Kabudi: Tanzania imeweka historia, ndio nchi ya kwanza Afrika kusaini mkataba wa hisa isiyofifishwa

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,503
2,980
Leo hii Jumatatu April 17 2023 Serikali imesaini mikataba na kampuni tatu za madini za Australi zinazohusisha uendeshaji wa uchimbaji wa Madini ya Kinywe (GRAPHITE) na madini adimu (RARE EARTH ELEMENTS) katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma na kushuhudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Moja kati ya mengi niliyoyanasa ni hili alilolisema Prof Palamagamna Aidan Mwaluko Kabudi, Mwenyekiti Timu Maalum ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi.

Prof Kabudi ameeleza kuwa Katika kampuni zote mbili Serikali ya Tanzania ina hisa ya asilimia 16 ya hisa katika kampuni hizo isiyofifishwa, yaani (Non-Dilutable Free Carried Interest)

Prof Kabudi amesisitiza Tanzania ndio nchi nchi pekee ya Kiafrika kuingiza katika mikataba yake aina hii ya hisa na nchi nyingine zimekuwa zikijaribu kuweka kipengele hicho bila mafanikio


Kiufupi ni kwamba Kazi inaendelea na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia inaendelea kuweka historia.
 
Huyu mzee ameshapoteza credibility yake. Kitendo cha kulamba viatu tena kwenye unyayo kwa Stone alijidhalilisha Sana.

Na akaharibu zaidi kuja kusema hata Yale maneno ya makinikia ilikuwa bosheni. Waziri mzima unapoingia mikataba kwa kuweka vitu bosheni tena huku unajua kabisa ni kujionesha tu kuwa hauko mkweli regardless.
 
Leo hii Jumatatu April 17 2023 Serikali imesaini mikataba na kampuni tatu za madini za Australi zinazohusisha uendeshaji wa uchimbaji wa Madini ya Kinywe (GRAPHITE) na madini adimu (RARE EARTH ELEMENTS) katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Moja kati ya mengi niliyoyanasa ni hili alilolisema Prof Palamagamna Aidan Mwaluko Kabudi, Mwenyekiti Timu Maalum ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi.

Prof Kabudi ameeleza kuwa Katika kampuni zote mbili Serikali ya Tanzania ina hisa ya asilimia 16 ya hisa katika kampuni hizo isiyofifishwa, yaani (Non-Dilutable Free Carried Interest)

Prof Kabudi amesisitiza Tanzania ndio nchi nchi pekee ya Kiafrika kuingiza katika mikataba yake aina hii ya hisa na nchi nyingine zimekuwa zikijaribu kuweka kipengele hicho bila mafanikio


Kiufupi ni kwamba Kazi inaendelea na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia inaendelea kuweka historia.
Asente JPM, umetuachia Urithi, Mwenyezi Mungu ailaze rohio yako Mahala pema peponi - Amin..
 
Leo hii Jumatatu April 17 2023 Serikali imesaini mikataba na kampuni tatu za madini za Australi zinazohusisha uendeshaji wa uchimbaji wa Madini ya Kinywe (GRAPHITE) na madini adimu (RARE EARTH ELEMENTS) katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Moja kati ya mengi niliyoyanasa ni hili alilolisema Prof Palamagamna Aidan Mwaluko Kabudi, Mwenyekiti Timu Maalum ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi.

Prof Kabudi ameeleza kuwa Katika kampuni zote mbili Serikali ya Tanzania ina hisa ya asilimia 16 ya hisa katika kampuni hizo isiyofifishwa, yaani (Non-Dilutable Free Carried Interest)

Prof Kabudi amesisitiza Tanzania ndio nchi nchi pekee ya Kiafrika kuingiza katika mikataba yake aina hii ya hisa na nchi nyingine zimekuwa zikijaribu kuweka kipengele hicho bila mafanikio


Kiufupi ni kwamba Kazi inaendelea na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia inaendelea kuweka historia.
Kweli Mzee umeamua kutusaliti walinda legacy? Kweli? Wakat sisi huku hatuukubali utawala huu? Wee haya tu...!
 
