Libague ambao hawalipi kodi (kama wapo) ndo wasipandeNikimbie moja kwa moja katika hoja husika, nimeona na kusikia Dege la hapa kazi tu limeokoa watu uko Sudani. Je limebagua watu waliokuwa wanatukana?
Cc Pascal Mayalla kwa msaada kama limebagua watu
Mzanziber huyo🤣🤣wao wanaitaga dege aka bombadiaDege ndo nn?
Uko sawa sana nduguJamiiForums mfano mzuri wa nyuzi zinazotakiwa kutupiliwa mbali ni hii apa.
Kwahiyo uko ndio kutukana?.Ficha ujinga wako.Je waliokuwa wanatukana kuwa hakuna haja ya kuwa na ndege zetu?
Kwa hili nichukue nafasi kuipongeza Serikali yangu.Nikimbie moja kwa moja katika hoja husika, nimeona na kusikia Dege la hapa kazi tu limeokoa watu uko Sudani. Je limebagua watu waliokuwa wanatukana?
Cc Pascal Mayalla kwa msaada kama limebagua watu
Moderate Wstu = watu
Taratibu mtaelewa tu maana ya kuwa na ndegezetu wenyewe.JamiiForums mfano mzuri wa nyuzi zinazotakiwa kutupiliwa mbali ni hii apa.
Nikimbie moja kwa moja katika hoja husika, nimeona na kusikia Dege la hapa kazi tu limeokoa watu uko Sudani. Je limebagua watu waliokuwa wanatukana?
Cc Pascal Mayalla kwa msaada kama limebagua watu
Moderate Wstu = watu
Apa/ HapaJamiiForums mfano mzuri wa nyuzi zinazotakiwa kutupiliwa mbali ni hii apa.