Rais Samia: Nilipoingia ofisini tu Mufti alinijia na furushi la migogoro ya mali za BAKWATA, ila tatizo wamelitengeneza wenyewe

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,503
2,046
Nilimsikia Rais akihutubia Baraza la Eid alisikika akisema alipoingia madarakani tu Mufti alimjia na lundo la mafaili ya migogoro ya mali za Waislamu.

Akasema kwa bahati mbaya alipochunguza mafaili yale yana utata kwa kuwa wahusika wakubwa wa hizo sintofahamu ni wahusika wenyewe.

Naomba kwa mwenye uelewa mzuri kuhusu hii migogoro ya BAKWATA na wahusika anisaidie kuelewa vizuri ili tuwajue wahujumu wa mali za Waislamu.
 
Nilimsikia Rais akihutubia Baraza la Eid alisikika akisema alipoingia madarakani tu Mufti alimjia na lundo la mafaili ya migogoro ya mali za Waisilamu.

Akasema kwa bahati mbaya nilipochunguza mafaili yale yana utata kwa kuwa wahusika wakubwa wa hizo sintofahamu ni wahusika wenyewe.

Naomba kwa mwenye uelewa mzuri kuhusu hii migogoro ya BAKWATA na wahusika anisaidie kuelewa vizuri ili tuwajue wahujumu wa mali za Waisilamu.
...alipoingu madarakani😳😳😳 akapelekewa 🤔🤔 na lundo😞😞😞lafaili la migogoro...!
 
Nilimsikia Rais akihutubia Baraza la Eid alisikika akisema alipoingia madarakani tu Mufti alimjia na lundo la mafaili ya migogoro ya mali za Waisilamu.

Akasema kwa bahati mbaya nilipochunguza mafaili yale yana utata kwa kuwa wahusika wakubwa wa hizo sintofahamu ni wahusika wenyewe.

Naomba kwa mwenye uelewa mzuri kuhusu hii migogoro ya BAKWATA na wahusika anisaidie kuelewa vizuri ili tuwajue wahujumu wa mali za Waisilamu.
Ni hivi, mali za Bakwata zinauzwa na viongozi waliopo, sasa wanapoingia viongozi wapya wanadai mali hizo zimedhulumiwa.
 
Hiyo ndiyo kazi na malengo ya kuundwa bakwata,palikua na viongozi Wala hawakuwa waislam mule
Yawezekana ilikuwa ni deliberate way kufanya wauze mali ili ushawishi upungue. Baada ya kutaifisha kuonekana kigumu, wengine wakinyang'anywa shule na hospitali wakaachiwa kidogo.

Ila nchi ambazo dini ina utajiri mkubwa huwa utengamano wake unasumbua kama ilivyo Uturuki
 
Back
Top Bottom