Viongozi Wetu Tuhurumieni

Viongozi Wetu Tuhurumieni

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,785
Reaction score
4,875
Habari ndugu zangu.
Nawasalimu kwa upendo wa dhati toka ndani ya moyo wangu.
Nawapenda sana.
Aidha baada ya salamu hizo, naomba niende kwenye mada tajwa hapo juu.

Ni ukweli mchungu kwamba viongozi wetu hawana huruma na sisi.

Hili linajidhihirisha katika mambo mengi.

Yafuatayo ni baadhi ya mambo yanayoonesha viongozi wetu hawana huruma na sisi hata kidogo;

1. Mfumko wa bei.
Ni jambo la kusikitisha kwamba mfumko wa bei uko katika vilele vyake sasa. Ndani ya miaka miwili, mfumko wa bei umekuwa ukiongezeka kwa kasi ya kimbunga "Fred". Na jambo la kusikitisha sana ni kwamba viongozi wetu mnaonekana kutojihusisha zaidi ya kusingizia vita ya Ukraine na changamoto za Corona. Utafikiri sisi ndo tuko vitani uko Ukraine! Yaani tuko na hali mbaya zaidi kuliko Wa-Ukraine wenyewe wanaopigana! Cha kusikitisha wanaoonekana kuumizwa zaidi na huu mfumko wa bei ni watu wa Tabaka la chini. Wale wanaoishi chini ya dola moja. Yaani kwa hali ya sasa vitu vinapanda bei kila saa. Ukitoka gengeni kununua nyanya za 300, saa 2 asubuhi, saa 3 asubuhi ukirudi tena kuulizia bei utakuta zinauzwa 500! Sasa hivi ni ngumu sana kupata ndizi ya 200. Nyingi zinaanzia 250 hadi 300. Awali tulizoea ukiwa na 200 yako unapata fungu moja la mchicha au sukumawiki, lakini leo hii bila 500 hupati mboga za majani!

2. Tozo.
Mpaka leo bado sijaelewa mantiki ya haya matozo yasiyo na kichwa wala miguu kwenye miamala ya simu. Hivi kweli mnashindwa kusimamia vizuri mapato ya pale bandarini, kodi za wafanyakazi, Kodi za wafanyabiashara, kodi tunalipa kila tukinunua bidhaa kwa jina la VAT, madini n.k.

3. Matumizi yasiyo ya lazima ya serikali.
Eti tunajiita nchi maskini, halafu wskurugenzi tu wa halmashauri wanatembelea magari ya mamilioni, mawaziri wanaishi kwa ufahari kama wako peponi n.k.

4. Kauli za kukatisha tamaa za baadhi ya viongozi.
-eti kuleni kwa urefu wa kamba..
- kodi ya mafuta, iongezwe...
-gharama za simu na bando ziongezwe..
-wale ambao hamtaki, muhamie Burundi n.k

5. Kukopa kulikopitiliza.
Kila siku tunasikia deni la Taifa linaongezeka kwa kasi kuliko miradi ya maendeleo inayodaiwa kwamba fedha hizo zinazokopwa ni kwa ajili ya miradi hiyo.

6. Baadhi ya mawaziri wanaolalamikiwa na raia kwa utendaji mbovu, bado wanatamba na kujidai.

7. Kukatika katika kwa umeme.
Baadhi ya Watanzania wanategemea umeme kama sehemu yao ya kujiingizia kipato. Lakini cha ajabu kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na katika katika ya umeme. Kila siku Watanzania wa watu maskini wanalalamika, lakini ni kana kwamba serikali yao imeziba masikio. Haisikii chochote. Macho yote yako kwenye namna ya kuzidi kulamba asali milele!

8. Kutowakanya baadhi ya watu wanaomtukana na kumsema vibaya kipenzi cha Watanzania walio wengi; Hayati JPM.
Hakuna Mtanzania anayejitambua, asiyethamini mchango mkubwa uliotolewa na Hayati JPM kwa nchi hii ya Tanzania.
Hivyo, maskini hawa Watanzania walio wengi kila wakisikia shujaa wao, anasemwa vibaya na baadhi ya viongozi, basi wanajisikia vibaya na kunyong'onyea..
Tafadhali sana, tunatamani kuona hawa watu wakionywa tu hata kwa maneno, kuliko kuendelea kuwaacha tu hivi hivi..

