Ridhiwani ashusha Wadau kutoka Korea kuunga mkono shughuli za maendeleo Jimboni Chalinze

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
328
414
Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete licha ya shughuli zake kubwa za kitaifa kama Naibu Waziri lakini kamwe hasahau Jimbo lake na amekuwa mstari wa mbele kila siku kusukuma na kuchochea shughuli za maendeleo Jimboni.

Katika kuhakikisha wananchi wa Chalinze wanapata huduma na kupata maendeleo zaidi, Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshusha Wadau wa Taasisi ya Korea iitwayo Kofih Tanzania ili kushiriki shughuli za maendeleo Jimboni.

Na Jana Ijumaa, Mhe. Kikwete amekuwa na mkutano mzuri na Taasisi hiyo ya Wakorea iitwayo Kofih Tanzania ambapo wamekubaliana ushirikiano kwa miaka 5 utakaowezesha kuimarishwa kwa miundombinu ya afya hasa hospitali ya wilaya ya Chalinze, vituo vya afya na kuwezesha vifaa tiba katika eneo la wakina mama na watoto, na mahitaji ya vifaa vya huduma za dharura na kuwezesha watendaji wa sekta mafunzo ya ujuzi wa juu katika Halmashauri ya Chalinze.

#KaziInaendelea

FB_IMG_1682718080998.jpg
FB_IMG_1682718078968.jpg
FB_IMG_1682718076906.jpg
FB_IMG_1682718074889.jpg
FB_IMG_1682718072975.jpg
 
Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete licha ya shughuli zake kubwa za kitaifa kama Naibu Waziri lakini kamwe hasahau Jimbo lake na amekuwa mstari wa mbele kila siku kusukuma na kuchochea shughuli za maendeleo Jimboni.

Katika kuhakikisha wananchi wa Chalinze wanapata huduma na kupata maendeleo zaidi, Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshusha Wadau wa Taasisi ya Korea iitwayo Kofih Tanzania ili kushiriki shughuli za maendeleo Jimboni.

Na Jana Ijumaa, Mhe. Kikwete amekuwa na mkutano mzuri na Taasisi hiyo ya Wakorea iitwayo Kofih Tanzania ambapo wamekubaliana ushirikiano kwa miaka 5 utakaowezesha kuimarishwa kwa miundombinu ya afya hasa hospitali ya wilaya ya Chalinze, vituo vya afya na kuwezesha vifaa tiba katika eneo la wakina mama na watoto, na mahitaji ya vifaa vya huduma za dharura na kuwezesha watendaji wa sekta mafunzo ya ujuzi wa juu katika Halmashauri ya Chalinze.

#KaziInaendelea
Nonsense
 
Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete licha ya shughuli zake kubwa za kitaifa kama Naibu Waziri lakini kamwe hasahau Jimbo lake na amekuwa mstari wa mbele kila siku kusukuma na kuchochea shughuli za maendeleo Jimboni.

Katika kuhakikisha wananchi wa Chalinze wanapata huduma na kupata maendeleo zaidi, Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshusha Wadau wa Taasisi ya Korea iitwayo Kofih Tanzania ili kushiriki shughuli za maendeleo Jimboni.

Na Jana Ijumaa, Mhe. Kikwete amekuwa na mkutano mzuri na Taasisi hiyo ya Wakorea iitwayo Kofih Tanzania ambapo wamekubaliana ushirikiano kwa miaka 5 utakaowezesha kuimarishwa kwa miundombinu ya afya hasa hospitali ya wilaya ya Chalinze, vituo vya afya na kuwezesha vifaa tiba katika eneo la wakina mama na watoto, na mahitaji ya vifaa vya huduma za dharura na kuwezesha watendaji wa sekta mafunzo ya ujuzi wa juu katika Halmashauri ya Chalinze.

#KaziInaendelea
Ukifanyiwa hisani sana jua mbeleni kuna malipo yake!
 
Stand mpya ya chalinze ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi.. mnajengaje stand kwenye hifadhi ya barabara..
 
Stand mpya ya chalinze ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi.. mnajengaje stand kwenye hifadhi ya barabara..
Nchi hii umejaa wapumbavu kuanzia chini mpaka juu ndio maana mafisadi yanatafuta marafiki zao Toka nje waje washirikiane kuiba Kwa heshima kubwa kabisa.

Stand ya Chalinze Kwa siku inaweza kuiingiza zaidi ya Mili tatu .
Kwa Mwezi ni zaidi ya Milioni tisini lakini Kwa upumbavu na wizi mkubwa Halmashauri badala ya kuajiri Vijana wanaomaliza vyuo vikuu wao Wanaweka wazabuni wa kukusanya ushuru na kujikuta wakipewa tujisenti Kwa Mwezi tusitozidi Mili. 35. Million zaidi ya Arobaini zinaishia mfukoni Kwa mkandarasi. Na serikali inabaki na jukumu la kukarabati stendi na gharama za umeme na matengenezo mengine.

Pumbavu sana ufisadi .
 
hahahaha kijana wetu yupo kule, tumemlea wenyewe nyumbani kama yule aliyekengeuka alipofikiri game imechange na itakuwa hivyo milele kumbe alikuwa bado hajaiva na sisi ndio wenyewe wakali wa hizi kazi.

RIP Six.
 
Yaani hivyo vikorea viwili vitoke Korea vije Chalinze kuleta maendeleo? Tumefika huku? Mmhhh.. mbona tunafeli sana, au kuna kitu chini ya carpet kinasukwa hapa.
 

MHE. RIDHIWANI KIKWETE ASHUSHA WADAU KUTOKA KOREA KUUNGA MKONO SHUGHULI ZA MAENDELEO JIMBONI CHALINZE.

Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete licha ya shughuli zake kubwa za kitaifa kama Naibu Waziri lakini kamwe hasahau Jimbo lake na amekuwa mstari wa mbele kila siku kusukuma na kuchochea shughuli za maendeleo Jimboni.

Katika kuhakikisha wananchi wa Chalinze wanapata huduma na kupata maendeleo zaidi, Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshusha Wadau wa Taasisi ya Korea iitwayo Kofih Tanzania ili kushiriki shughuli za maendeleo Jimboni.

Na Jana Ijumaa, Mhe. Kikwete amekuwa na mkutano mzuri na Taasisi hiyo ya Wakorea iitwayo Kofih Tanzania ambapo wamekubaliana ushirikiano kwa miaka 5 utakaowezesha kuimarishwa kwa miundombinu ya afya hasa hospitali ya wilaya ya Chalinze, vituo vya afya na kuwezesha vifaa tiba katika eneo la wakina mama na watoto, na mahitaji ya vifaa vya huduma za dharura na kuwezesha watendaji wa sekta mafunzo ya ujuzi wa juu katika Halmashauri ya Chalinze.

"Tumekuwa na mkutano mzuri na Taasisi ya Kofih Tanzania. Tumekubaliana ushirikiano kwa miaka 5 wanayotekeleza miradi ya kuimarisha miundombinu ya Afya, Vifaa Tiba na kuwezesha watendaji wa sekta mafunzo ya ujuzi wa juu katika Halmashauri ya Chalinze" - Mhe. Ridhiwani

#KaziInaendelea
#KaziInaendelea

Fu0GRzCXwAAJSgu.jpg

Fu0GRzJWYAEK-4a.jpg

Fu0GRzDWYAAt5fG.jpg

Fu0GRzGXsAkzQPS.jpg

WhatsApp Image 2023-04-29 at 18.47.27.jpeg
 
Back
Top Bottom