Leo hii Jumatatu April 17 2023 Serikali imesaini mikataba na kampuni tatu za madini za Australi zinazohusisha uendeshaji wa uchimbaji wa Madini ya Kinywe (GRAPHITE) na madini adimu (RARE EARTH ELEMENTS) katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Moja kati ya mengi niliyoyanasa ni hili alilolisema Prof Palamagamna Aidan Mwaluko Kabudi, Mwenyekiti Timu Maalum ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi.

Prof Kabudi ameeleza kuwa Katika kampuni zote mbili Serikali ya Tanzania ina hisa ya asilimia 16 ya hisa katika kampuni hizo isiyofifishwa, yaani (Non-Dilutable Free Carried Interest)

Prof Kabudi amesisitiza Tanzania ndio nchi nchi pekee ya Kiafrika kuingiza katika mikataba yake aina hii ya hisa na nchi nyingine zimekuwa zikijaribu kuweka kipengele hicho bila mafanikio


Kiufupi ni kwamba Kazi inaendelea na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia inaendelea kuweka historia.
Zile juisi za Madagaska walikunywa peke yao na sisi akatuambia hatuna sifa ya kunywa juisi iliyobebwa na ndege ya rais!
 

Botswana wana 24% share ya mgodi wao wa almasi na De Beers; na sasa hivi wapo kwenye renegotiations wanataka 50% sio economic split kama sisi na Barrick.

Watu wamewekeza $2 billion miaka zaidi ya 20 bado wana 84% ya mgodi ambao kwa mwaka unazalisha $1 billion, halafu unajitapa. Si ajabu na huko wametumia hiyo hiyo model ya Kabudi kwenye mkataba wa Twiga.

Kabudi sio mtu wa kujadili mikataba ya kibiashara hayo mambo ni finance sasa Kabudi na hayo mambo wapi na wapi. Anachojua yeye toka aingie kwenye siasa ni kulamba miguu tu, akiulizwa ameona mikataba mingapi Africa mpaka ajitape huo ni wakipekee hawezi kuwa na majibu.
 

Botswana wana 24% share ya mgodi wao wa almasi na De Beers; na sasa hivi wapo kwenye renegotiations wanataka 50% sio economic split kama sisi na Barrick.

Watu wamewekeza $2 billion miaka zaidi ya 20 bado wana 84% ya mgodi ambao kwa mwaka unazalisha $1 billion, halafu unajitapa. Si ajabu na huko wametumia hiyo hiyo model ya Kabudi kwenye mkataba wa Twiga.

Kabudi sio mtu wa kujadili mikataba ya kibiashara hayo mambo ni finance sasa Kabudi na hayo mambo wapi na wapi. Anachojua yeye toka aingie kwenye siasa ni kulamba miguu tu, akiulizwa ameona mikataba mingapi Africa mpaka ajitape huo ni wakipekee hawezi kuwa na majibu.
Tatizo lake ni moja;anajua kwamba akisifia tu anapata fursa;sidhani kama anapenda kutoa ushauri wa kitaalamu baada ya kuchunguza mikataba ya nchi zingine
 
Leo hii Jumatatu April 17 2023 Serikali imesaini mikataba na kampuni tatu za madini za Australi zinazohusisha uendeshaji wa uchimbaji wa Madini ya Kinywe (GRAPHITE) na madini adimu (RARE EARTH ELEMENTS) katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma na kushuhudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Moja kati ya mengi niliyoyanasa ni hili alilolisema Prof Palamagamna Aidan Mwaluko Kabudi, Mwenyekiti Timu Maalum ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi.

Prof Kabudi ameeleza kuwa Katika kampuni zote mbili Serikali ya Tanzania ina hisa ya asilimia 16 ya hisa katika kampuni hizo isiyofifishwa, yaani (Non-Dilutable Free Carried Interest)

Prof Kabudi amesisitiza Tanzania ndio nchi nchi pekee ya Kiafrika kuingiza katika mikataba yake aina hii ya hisa na nchi nyingine zimekuwa zikijaribu kuweka kipengele hicho bila mafanikio


Kiufupi ni kwamba Kazi inaendelea na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia inaendelea kuweka historia.
Mie hata Sina shida na hizo 16% Bali nawapongeza Kwa mgawanyo wa 53 Kwa 47 yaani Kwa mara ya kwanza Tanzania itapata asilia kubwa ya faida kuliko wawekezaji..

Haya ndio mambo tunataka.
 
Back
Top Bottom