Mwisho kabisa nimalizie kwa kwa kuwaonya viongozi wangu kwamba jueni vyeo mlivyo navyo sasa hivi ni dhamana ambayo ina muda wake. Hivyo kuweni wanyenyekevu kwa mnaowangoza. Wapendeni raia wenu. Wahurumieni. Jitahidini kubuni namna za kuwapunguzia mizigo badala ya kuwaza namna ya kuwatwika watu wenu mizigo.
Jisikieni vibaya kuona watu walio wengi wanawalalamikia kila siku.
Kumbukeni malipo ni hapa hapa duniani.
Tupo tunawaangalia sana kwa umakini.
Tunapima kauli zenu na matendo yenu.

Nimalizizie kwa kuwaomba msikilize wimbo wa Roma Mkatoliki, na muufanyie kazi..

Chaika Chakaya bhamula!
 
Habari ndugu zangu.
Nawasalimu kwa upendo wa dhati toka ndani ya moyo wangu.
Nawapenda sana.
Aidha baada ya salamu hizo, naomba niende kwenye mada tajwa hapo juu.

Ni ukweli mchungu kwamba viongozi wetu hawana huruma na sisi.

Hili linajidhihirisha katika mambo mengi.

Yafuatayo ni baadhi ya mambo yanayoonesha viongozi wetu hawana huruma na sisi hata kidogo;

1. Mfumko wa bei.
Ni jambo la kusikitisha kwamba mfumko wa bei uko katika vilele vyake sasa. Ndani ya miaka miwili, mfumko wa bei umekuwa ukiongezeka kwa kasi ya kimbunga "Fred". Na jambo la kusikitisha sana ni kwamba viongozi wetu mnaonekana kutojihusisha zaidi ya kusingizia vita ya Ukraine na changamoto za Corona. Utafikiri sisi ndo tuko vitani uko Ukraine! Yaani tuko na hali mbaya zaidi kuliko Wa-Ukraine wenyewe wanaopigana! Cha kusikitisha wanaoonekana kuumizwa zaidi na huu mfumko wa bei ni watu wa Tabaka la chini. Wale wanaoishi chini ya dola moja. Yaani kwa hali ya sasa vitu vinapanda bei kila saa. Ukitoka gengeni kununua nyanya za 300, saa 2 asubuhi, saa 3 asubuhi ukirudi tena kuulizia bei utakuta zinauzwa 500! Sasa hivi ni ngumu sana kupata ndizi ya 200. Nyingi zinaanzia 250 hadi 300. Awali tulizoea ukiwa na 200 yako unapata fungu moja la mchicha au sukumawiki, lakini leo hii bila 500 hupati mboga za majani!

2. Tozo.
Mpaka leo bado sijaelewa mantiki ya haya matozo yasiyo na kichwa wala miguu kwenye miamala ya simu. Hivi kweli mnashindwa kusimamia vizuri mapato ya pale bandarini, kodi za wafanyakazi, Kodi za wafanyabiashara, kodi tunalipa kila tukinunua bidhaa kwa jina la VAT, madini n.k.

3. Matumizi yasiyo ya lazima ya serikali.
Eti tunajiita nchi maskini, halafu wskurugenzi tu wa halmashauri wanatembelea magari ya mamilioni, mawaziri wanaishi kwa ufahari kama wako peponi n.k.

4. Kauli za kukatisha tamaa za baadhi ya viongozi.
-eti kuleni kwa urefu wa kamba..
- kodi ya mafuta, iongezwe...
-gharama za simu na bando ziongezwe..
-wale ambao hamtaki, muhamie Burundi n.k

5. Kukopa kulikopitiliza.
Kila siku tunasikia deni la Taifa linaongezeka kwa kasi kuliko miradi ya maendeleo inayodaiwa kwamba fedha hizo zinazokopwa ni kwa ajili ya miradi hiyo.

6. Baadhi ya mawaziri wanaolalamikiwa na raia kwa utendaji mbovu, bado wanatamba na kujidai.

7. Kukatika katika kwa umeme.
Baadhi ya Watanzania wanategemea umeme kama sehemu yao ya kujiingizia kipato. Lakini cha ajabu kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na katika katika ya umeme. Kila siku Watanzania wa watu maskini wanalalamika, lakini ni kana kwamba serikali yao imeziba masikio. Haisikii chochote. Macho yote yako kwenye namna ya kuzidi kulamba asali milele!

