Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Vita ya kiuchumi ni mbaya sana alituasa yule Shujaa Magufuli Maji hayatoki je Tatizo ni Ukame tu au Wafanyabiashara wanagombania kwenye source? This is too much kwa Kweli!
1 Reactions
8 Replies
408 Views
Mbaraka Mwinshehe aliimba " WEMA hawana maisha" Waswahili Wana msemo " Tenda WEMA uende usingoje shukrani" Tenzi za Rohoni " Wanyonge wape Nguvu, Poza wauguao na Uongoze vipofu" Shujaa Magufuli...
14 Reactions
73 Replies
3K Views
Viongozi wengi wa ccm hawana hofu yoyote na wanaamini wananchi hawana cha kuwafanya kilichobaki wamebaki kupongezana kwenye makongamano mambo ambayo haya msingi huku watu wakiendelea kuumia...
3 Reactions
10 Replies
687 Views
Chama cha Mapinduzi (CCM) ni chama kinachoshika dola na kinaundwa kuanzia ngazi ya Shina, Tawi, Kata, Wilaya, Mkoa hadi Taifa lakini jambo la kusikitisha sana licha ya Wanachama wake wawili...
4 Reactions
47 Replies
3K Views
1. Kwanini Mbunge alipwe mshahara wa zaidi ya 11,000,000/= kwa mwezi na Mtumishi mwingine wa Serikali alipwe chini ya sh.500,000/? 2. Kwanini Wabunge walipwe posho ya kila kikao zaidi ya...
5 Reactions
9 Replies
730 Views
Waziri wa mambo ya ndani wa Kenya Prof Kindiki ametoa onyo kali sana kwa police wala rushwa hasa Trafiki nchini Kenya. Tanzania tumeshuhudia Mama analalamika eti trafiki wana kula rushwa, fikilia...
0 Reactions
0 Replies
383 Views
Mzee wa miaka 70, Bw.Seif Mwangaeka mkazi wa Kijiji cha Mkurumusi, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, amefariki dunia akiwa kwenye kituo cha kuuzia mbolea ya Ruzuku cha Kigonsera na kusababisha kituo...
0 Reactions
2 Replies
539 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax amepongeza uamuzi wa Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wa kufungua Konseli Kuu (Ubalozi Mdogo)...
0 Reactions
3 Replies
767 Views
Dar es Salaam kuna mgao mkubwa wa maji kwa sababu mto Ruvu umevamiwa na binadamu na kuchepusha maji. Pili maelfu ya mifugo yanayoingizwa kwenye mito kunywa maji yamepunguza kiasi cha maji kwani...
16 Reactions
178 Replies
13K Views
Kila kundi linataka kutumia Jina la "Magufuli" kwa maslahi binafsi. Mpinzani bila kutumia jina la Magufuli,hajaona kama atapata kick ya kisiasa! CCM- Asali nao,ili kuhalalisha upigaji...
9 Reactions
26 Replies
997 Views
Je, umewahi kujiuliza kwa nini Rais Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara kodi za miaka ya nyuma, ambazo ni kodi halali kabisa wanazodaiwa na mamlaka ya kodi? Kumbuka mwezi June Rais Samia...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Lewis E. Gleeck Jr, ni mtumishi wa zamani wa Idara ya Mambo ya Nje, Marekani. Baada ya kustaafu, akiwa amelitumikia taifa lake kwenye nchi mbalimbali duniani, aliweka makazi yake Ufilipino...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Huwezi kupata Katiba Mpya bila ya Kuwa na movement (Vuguvugu) sahihi na hiyo hufanywa na Vijana wenye fikra Huru Alichofanikiwa Nyerere na ambacho Wapinzani wamerithi pia ni kuzikamata fikra za...
1 Reactions
3 Replies
445 Views
Serikali naipongeza kwa hili, aendelee kuitwa na kupongezwa kila kona. Arudi tena bungeni kupongezwa. Afanyiwe HBD. Huu ni muda wa kupongeza sio muda wa kuchukua hatua za kudhibiti majanga...
12 Reactions
33 Replies
2K Views
Mradi wa Maji Kigamboni waendela kuleta ahueni. Tangu kuzinduliwa kwa mradi wa maji Kigamboni maeneo mablimbali ambayo hapo awali yalitegemea maji kwa mgawo tangu kutokea ukame mwezi Oktoba,2022...
0 Reactions
14 Replies
986 Views
Ndugu habari zenu, Suala la maji safi limekua mtihani hapa Dsm cha ajabu tuna maziwa makubwa tumebarikiwa. Hali ni mbaya sana wananchi wanateseka sana. Juzi nilikua mitaa ya wazo kisanga road...
5 Reactions
106 Replies
6K Views
Pamoja na yote lakini Mzee Lowassa alikuwa anaona mbali sana ( visionary) Kama siyo vikwazo alivyokuwa anawekewa Leo tusingeshinda visimani tukihemea Maji Mlale unono
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Nadhani ni kwenye awamu ya nne ya JK, mitambo ya kuzalisha MW 80 ilisimikwa huko Nyakato Mwanza ya kutumia mafuta ya dizeli kwa gharama ya mabilioni mengi ya pesa. Mahitaji ya umeme ya jiji la...
0 Reactions
2 Replies
791 Views
Hata mimi niliamini bila Seleman Methew hakuna Chadema kusini kumbe nilikosea sana Bado nafuatilia ziara ya Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika halafu nitafanya tathmini Ila kitendo cha...
10 Reactions
51 Replies
4K Views
Naona Mbowe asali aliyopewa ilikuwa ya kuonjeshwa haijamtidhisha ameanza chokochoko za Kizee ili apewe asali nyingine tena lkn mimi namshauri Samia aendelee kumpa asali ya kuonja ili awe mvumilivu...
1 Reactions
0 Replies
457 Views
Back
Top Bottom