Vita ya kiuchumi ni mbaya sana alituasa yule Shujaa Magufuli
Maji hayatoki je Tatizo ni Ukame tu au Wafanyabiashara wanagombania kwenye source?
This is too much kwa Kweli!
Viongozi wengi wa ccm hawana hofu yoyote na wanaamini wananchi hawana cha kuwafanya kilichobaki wamebaki kupongezana kwenye makongamano mambo ambayo haya msingi huku watu wakiendelea kuumia...
Chama cha Mapinduzi (CCM) ni chama kinachoshika dola na kinaundwa kuanzia ngazi ya Shina, Tawi, Kata, Wilaya, Mkoa hadi Taifa lakini jambo la kusikitisha sana licha ya Wanachama wake wawili...
1. Kwanini Mbunge alipwe mshahara wa zaidi ya 11,000,000/= kwa mwezi na Mtumishi mwingine wa Serikali alipwe chini ya sh.500,000/?
2. Kwanini Wabunge walipwe posho ya kila kikao zaidi ya...
Waziri wa mambo ya ndani wa Kenya Prof Kindiki ametoa onyo kali sana kwa police wala rushwa hasa Trafiki nchini Kenya.
Tanzania tumeshuhudia Mama analalamika eti trafiki wana kula rushwa, fikilia...
Mzee wa miaka 70, Bw.Seif Mwangaeka mkazi wa Kijiji cha Mkurumusi, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, amefariki dunia akiwa kwenye kituo cha kuuzia mbolea ya Ruzuku cha Kigonsera na kusababisha kituo...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax amepongeza uamuzi wa Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wa kufungua Konseli Kuu (Ubalozi Mdogo)...
Dar es Salaam kuna mgao mkubwa wa maji kwa sababu mto Ruvu umevamiwa na binadamu na kuchepusha maji.
Pili maelfu ya mifugo yanayoingizwa kwenye mito kunywa maji yamepunguza kiasi cha maji kwani...
Kila kundi linataka kutumia Jina la "Magufuli" kwa maslahi binafsi.
Mpinzani bila kutumia jina la Magufuli,hajaona kama atapata kick ya kisiasa!
CCM- Asali nao,ili kuhalalisha upigaji...
Je, umewahi kujiuliza kwa nini Rais Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara kodi za miaka ya nyuma, ambazo ni kodi halali kabisa wanazodaiwa na mamlaka ya kodi? Kumbuka mwezi June Rais Samia...
Lewis E. Gleeck Jr, ni mtumishi wa zamani wa Idara ya Mambo ya Nje, Marekani. Baada ya kustaafu, akiwa amelitumikia taifa lake kwenye nchi mbalimbali duniani, aliweka makazi yake Ufilipino...
Huwezi kupata Katiba Mpya bila ya Kuwa na movement (Vuguvugu) sahihi na hiyo hufanywa na Vijana wenye fikra Huru
Alichofanikiwa Nyerere na ambacho Wapinzani wamerithi pia ni kuzikamata fikra za...
Serikali naipongeza kwa hili, aendelee kuitwa na kupongezwa kila kona. Arudi tena bungeni kupongezwa. Afanyiwe HBD.
Huu ni muda wa kupongeza sio muda wa kuchukua hatua za kudhibiti majanga...
Mradi wa Maji Kigamboni waendela kuleta ahueni.
Tangu kuzinduliwa kwa mradi wa maji Kigamboni maeneo mablimbali ambayo hapo awali yalitegemea maji kwa mgawo tangu kutokea ukame mwezi Oktoba,2022...
Ndugu habari zenu,
Suala la maji safi limekua mtihani hapa Dsm cha ajabu tuna maziwa makubwa tumebarikiwa. Hali ni mbaya sana wananchi wanateseka sana.
Juzi nilikua mitaa ya wazo kisanga road...
Pamoja na yote lakini Mzee Lowassa alikuwa anaona mbali sana ( visionary)
Kama siyo vikwazo alivyokuwa anawekewa Leo tusingeshinda visimani tukihemea Maji
Mlale unono
Nadhani ni kwenye awamu ya nne ya JK, mitambo ya kuzalisha MW 80 ilisimikwa huko Nyakato Mwanza ya kutumia mafuta ya dizeli kwa gharama ya mabilioni mengi ya pesa. Mahitaji ya umeme ya jiji la...
Hata mimi niliamini bila Seleman Methew hakuna Chadema kusini kumbe nilikosea sana
Bado nafuatilia ziara ya Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika halafu nitafanya tathmini
Ila kitendo cha...
Naona Mbowe asali aliyopewa ilikuwa ya kuonjeshwa haijamtidhisha ameanza chokochoko za Kizee ili apewe asali nyingine tena lkn mimi namshauri Samia aendelee kumpa asali ya kuonja ili awe mvumilivu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.