8. Kutowakanya baadhi ya watu wanaomtukana na kumsema vibaya kipenzi cha Watanzania walio wengi; Hayati JPM.
Hakuna Mtanzania anayejitambua, asiyethamini mchango mkubwa uliotolewa na Hayati JPM kwa nchi hii ya Tanzania.
Hivyo, maskini hawa Watanzania walio wengi kila wakisikia shujaa wao, anasemwa vibaya na baadhi ya viongozi, basi wanajisikia vibaya na kunyong'onyea..
Tafadhali sana, tunatamani kuona hawa watu wakionywa tu hata kwa maneno, kuliko kuendelea kuwaacha tu hivi hivi..

Mwisho kabisa nimalizie kwa kwa kuwaonya viongozi wangu kwamba jueni vyeo mlivyo navyo sasa hivi ni dhamana ambayo ina muda wake. Hivyo kuweni wanyenyekevu kwa mnaowangoza. Wapendeni raia wenu. Wahurumieni. Jitahidini kubuni namna za kuwapunguzia mizigo badala ya kuwaza namna ya kuwatwika watu wenu mizigo.
Jisikieni vibaya kuona watu walio wengi wanawalalamikia kila siku.
Kumbukeni malipo ni hapa hapa duniani.
Tupo tunawaangalia sana kwa umakini.
Tunapima kauli zenu na matendo yenu.

Nimalizizie kwa kuwaomba msikilize wimbo wa Roma Mkatoliki, na muufanyie kazi..

Chaika Chakaya bhamula!
Tuiondoe CCM tuwe huru watanzania! Thank
 
Aisee wanyonge mnatakiwa kupambana. Maana kwa sasa hakuna mtetezi, hata wa kuzuga tu. Kiufupi nchi imerudi mikononi mwa wenyewe.
 
Aisee wanyonge mnatakiwa kupambana. Maana kwa sasa hakuna mtetezi, hata wa kuzuga tu. Kiufupi nchi imerudi mikononi mwa wenyewe.
Mkuu tusaidie kutusemeaa hata kama unalamba asali na kunywa maziwa.
Tuhurumie kama alivyotuhurumia Roma Mkatoliki.
Maana huko aliko, sidhani kama ana shida kama alizokuwa nazo akiwa huku. Lakini bado anatukumbuka ndugu zake.
 
Kauli za kukatisha tamaa za baadhi ya viongozi.
-eti kuleni kwa urefu wa kamba..
- kodi ya mafuta, iongezwe...
-gharama za simu na bando ziongezwe..
-wale ambao hamtaki, muhamie Burundi n.k
Hapa umesahau ile kauli ya tafuta hela hii ni maarufu sana na inakeraaa! Anaipenda sana yule waziri wa kutoka lindi huko vijijini. Na ile kauli ya vijana wajiajiri ili hali wao wengi ni wazee+60yrs bado wanajilipa mshahara wa serikali!
 
Mkuu tusaidie kutusemeaa hata kama unalamba asali na kunywa maziwa.
Tuhurumie kama alivyotuhurumia Roma Mkatoliki.
Maana huko aliko, sidhani kama ana shida kama alizokuwa nazo akiwa huku. Lakini bado anatukumbuka ndugu zake.
Mkurugenzi najitahidi sana kupiga makelele humu, lakini kwa sasa hali inakatisha tamaa.

Hebu fikiria mama ananunua magoli ya Yanga na simba kwa milioni 10, huku vijana kibao wakitaabika mtaani kwa kukosa ajira. Hizo hela za kuchezea kama zipo nyingi, si bora angewakopesha tu bila ya riba!
 
Mkurugenzi najitahidi sana kupiga makelele humu, lakini kwa sasa hali inakatisha tamaa.

Hebu fikiria mama ananunua magoli ya Yanga na simba kwa milioni 10, huku vijana kibao wakitaabika mtaani kwa kukosa ajira. Hizo hela za kuchezea kama zipo nyingi, si bora angewakopesha tu bila ya riba!
Acha kabisa ndugu yangu..
Niliumia pia pale tulipopeleka mamilioni Uturuki badala ya kupeleka wataalamu kama walivyofanya wenzetu Burundi!
Bora ile tuliyowasaidia Wamalawi unga na mahindi, maana wenzetu ni maskini kutuliko.
Hata katika familia tu, watoto watakushangaa kama kila siku wanashinda njaa, halafu wewe uchukue fedha ukawasaidie majirani ambao kula kwao wala hata siyo shida.
Hata Misahafu inasema, wale wasiowajali wa kwao, ni wabaya zaidi kuliko.....
Yaani mtu unashindwa kabisa kuwahurumia watoto wako, unawahurumia watoto wa majirani zako!!
 
