwa yeye mwenyewe kujua au kutojua dhima ya why anatumiwa yeye.

Kingine ambacho ni muhimu zaidi na zaidi ni kwamba Hakuna mahala popote katika sheria ya mikopo, misaada na dhahama za serikali (Government Loans, Guarantees and Grants Act) Waziri analazimika kuwasilisha kila kitu anachokopa mbele ya Bunge.

Mwisho: Hii ni character assassination plan, ambayo inatekelezwa na watu fulani kwa mgongo wa Mpina ili kutafuta a scape goat katika wizi wa mabilioni katika maeneo yao ambayo hata kwa Takwimu za CAG zaidi ya 70% ya pesa za upotevu zipo na zinatokea katika maeneo/Wizara zao. Pia ni harakati fulani zenye chuki binafsi dhidi ya Mwigulu Lameck Nchemba, PhD ambae kuna namna amesaidia ku shape uchumi wa Nchi hii katika namna ambayo hata baadhi ya watu wanaomtuma na watu aina ya Mpina hawaamini at all.

Mwisho nikuambie tu ndugu yetu kijana wa mwingira,
MR CHAUROHO, haya tumekubali wewe ndio Rais wa 2030, anza kushona suti za kidiplomasia, anza kuandika hotuba ya uapisho na ile ya kuzindua bunge, wewe si una mkataba ya mbingu bhana, sawa.

Hakika aisee nimesoma imenipa majibu ya maswali yangu maana kwa hali ya kawaida Watanzania ni kwamba huwa tunamchukia mtu anayefanya vizuri kwa kuhofia matarajio yako huko mbeleni hasa ukiwa mroho wa Madaraka kwa kitu ambacho unahisi kinampa credit opponent wako Lakini kumbuka tu kwamba roho mbaya haina mafanikio wala baraka zaidi utaishia kuambulia visukari bure maana unajua fika kwamba unayeshindana naye amekuzidi mambo mengi sana

Pili Viongozi wanazaliwa kama ungesikiliza hotuba ya kanisani juzi ya Mwigulu Nchemba utaelewa fika kwamba huyu mtu ni hatari anajua anachokisema na anajua anachokifanya sio bure aisee jamaa anakipaji sana zaidi anaakili na anajiamini sana na hii ndio inawapa hofu sana kina Njanuary . Jamani tusubiri tusijipe pressure bure kwani Mwigulu akiwa rais wako kuna tatizo gani si utapewa hata ubarozi Malawi huko utambe .

And Kina Mpina ni sukuma Gang na Makambo na ndio wanadhani wanamdhofisha Mwigulu kumbe wanampa airtime nzuri sana wananchi tunapata nafasi kila siku ya kumuona kiongozi mzalendo akiendelea kupiga kazi na hajibu kijinga jinga
 
Umeamua kuchochea kuni!! Make siyo kwa kiwango hicho cha utetezi. Umemuharibia sana Mwigulu!! Wewe ni mjinga sana

Aah wajinga bana ili mradi tu uonekane Upo au sio ukikaa kimya tutasearch username yako sio mpaka u comment pumba kama hiyo
 
UJUMBE WA WOTE WALIOUMIZWA NA TANZANIA KUFIKIA PATO LA TRILLION 200, NA WANAOTESEKA BAADA YA WIZARA YA FEDHA KUKOSA KASHFA KATIKA REPORT YA CAG.

● Ujumbe huu ufike kwa ndugu yetu mroho wa madaraka atambue kwamba Urais anatoa Mungu, sio wa kugombaniwa kwa majungu, akumbuke wote waliowahi kuugombania waliishia kupata visukari na maradhi ya akili baada ya kuukosa.
● Sisi kazi yetu kwasasa ni kumsaidia Jemedari mkuu Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kwako John Marwa na mfadhili wako.

1. Mosi,Mwigulu hausiki na tenda za Wizara ya Uchukuzi, kama ilikaa na ikaidhinisha tenda kwa vigezo wanavyovijua wao, Waziri wa Fedha anaazaje kuhoji? Kazi yake ni kutoa fedha na amefanya hivyo. Mpina unajaribu kuleta uozo wa Wizara ya Uchukuzi katika Wizara ya Fedha kwasababu umetumwa na mroho wa madaraka.

2. Mwigulu hajavunja sheria ya manunuzi, amevunjaje? Kwani yeye ndiye tender board ya TRC? Mnunuzi ni Wizara ya Uchukuzi, Mwigulu kazi yake ni kutoa fedha, na sio kuidhinisha malipo, malipo yalishaidhinishwa na Wizara Husika.

