chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,004
- 20,681
George Wajackoya ni Jasusi ambalo limeajiriwa na shirika la ujasusi la Kenya, Kuna msemo kwamba jasusi hastaafu. Jasusi huyu ndiye alihusika na "mission" nzima ya kumtorosha Lema Tanzania, akamuweka Nairobi katika makazi ya Siri, na sasa ameingia Tanzania kumpokea.
Lema ni agent wa shirika la ujasusi la Kenya? Wana mikataba ipi na shirika hilo? Je, lina mkataba na CHADEMA? CHADEMA kila wanapofanya vurugu wakaumia, kuna taarifa kwamba huwa wanachukuliwa kwa siri kwenda kutibiwa Kenya, Mdude na Mbowe ni wafaidika wa matibabu.
Kunani kati ya hiki chama na intelligence ya Kenya?
Ngoja inyeshe tujue panapovuja.
Lema ni agent wa shirika la ujasusi la Kenya? Wana mikataba ipi na shirika hilo? Je, lina mkataba na CHADEMA? CHADEMA kila wanapofanya vurugu wakaumia, kuna taarifa kwamba huwa wanachukuliwa kwa siri kwenda kutibiwa Kenya, Mdude na Mbowe ni wafaidika wa matibabu.
Kunani kati ya hiki chama na intelligence ya Kenya?
Ngoja inyeshe tujue panapovuja.