JPM alisema mtamkumbuka...alimaanisha hv... ni viongozi wachache sana wenye uthubutu km yeye....maendeleo ya kiuchumi ni vita...sasa hv mtasaga meno mpaka muombe poo..hakuna ambae yuko tayari kurisk maisha yake kwa ajili ya mtanzania wa kawaida...
 
Habari ndugu zangu.
Nawasalimu kwa upendo wa dhati toka ndani ya moyo wangu.
Nawapenda sana.
Aidha baada ya salamu hizo, naomba niende kwenye mada tajwa hapo juu.

Ni ukweli mchungu kwamba viongozi wetu hawana huruma na sisi.

Hili linajidhihirisha katika mambo mengi.

Yafuatayo ni baadhi ya mambo yanayoonesha viongozi wetu hawana huruma na sisi hata kidogo;

1. Mfumko wa bei.
Ni jambo la kusikitisha kwamba mfumko wa bei uko katika vilele vyake sasa. Ndani ya miaka miwili, mfumko wa bei umekuwa ukiongezeka kwa kasi ya kimbunga "Fred". Na jambo la kusikitisha sana ni kwamba viongozi wetu mnaonekana kutojihusisha zaidi ya kusingizia vita ya Ukraine na changamoto za Corona. Utafikiri sisi ndo tuko vitani uko Ukraine! Yaani tuko na hali mbaya zaidi kuliko Wa-Ukraine wenyewe wanaopigana! Cha kusikitisha wanaoonekana kuumizwa zaidi na huu mfumko wa bei ni watu wa Tabaka la chini. Wale wanaoishi chini ya dola moja. Yaani kwa hali ya sasa vitu vinapanda bei kila saa. Ukitoka gengeni kununua nyanya za 300, saa 2 asubuhi, saa 3 asubuhi ukirudi tena kuulizia bei utakuta zinauzwa 500! Sasa hivi ni ngumu sana kupata ndizi ya 200. Nyingi zinaanzia 250 hadi 300. Awali tulizoea ukiwa na 200 yako unapata fungu moja la mchicha au sukumawiki, lakini leo hii bila 500 hupati mboga za majani!

2. Tozo.
Mpaka leo bado sijaelewa mantiki ya haya matozo yasiyo na kichwa wala miguu kwenye miamala ya simu. Hivi kweli mnashindwa kusimamia vizuri mapato ya pale bandarini, kodi za wafanyakazi, Kodi za wafanyabiashara, kodi tunalipa kila tukinunua bidhaa kwa jina la VAT, madini n.k.

3. Matumizi yasiyo ya lazima ya serikali.
Eti tunajiita nchi maskini, halafu wskurugenzi tu wa halmashauri wanatembelea magari ya mamilioni, mawaziri wanaishi kwa ufahari kama wako peponi n.k.

4. Kauli za kukatisha tamaa za baadhi ya viongozi.
-eti kuleni kwa urefu wa kamba..
- kodi ya mafuta, iongezwe...
-gharama za simu na bando ziongezwe..
-wale ambao hamtaki, muhamie Burundi n.k

5. Kukopa kulikopitiliza.
Kila siku tunasikia deni la Taifa linaongezeka kwa kasi kuliko miradi ya maendeleo inayodaiwa kwamba fedha hizo zinazokopwa ni kwa ajili ya miradi hiyo.

6. Baadhi ya mawaziri wanaolalamikiwa na raia kwa utendaji mbovu, bado wanatamba na kujidai.

7. Kukatika katika kwa umeme.
Baadhi ya Watanzania wanategemea umeme kama sehemu yao ya kujiingizia kipato. Lakini cha ajabu kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na katika katika ya umeme. Kila siku Watanzania wa watu maskini wanalalamika, lakini ni kana kwamba serikali yao imeziba masikio. Haisikii chochote. Macho yote yako kwenye namna ya kuzidi kulamba asali milele!

