Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hotuba ya bajeti ya 2022/2023 imetufumbua macho watu wengi jinsi mambo ya hovyo yaliyokuwa yanafanyika serikalini. Hayati Magufuli na tawala zilizopita walikuwa hawabani kabisa matumizi ya...
9 Reactions
22 Replies
2K Views
Mwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan. Kwa mwaka 2022 Mawaziri...
5 Reactions
48 Replies
4K Views
ONGEZEKO LA 23.3% NI KWA WATUMISHI WOTE AU ASILIMIA INASHUKA MSHAHARA UNAVYOPANDA!? Leo 12:15 hrs 15/05/2023 Tangazo la kuongeza mshahara la Zanzibar,Kenya na Uganda vs tangazo la kuongeza...
6 Reactions
22 Replies
7K Views
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki Jubilei ya Miaka 50 ya Utume na Huduma ya Kanisa la Waadventista wa Sabato leo Tarehe 19 Novemba, 2022 katika Ukumbi wa...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Kukabiliana na hali ngumu na ukali wa maisha napendekeza wafanyakazi wote walio katika mfumo rasmi wa ajira Tanzania walipwe kwa awamu mbili(2) kwa mwezi badala ya moja kama wanavyolipwa sasa...
15 Reactions
41 Replies
2K Views
Wengi waliumizwa vibaya na utawala wa Marehemu Magufuli. Taifa liliumizwa na utawala wa Magufuli: 1) Katiba iliwekwa kapuni 2) Sheria ziliwekwa jalalani 3) Utekaji, upotezaji na mauaji ya watu...
23 Reactions
103 Replies
5K Views
Jana nimeshuhudia ukamataji usio mzuri na hasa kwa watu wa bodaboda wanakimbizana na gari ya maliasili kwenye mitaa ya watu kwa spidi ile ni hatari sana! Mmoja kagonga trekta sijajua kama...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Salaam Wakuu, Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli? Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni...
20 Reactions
116 Replies
6K Views
Hawa mawaziri wanaoongoza hizi wizara wana ajenda ya siri ya Kumng’oa Samia. Mama kaa chonjo watakugharimu Urais wako wewe endelea kuwakumbatia, wananchi tunakuangalia kwa jicho la tatu
2 Reactions
7 Replies
583 Views
Katika mazingira halisi Uchaguzi Mkuu wa 2020 walioshindana Majukwaani ni Rais Samia na mgombea Urais wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu Rais Samia akiwa makamu wa Rais aliwezesha CCM kupata...
1 Reactions
6 Replies
740 Views
Yaani ipo hivi sio kwamba Tanzania ni maskini na sio kwamba kila kiongozi ambaye anaingia madarakani ndo hawezi kuongoza Tz na kuifikisha pale raia watanzania wanapenda na sio Tanzania peke yake...
0 Reactions
2 Replies
538 Views
Wiki hizi mbili status yangu WhatsApp imejazwa na posti za jumbe za heri kwa wafanyakazi, ndugu jamaa na marafiki wakiwatakia heri watu wao wanaogombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya CCM...
0 Reactions
3 Replies
381 Views
This is shame Mahindi ya Serikali yametawanywa karibia nchi nzima lakini bei yake iko juu kuliko matarajio ya wananchi ambayo yalikuwa ni kuwasaidia kupunguza gharama za maisha lakini sh 900...
1 Reactions
43 Replies
2K Views
Neno CCM masikioni Sasa Ni Kama kinyaa kwangu. Miaka 61 ukiongezea na ya TANU watanzania bado Wana nyimbo zile zile. Ufisadi.....ukupe, elimu duni......walimu wachache....uhaba wa vifaa vya...
1 Reactions
1 Replies
304 Views
Viongozi wengi waliopumzishwa wamekaa kimya huku wakijitaftia mkate wa kila siku kupitia kwenye kilimo na biashara mfano mzuri wapo wakina Lukuvi, Kabudi, Ally Happi, Makonda Mzee Ndugai n.k.wewe...
15 Reactions
40 Replies
3K Views
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee...
27 Reactions
90 Replies
6K Views
Hakuna asiye jua kuwa kwa sasa kuna shida ya Maji na Umeme kwa baadhi ya maeneo hasa Mkoa wa Dar Es Salaam, tatizo ambalo kwa kiasi kikubwa limechangiwa na upungufu wa mvua ambazo zilitakiwa ziwe...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba kuna mgao wa umeme au laaa. Tangu asubuhi huku Msasani hakuna umeme na hakuna taarifa zozote, hiyo haitoshi Jana maji hakuna leo yapo, umeme hakuna. Sasa haya...
11 Reactions
51 Replies
3K Views
Hakuna tena more death threats kama ilivyokuwa kipindi kilichopita tulishuhudia vitisho vingi kuliko wakati wote ule wa vyama vingi vya siasa katika our political history. Rais Samia ni...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Mhe. Rais wa JMT, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, leo ni takribani unaelekea mwezi wa pili kuisha bila kulipwa posho yao ya mwezi kama mikataba yao inavyoonesha hawa madaktari...
0 Reactions
7 Replies
972 Views
Back
Top Bottom