johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,940
- 141,915
Waziri wa Tehama na Habari mh Nape Nnauye ameliagiza jeshi la polisi kuchunguza ajali zinazosababishwa na madereva wa magari ya serikali hususani ajali ikiyouwa waandishi 6 mkoani Simiyu.
Naye mkuu wa kikosi cha Usalama barabaranu kamanda Mutafungwa ameahidi kuanza uchunguzi mara moja akianza na ajali za Simiyu na Mtwara.
Source: ITV habari
Naye mkuu wa kikosi cha Usalama barabaranu kamanda Mutafungwa ameahidi kuanza uchunguzi mara moja akianza na ajali za Simiyu na Mtwara.
Source: ITV habari