8. Kutowakanya baadhi ya watu wanaomtukana na kumsema vibaya kipenzi cha Watanzania walio wengi; Hayati JPM.
Hakuna Mtanzania anayejitambua, asiyethamini mchango mkubwa uliotolewa na Hayati JPM kwa nchi hii ya Tanzania.
Hivyo, maskini hawa Watanzania walio wengi kila wakisikia shujaa wao, anasemwa vibaya na baadhi ya viongozi, basi wanajisikia vibaya na kunyong'onyea..
Tafadhali sana, tunatamani kuona hawa watu wakionywa tu hata kwa maneno, kuliko kuendelea kuwaacha tu hivi hivi..

Mwisho kabisa nimalizie kwa kwa kuwaonya viongozi wangu kwamba jueni vyeo mlivyo navyo sasa hivi ni dhamana ambayo ina muda wake. Hivyo kuweni wanyenyekevu kwa mnaowangoza. Wapendeni raia wenu. Wahurumieni. Jitahidini kubuni namna za kuwapunguzia mizigo badala ya kuwaza namna ya kuwatwika watu wenu mizigo.
Jisikieni vibaya kuona watu walio wengi wanawalalamikia kila siku.
Kumbukeni malipo ni hapa hapa duniani.
Tupo tunawaangalia sana kwa umakini.
Tunapima kauli zenu na matendo yenu.

Nimalizizie kwa kuwaomba msikilize wimbo wa Roma Mkatoliki, na muufanyie kazi..

Chaika Chakaya bhamula!
Wao wanasema mama anafanya kazi nzuri .ukiangalia hiyo kazi nzuri ni ipo hawawezi kukuonyesha
 
Wakiwa wanatusalimia "Jamhuri ya Muunganooo!!!"... Sisi tuwe tunawajibu "Wizii uendeleee!!!"
 
Habari ndugu zangu.
Nawasalimu kwa upendo wa dhati toka ndani ya moyo wangu.
Nawapenda sana.
Aidha baada ya salamu hizo, naomba niende kwenye mada tajwa hapo juu.

Ni ukweli mchungu kwamba viongozi wetu hawana huruma na sisi.

Hili linajidhihirisha katika mambo mengi.

Yafuatayo ni baadhi ya mambo yanayoonesha viongozi wetu hawana huruma na sisi hata kidogo;

1. Mfumko wa bei.
Ni jambo la kusikitisha kwamba mfumko wa bei uko katika vilele vyake sasa. Ndani ya miaka miwili, mfumko wa bei umekuwa ukiongezeka kwa kasi ya kimbunga "Fred". Na jambo la kusikitisha sana ni kwamba viongozi wetu mnaonekana kutojihusisha zaidi ya kusingizia vita ya Ukraine na changamoto za Corona. Utafikiri sisi ndo tuko vitani uko Ukraine! Yaani tuko na hali mbaya zaidi kuliko Wa-Ukraine wenyewe wanaopigana! Cha kusikitisha wanaoonekana kuumizwa zaidi na huu mfumko wa bei ni watu wa Tabaka la chini. Wale wanaoishi chini ya dola moja. Yaani kwa hali ya sasa vitu vinapanda bei kila saa. Ukitoka gengeni kununua nyanya za 300, saa 2 asubuhi, saa 3 asubuhi ukirudi tena kuulizia bei utakuta zinauzwa 500! Sasa hivi ni ngumu sana kupata ndizi ya 200. Nyingi zinaanzia 250 hadi 300. Awali tulizoea ukiwa na 200 yako unapata fungu moja la mchicha au sukumawiki, lakini leo hii bila 500 hupati mboga za majani!

2. Tozo.
Mpaka leo bado sijaelewa mantiki ya haya matozo yasiyo na kichwa wala miguu kwenye miamala ya simu. Hivi kweli mnashindwa kusimamia vizuri mapato ya pale bandarini, kodi za wafanyakazi, Kodi za wafanyabiashara, kodi tunalipa kila tukinunua bidhaa kwa jina la VAT, madini n.k.

3. Matumizi yasiyo ya lazima ya serikali.
Eti tunajiita nchi maskini, halafu wskurugenzi tu wa halmashauri wanatembelea magari ya mamilioni, mawaziri wanaishi kwa ufahari kama wako peponi n.k.

4. Kauli za kukatisha tamaa za baadhi ya viongozi.
-eti kuleni kwa urefu wa kamba..
- kodi ya mafuta, iongezwe...
-gharama za simu na bando ziongezwe..
-wale ambao hamtaki, muhamie Burundi n.k

5. Kukopa kulikopitiliza.
Kila siku tunasikia deni la Taifa linaongezeka kwa kasi kuliko miradi ya maendeleo inayodaiwa kwamba fedha hizo zinazokopwa ni kwa ajili ya miradi hiyo.

