Hotuba ya bajeti ya 2022/2023 imetufumbua macho watu wengi jinsi mambo ya hovyo yaliyokuwa yanafanyika serikalini.
Hayati Magufuli na tawala zilizopita walikuwa hawabani kabisa matumizi ya...
Mwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwa mwaka 2022 Mawaziri...
ONGEZEKO LA 23.3% NI KWA WATUMISHI WOTE AU ASILIMIA INASHUKA MSHAHARA UNAVYOPANDA!?
Leo 12:15 hrs 15/05/2023
Tangazo la kuongeza mshahara la Zanzibar,Kenya na Uganda vs tangazo la kuongeza...
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki Jubilei ya Miaka 50 ya Utume na Huduma ya Kanisa la Waadventista wa Sabato leo Tarehe 19 Novemba, 2022 katika Ukumbi wa...
Kukabiliana na hali ngumu na ukali wa maisha napendekeza wafanyakazi wote walio katika mfumo rasmi wa ajira Tanzania walipwe kwa awamu mbili(2) kwa mwezi badala ya moja kama wanavyolipwa sasa...
Wengi waliumizwa vibaya na utawala wa Marehemu Magufuli. Taifa liliumizwa na utawala wa Magufuli:
1) Katiba iliwekwa kapuni
2) Sheria ziliwekwa jalalani
3) Utekaji, upotezaji na mauaji ya watu...
Jana nimeshuhudia ukamataji usio mzuri na hasa kwa watu wa bodaboda wanakimbizana na gari ya maliasili kwenye mitaa ya watu kwa spidi ile ni hatari sana!
Mmoja kagonga trekta sijajua kama...
Salaam Wakuu,
Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?
Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni...
Hawa mawaziri wanaoongoza hizi wizara wana ajenda ya siri ya Kumng’oa Samia. Mama kaa chonjo watakugharimu Urais wako wewe endelea kuwakumbatia, wananchi tunakuangalia kwa jicho la tatu
Katika mazingira halisi Uchaguzi Mkuu wa 2020 walioshindana Majukwaani ni Rais Samia na mgombea Urais wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu
Rais Samia akiwa makamu wa Rais aliwezesha CCM kupata...
Yaani ipo hivi sio kwamba Tanzania ni maskini na sio kwamba kila kiongozi ambaye anaingia madarakani ndo hawezi kuongoza Tz na kuifikisha pale raia watanzania wanapenda na sio Tanzania peke yake...
Wiki hizi mbili status yangu WhatsApp imejazwa na posti za jumbe za heri kwa wafanyakazi, ndugu jamaa na marafiki wakiwatakia heri watu wao wanaogombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya CCM...
This is shame
Mahindi ya Serikali yametawanywa karibia nchi nzima lakini bei yake iko juu kuliko matarajio ya wananchi ambayo yalikuwa ni kuwasaidia kupunguza gharama za maisha lakini sh 900...
Neno CCM masikioni Sasa Ni Kama kinyaa kwangu. Miaka 61 ukiongezea na ya TANU watanzania bado Wana nyimbo zile zile. Ufisadi.....ukupe, elimu duni......walimu wachache....uhaba wa vifaa vya...
Viongozi wengi waliopumzishwa wamekaa kimya huku wakijitaftia mkate wa kila siku kupitia kwenye kilimo na biashara mfano mzuri wapo wakina Lukuvi, Kabudi, Ally Happi, Makonda Mzee Ndugai n.k.wewe...
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi
Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee...
Hakuna asiye jua kuwa kwa sasa kuna shida ya Maji na Umeme kwa baadhi ya maeneo hasa Mkoa wa Dar Es Salaam, tatizo ambalo kwa kiasi kikubwa limechangiwa na upungufu wa mvua ambazo zilitakiwa ziwe...
Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba kuna mgao wa umeme au laaa. Tangu asubuhi huku Msasani hakuna umeme na hakuna taarifa zozote, hiyo haitoshi Jana maji hakuna leo yapo, umeme hakuna. Sasa haya...
Hakuna tena more death threats kama ilivyokuwa kipindi kilichopita tulishuhudia vitisho vingi kuliko wakati wote ule wa vyama vingi vya siasa katika our political history.
Rais Samia ni...
Mhe. Rais wa JMT, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, leo ni takribani unaelekea mwezi wa pili kuisha bila kulipwa posho yao ya mwezi kama mikataba yao inavyoonesha hawa madaktari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.