3. kwani, kuna watu wa wizara ya fedha wanashiriki kwenye vikao vya zabuni za Wizara ya Uchukuzi? Hakuna na ndio maana huna ushahidi.

4. Mwigulu hawezi kukopa bila idhini ya Serikali na sheria ya mikopo ya serikali (The Government Loans, Guarantees and Grants Act) iko wazi kabisa kuhusu hili , Waziri ni Mwakilishi tu Rais na Serikali, huwezi kusema Waziri wa Fedha amekwenda kukopa as if anakopa apeleke nyumbani kwake, angesema Serikali imekopa, sio sio Waziri wa Fedha. Hata siku moja, mtu asiseme Waziri fulani amekopa, aiseme Serikali moja kwa moja, otherwise atakuwa ana agenda binafsi na Waziri Mwigulu.

Mwigulu hana mamlaka ya kukopa on his personal capacity na kila mkopo unafuata taratibu za kiserikali za ukopaji ambazo zipo kwa mujibu wa sheria. Unaposema Waziri kakopa na kutumia nje ya bajeti it's something that doesn't make sense. Ile si bajeti ya Mwigulu, ile si mkopo wa Mwigulu ni bajeti ya Nchi na mikopo ya Nchi ambayo Waziri hana uwezo wa kuipata kwa personal capacity yake. Hapa ni masuala tu ya vita binafsi za makundi fulani ambayo labda yanamtumia Mpina ama kwa yeye mwenyewe kujua au kutojua dhima ya why anatumiwa yeye.

Kingine ambacho ni muhimu zaidi na zaidi ni kwamba Hakuna mahala popote katika sheria ya mikopo, misaada na dhahama za serikali (Government Loans, Guarantees and Grants Act) Waziri analazimika kuwasilisha kila kitu anachokopa mbele ya Bunge.

Mwisho: Hii ni character assassination plan, ambayo inatekelezwa na watu fulani kwa mgongo wa Mpina ili kutafuta a scape goat katika wizi wa mabilioni katika maeneo yao ambayo hata kwa Takwimu za CAG zaidi ya 70% ya pesa za upotevu zipo na zinatokea katika maeneo/Wizara zao. Pia ni harakati fulani zenye chuki binafsi dhidi ya Mwigulu Lameck Nchemba, PhD ambae kuna namna amesaidia ku shape uchumi wa Nchi hii katika namna ambayo hata baadhi ya watu wanaomtuma na watu aina ya Mpina hawaamini at all.

Mwisho nikuambie tu ndugu yetu kijana wa mwingira,
MR CHAUROHO, haya tumekubali wewe ndio Rais wa 2030, anza kushona suti za kidiplomasia, anza kuandika hotuba ya uapisho na ile ya kuzindua bunge, wewe si una mkataba ya mbingu bhana, sawa.
Ungeacha na number ya simu Ili , maan sio Kwa uu uchawa
 
Hakika aisee nimesoma imenipa majibu ya maswali yangu maana kwa hali ya kawaida Watanzania ni kwamba huwa tunamchukia mtu anayefanya vizuri kwa kuhofia matarajio yako huko mbeleni hasa ukiwa mroho wa Madaraka kwa kitu ambacho unahisi kinampa credit opponent wako Lakini kumbuka tu kwamba roho mbaya haina mafanikio wala baraka zaidi utaishia kuambulia visukari bure maana unajua fika kwamba unayeshindana naye amekuzidi mambo mengi sana

Pili Viongozi wanazaliwa kama ungesikiliza hotuba ya kanisani juzi ya Mwigulu Nchemba utaelewa fika kwamba huyu mtu ni hatari anajua anachokisema na anajua anachokifanya sio bure aisee jamaa anakipaji sana zaidi anaakili na anajiamini sana na hii ndio inawapa hofu sana kina Njanuary . Jamani tusubiri tusijipe pressure bure kwani Mwigulu akiwa rais wako kuna tatizo gani si utapewa hata ubarozi Malawi huko utambe .

And Kina Mpina ni sukuma Gang na Makambo na ndio wanadhani wanamdhofisha Mwigulu kumbe wanampa airtime nzuri sana wananchi tunapata nafasi kila siku ya kumuona kiongozi mzalendo akiendelea kupiga kazi na hajibu kijinga jinga
Trab trab
 
Back
Top Bottom