6. Baadhi ya mawaziri wanaolalamikiwa na raia kwa utendaji mbovu, bado wanatamba na kujidai.

7. Kukatika katika kwa umeme.
Baadhi ya Watanzania wanategemea umeme kama sehemu yao ya kujiingizia kipato. Lakini cha ajabu kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na katika katika ya umeme. Kila siku Watanzania wa watu maskini wanalalamika, lakini ni kana kwamba serikali yao imeziba masikio. Haisikii chochote. Macho yote yako kwenye namna ya kuzidi kulamba asali milele!

8. Kutowakanya baadhi ya watu wanaomtukana na kumsema vibaya kipenzi cha Watanzania walio wengi; Hayati JPM.
Hakuna Mtanzania anayejitambua, asiyethamini mchango mkubwa uliotolewa na Hayati JPM kwa nchi hii ya Tanzania.
Hivyo, maskini hawa Watanzania walio wengi kila wakisikia shujaa wao, anasemwa vibaya na baadhi ya viongozi, basi wanajisikia vibaya na kunyong'onyea..
Tafadhali sana, tunatamani kuona hawa watu wakionywa tu hata kwa maneno, kuliko kuendelea kuwaacha tu hivi hivi..

Mwisho kabisa nimalizie kwa kwa kuwaonya viongozi wangu kwamba jueni vyeo mlivyo navyo sasa hivi ni dhamana ambayo ina muda wake. Hivyo kuweni wanyenyekevu kwa mnaowangoza. Wapendeni raia wenu. Wahurumieni. Jitahidini kubuni namna za kuwapunguzia mizigo badala ya kuwaza namna ya kuwatwika watu wenu mizigo.
Jisikieni vibaya kuona watu walio wengi wanawalalamikia kila siku.
Kumbukeni malipo ni hapa hapa duniani.
Tupo tunawaangalia sana kwa umakini.
Tunapima kauli zenu na matendo yenu.

Nimalizizie kwa kuwaomba msikilize wimbo wa Roma Mkatoliki, na muufanyie kazi..

Chaika Chakaya bhamula!

Ndio wakaya mulah!
 
Wanampamba kwamba mama anaupiga mwingi kumbe wanatuibia na kutukandamiza..[emoji21]

Wao hawajali kuhusu mfumuko wa bei kwa sababu wanamudu bei za bidhaa kutokan na mishaara wanayoipat na fedha wanazoziiba bila aibu kwa wananchi..

Ndo maan tunamkumbuk san JPM..na ndy najua faida ya udikteta wak kwa sabab tunaona upole wa mama unalitia taifa hasara na aibu kutokan na wizi uliokithir unaofanyw na viongoz walio chin yake...ukitazam ripot ya CAG ni aibu kwa serikal ya awamu ya sita.

#MAMA SHTUKAAA!!!
 
Kabisa Mkuu.
Changamoto ni yupi mbadala wa CCM?!
Mimi sioni hiyo changamoto hata kidogo. Unajua hata ukimpatia mtu binafsi hii nchi sasa hivi ukamwambia unda chama na serikali mbona wapo watu wazuri wenye uwezo na nia njema? Chadema wanafaa na zaidi.
 
Mimi sioni hiyo changamoto hata kidogo. Unajua hata ukimpatia mtu binafsi hii nchi sasa hivi ukamwambia unda chama na serikali mbona wapo watu wazuri wenye uwezo na nia njema? Chadema wanafaa na zaidi.
Chadema hii ya walamba asali?
Uko serious kweli Mkuu?!
Bora tuliache tu zimwi litujualo liendelee kutula taratibu, kuliko kulijaribu zimwi jipya ambalo hatujui lina njaa kiasi gani!
 
Chadema hii ya walamba asali?
Uko serious kweli Mkuu?!
Bora tuliache tu zimwi litujualo liendelee kutula taratibu, kuliko kulijaribu zimwi jipya ambalo hatujui lina njaa kiasi gani!
Ndio akili mgando za watanzania hizo.
 
Watuhurumie jamani maana maisha yamekuwa magumu sanaaa.

Leo hii mimi nalala njaa hapa kwa sababu ya hali kuwa ngumu.


Eeee Mungu tusaidie.
 
Back
Top Bottom